Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Haniya: HAMAS haitasalimu amri, itaendeleza muqawama

    Haniya: HAMAS haitasalimu amri, itaendeleza muqawama

    Jun 09, 2024 23:53

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kundi hilo la muqawama katu halitasalimu amri, bali litaendeleza mapambano yake kwa nguvu zote.

  • Mikakati athirifu ya Iran ya kutatua migogoro ya kikanda na Palestina

    Mikakati athirifu ya Iran ya kutatua migogoro ya kikanda na Palestina

    Jun 02, 2024 23:30

    Katika miaka ya hivi karibuni, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa na mikakati madhubuti na athirifu katika matukio ya kieneo na kimataifa ikiwemo kadhia ya Palestina.

  • Kuendelea uungaji mkono wa kimataifa kwa watu wa Gaza

    Kuendelea uungaji mkono wa kimataifa kwa watu wa Gaza

    Jun 02, 2024 03:01

    Wananchi wa maeneo tofauti ya dunia wanaendela kufanya maandamano na mikusanyiko kwa ajili ya kuwaunga mkono wananchi madhulumu na wanaosimama imara wa Ukanda wa Gaza na kusisitiza juu ya kusimamishwa jinai za utawala wa Kizayuni katika ukanda huo.

  • Jihadul-Islami: Tunautazama mpango uliopendekezwa na Biden kwa 'jicho la shaka'

    Jihadul-Islami: Tunautazama mpango uliopendekezwa na Biden kwa 'jicho la shaka'

    Jun 01, 2024 07:43

    Harakati ya Muqawama ya Jihadul-Islami ya Palestina imesema inautazama kwa jicho la shaka mpango uliotangazwa na Rais wa Marekani kwa ajili ya kuhitimisha vita vya Ghaza.

  • Barua ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa wanachuo wa Marekani wanaotetea Palestina

    Barua ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa wanachuo wa Marekani wanaotetea Palestina

    May 31, 2024 03:58

    Ayatullah Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika barua aliyowaandikia wanachuo wenye utu wanaotetea wananchi wa Palestina katika vyuo vikuu vya Marekani, ameonyesha mshikamano wake na maandamano ya wanachuo hao dhidi ya uzayuni na kuwataja kuwa sehemu ya mrengo wa muqawama.

  • Kiongozi Muadhamu awaambia wanachuo US: Mpo katika upande sahihi wa historia

    Kiongozi Muadhamu awaambia wanachuo US: Mpo katika upande sahihi wa historia

    May 30, 2024 03:38

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria mwamko wa wanafunzi wa Vyuo Vikuu vya Marekani dhidi ya utawala katili wa Israel na kusisitiza kuwa, wanachuo hao wa US wamesimama katika upande sahihi wa historia.

  • Bendera ya Palestina yapepea ndani ya Bunge la Ufaransa

    Bendera ya Palestina yapepea ndani ya Bunge la Ufaransa

    May 29, 2024 03:11

    Bendera ya Palestina imepepea katika Bunge la Ufaransa.

  • Uhispania, Ireland na Norway zaitambua rasmi Palestina

    Uhispania, Ireland na Norway zaitambua rasmi Palestina

    May 29, 2024 00:17

    Uhispania, Ireland na Norway jana zilipasisha rasmi mpango wa kutambua rasmi Palestina, katika uamuzi ulioratibiwa hatua ambayo imeongeza himaya na uungaji mkono kwa Palestina barani Ulaya.

  • Trump aapa

    Trump aapa "kutimua wanafunzi" na kukandamiza wanaounga mkono Palestina akichagualiwa tena kuwa rais

    May 29, 2024 00:08

    Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump ameapa kuwa atakandamiza maandamano ya watetezi na waungaji mkono wa Palestina yanayoendelea kufanywa katika vyuo vikuu vya nchi hiyo na kusisitiza kuwa "atawafukuza" wanafunzi wanaohudhuria maandamano hayo, ikiwa atachaguliwa kurudi tena madarakani.

  • Slovenia: Kulitambua taifa la Palestina ni wajibu wa kimaadili

    Slovenia: Kulitambua taifa la Palestina ni wajibu wa kimaadili

    May 26, 2024 22:49

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Slovenia amesema kuitambua Palestina kama nchi huru ni jukumu la kimaadili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS