Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

polisi

  • Mwanaharakati mashuhuri wa haki za binadamu Bahrain aachiwa huru

    Mwanaharakati mashuhuri wa haki za binadamu Bahrain aachiwa huru

    Dec 28, 2016 14:32

    Nabil Rajab, mwanaharakati mtajika wa kutetea haki za binadamu nchini Bahrain ambaye amezuiliwa kwa miezi kadhaa na polisi ya nchi hiyo ameachiwa huru kufuatia mashinikizo ya ndani na nje ya nchi.

  • Polisi ya Uganda yafanya msako katika msikiti wa Nakasero

    Polisi ya Uganda yafanya msako katika msikiti wa Nakasero

    Dec 28, 2016 02:51

    Kikosi cha Kupambana na Ugaidi cha Jeshi la Polisi nchini Uganda (JATT) jana Jumanne asubuhi kilifanya msako mkali katika msikiti wa Nakasero ulioko katika barabara ya Snay bin Amin jijini Kampala na kukamata watu kadhaa wakiwemo walinzi wa msikiti huo.

  • Polisi Kongo yawatia mbaroni makumi ya raia

    Polisi Kongo yawatia mbaroni makumi ya raia

    Dec 23, 2016 07:42

    Polisi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamewatia mbaroni makundi ya raia kwa kosa la kushiriki maandamano dhidi ya serikali.

  • Sudan yawatia nguvuni viongozi wanne wakuu wa upinzani

    Sudan yawatia nguvuni viongozi wanne wakuu wa upinzani

    Nov 24, 2016 13:36

    Serikali ya Sudan imewakamata viongozi wanne mashuhuri wa upinzani nchini humo akiwemo mwanasiasa mkongwe Sadiq Youssef.

  • Polisi ya Canada yaahidi kushirikiana zaidi na Waislamu

    Polisi ya Canada yaahidi kushirikiana zaidi na Waislamu

    Oct 30, 2016 03:55

    Jeshi la polisi la mjini Toronto Canada limeteua afisa maalumu wa masuala ya kidini kwa ajili ya kuwasaidia na kuwaunga mkono kimaanawi maafisa wa polisi Waislamu na kuwa kiungo baina ya polisi na Waislamu wa nchi hiyo.

  • Magaidi washambulia chuo cha polisi na kuua 55 nchini Pakistan

    Magaidi washambulia chuo cha polisi na kuua 55 nchini Pakistan

    Oct 25, 2016 04:38

    Makumi ya makurutu wameuawa baada ya genge la kigaidi kushambulia chuo cha kutoa mafunzo ya polisi kusini magharibi mwa Pakistan.

  • Barret: Polisi ya Marekani imejifunza ukatili kutoka Israel

    Barret: Polisi ya Marekani imejifunza ukatili kutoka Israel

    Oct 02, 2016 08:11

    Mchanganuzi wa masuala ya siasa na mwandishi wa habari wa Marekani amesema ukandamizaji, dhulma na ukatili unaofanywa na maafisa wa polisi wa Marekani dhidi ya Wamarekani wenye asili ya Afrika umetokana na mafunzo waliyopokea kutoka utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Video: Mwanamke wa kwanza Muislamu kuvaa sare katika jeshi la polisi la Marekani azungumza

    Video: Mwanamke wa kwanza Muislamu kuvaa sare katika jeshi la polisi la Marekani azungumza

    Aug 27, 2016 12:22

    Afisa wa kwanza wa kike wa polisi wa Marekani, ameanza kazi katika jeshi hilo kwa kuvaa sare ya Hijabu katika mji wa Dearborn kwenye jimbo la Michigan.

  • Polisi yatumia mabomu kuzima maandamano Zimbabwe

    Polisi yatumia mabomu kuzima maandamano Zimbabwe

    Aug 17, 2016 14:13

    Maafisa wa polisi nchini Zimbabwe wametumia mabomu ya kutoa machozi na maji yenye kuwasha kuzima maandamano ya makumi ya watu wanaopinga azma ya Benki Kuu nchini humo ya kufufua matumizi ya noti za nchi hiyo.

  • 133 wakamatwa na polisi Zambia kwa kupinga ushindi wa Rais Lungu

    133 wakamatwa na polisi Zambia kwa kupinga ushindi wa Rais Lungu

    Aug 16, 2016 15:21

    Polisi nchini Zambia imewatia mbaroni makumi ya wafuasi wa upinzani wanaopinga ushindi wa Rais Edgar Lungu katika uchaguzi wa rais uliofanyika Alkhamisi iliyopita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS