Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

polisi

  • Upinzani Ethiopia: Serikali iache kuua na kukandamiza waandamanaji

    Upinzani Ethiopia: Serikali iache kuua na kukandamiza waandamanaji

    Aug 14, 2016 06:53

    Vyama vya upinzani nchini Ethiopia vimevunja kimya chao na kuitaka serikali ya nchi hiyo kukomesha mauaji na ukandamizaji dhidi ya waandamanaji.

  • Besigye amtaka Mkuu wa Polisi Uganda ajiuzulu

    Besigye amtaka Mkuu wa Polisi Uganda ajiuzulu

    Aug 11, 2016 14:30

    Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Dakta Kizza Besigye amemtaka Mkuu wa Polisi nchini humo ajiuzulu mara moja, kufuatia kesi ya jinai inayomkabili.

  • Bunge la Misri limewazuia polisi kutoa taarifa kwa vyombo vya habari

    Bunge la Misri limewazuia polisi kutoa taarifa kwa vyombo vya habari

    Aug 10, 2016 07:32

    Bunge la Misri Jumanne wiki hii limeidhinisha marekebisho ya sheria yanayowazuia askari polisi wa nchi hiyo kutoa taarifa kwa vyombo vya habari.

  • Shakhsia wa kidini Bahrain wazidi kuswekwa korokoroni

    Shakhsia wa kidini Bahrain wazidi kuswekwa korokoroni

    Aug 07, 2016 13:16

    Polisi ya utawala wa Aal-Khalifa nchini Bahrain imewatia mbaroni wanazuoni wanne mashuhuri wa Kiislamu, katika kile kinachoonekana ni muendelezo wa dhulma na ukandamizaji dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini humo.

  • UN yaafiki kutumwa askari polisi nchini Burundi

    UN yaafiki kutumwa askari polisi nchini Burundi

    Jul 30, 2016 08:13

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepasisha pendekezo la Ufaransa la kutumwa askari polisi zaidi ya 200 wa umoja huo nchini Burundi kwa lengo la kuhitimisha machafuko ya zaidi ya mwaka mmoja nchini humo.

  • Bahrain yazuia Swala ya Ijumaa na kukamata watu 50 Diraz

    Bahrain yazuia Swala ya Ijumaa na kukamata watu 50 Diraz

    Jul 23, 2016 04:07

    Katika muendelezo wa wimbi la ukandamizaji na dhulma za utawala wa kifalme wa Aal-Khalifa, maafisa usalama nchini Bahrain walizuia Swala ya Ijumaa hapo jana sambamba na kuwatia mbaroni watu 50 katika kijiji cha Diraz, kaskazini magharibi mwa nchi.

  • Wanafunzi wa sekondari Senegal wakamatwa kwa 'ugaidi'

    Wanafunzi wa sekondari Senegal wakamatwa kwa 'ugaidi'

    Jul 20, 2016 07:39

    Polisi ya Senegal inawazuilia wanafunzi wanne wa shule moja ya upili kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya kigaidi.

  • Mawakili Kenya katika mgomo wa siku 5 kulalamikia kuuawa mwenzao

    Mawakili Kenya katika mgomo wa siku 5 kulalamikia kuuawa mwenzao

    Jul 05, 2016 03:51

    Maelfu ya mawakili nchini Kenya jana Jumatatu walitangaza mgomo wa siku tano wa kususia vikao mahakamana kufuatia kuuawa wakili mwenzao ambaye mwili wake ulipatikana ukiwa umetupwa kwenye mto kusini mashariki mwa mji mkuu, Nairobi.

  • Idadi zaidi ya polisi watumwa mashariki mwa Kongo DR

    Idadi zaidi ya polisi watumwa mashariki mwa Kongo DR

    Jun 11, 2016 15:28

    Vyombo vya usalama vya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo vimetangaza kuwa askari zaidi wa jeshi la Polisi wametumwa eneo la mashariki mwa nchi hiyo.

  • Hatimaye Maalim Seif atakiwa afike Makao Makuu ya Polisi Zanzibar kuhojiwa

    Hatimaye Maalim Seif atakiwa afike Makao Makuu ya Polisi Zanzibar kuhojiwa

    May 30, 2016 16:26

    Baada ya Jeshi la Polisi Zanzibar kuahirisha hatua ya kumhoji Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) Maalim Seif Sharif Hamad, hatimaye hatua hiyo sasa imeelekea kutekelezwa, imebainika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS