Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Afrika Kusini yaitaka jamii ya kimataifa iwasaidie wananchi wa Gaza

    Afrika Kusini yaitaka jamii ya kimataifa iwasaidie wananchi wa Gaza

    May 11, 2024 12:44

    Afrika Kusini imeitaka Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) kutoa uamuzi wa dharura wa kuwaunga mkono Wapalestina huko Rafah.

  • Kuidhinishwa  rasimu ya uanachama kamili wa Palestina katika Umoja wa Mataifa

    Kuidhinishwa rasimu ya uanachama kamili wa Palestina katika Umoja wa Mataifa

    May 11, 2024 11:21

    Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA) hatimaye limeipigia kura ya ndio rasimu ya uanachama kamili wa Palestina katika umoja huo baada ya Marekani kukwamisha suala hilo kwa miaka kadhaa.

  • Iran: Kuipa uanachama Palestina, ni hatua ya kwanza ya kukabiliana na dhulma

    Iran: Kuipa uanachama Palestina, ni hatua ya kwanza ya kukabiliana na dhulma

    May 11, 2024 08:01

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema Tehran inakaribisha hatua ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa UNGA ya kupasisha azimio la kutaka kutazamwa upya suala la taifa la Palestina kupewa uanachama kamili katika umoja huo.

  • Borrell: Nchi 4 za Ulaya kulitambua taifa la Palestina

    Borrell: Nchi 4 za Ulaya kulitambua taifa la Palestina

    May 11, 2024 07:58

    Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amethibitisha kuwa nchi nne za Ulaya zitaitambua Palestina kama taifa huru.

  • Afrika Kusini yaandaa mkutano wa kimataifa dhidi ya ubaguzi wa rangi wa Israel

    Afrika Kusini yaandaa mkutano wa kimataifa dhidi ya ubaguzi wa rangi wa Israel

    May 10, 2024 10:55

    Mkutano wa Kimataifa dhidi ya Ubaguzi wa Rangi wa Israel huko Palestina ulitazamiwa kuanza leo Ijumaa katika Jiji la Johannesburg nchini Afrika Kusini na utaendelea na kazi zake hadi tarehe 12 Mei mwaka huu.

  • Al Houthi: Yemen italenga meli zenye uhusiano na Israel bila kujali zinakoenda

    Al Houthi: Yemen italenga meli zenye uhusiano na Israel bila kujali zinakoenda

    May 10, 2024 10:10

    Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen, Abdul Malik al-Houthi, amesema vikosi vya jeshi la nchi hiyo vitalenga meli za kampuni yoyote inayohusiana na kusambaza au kusafirisha bidhaa hadi Israel bila kujali zinakoelekea.

  • Iran yakosoa vitisho na mashinikizo wawakilishi wa Kongresi dhidi ya mahakama ya ICC

    Iran yakosoa vitisho na mashinikizo wawakilishi wa Kongresi dhidi ya mahakama ya ICC

    May 10, 2024 02:11

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa ni fedheha na jambo lenye kutia wasiwasi kuona baadhi ya wawakilishi wa Kongresi na Seneti ya Marekani wanatoa vitisho na kuwashinikiza waendesha mashtaka na majaji wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC).

  • AU yailaani Israel kwa kupanua mashambulizi yake hadi Rafah

    AU yailaani Israel kwa kupanua mashambulizi yake hadi Rafah

    May 09, 2024 02:31

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amelaani vikali mashambulizi ya utawala haramu wa Israel katika mji wa Rafah, kusini mwa Ukanda wa Gaza.

  • Bahamas yaitambua rasmi Palestina kama nchi

    Bahamas yaitambua rasmi Palestina kama nchi

    May 08, 2024 11:52

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Bahamas imetangaza rasmi kuwa inaitambua rasmi Palestina kama nchi.

  •  OIC yataka Israel ibebeshwe dhima kwa jinai dhidi ya Wapalestina

    OIC yataka Israel ibebeshwe dhima kwa jinai dhidi ya Wapalestina

    May 06, 2024 07:12

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imeitaka jamii ya kimataifa ichukue hatua na kuubebesha dhima utawala wa Kizayuni wa Israel, kutokana na jinai na mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala huo haramu dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS