-
Upinzani Zimbabwe wajiweka sawa ili kumbwaga Mugabe 2018
Aug 06, 2017 02:34Kinara wa upinzani nchini Zimbabwe, Morgan Tsvangirai ametangaza kuungana na wapambe wake wa zamani kwa shabaha ya kuunda muungano mmoja wenye nguvu ili waweze kumundoa madarakani Rais Robert Mugabe katika uchaguzi mkuu mwakani.
-
Rais Kagame ahifadhi kiti chake katika uchaguzi wa Rwanda
Aug 04, 2017 23:15Matokeo ya awali ya uchaguzi wa urais nchini Rwanda yameonyesha kuwa Rais Paul Kagame wa nchi hiyo amehifadhi kiti chake baada ya kupata ushindi wa kishindo katika uchaguzi huo uliofanyika jana Ijumaa.
-
Rais Bashar al-Assad: Uelewa wa mataifa ya Kiarabu ni sababu ya umoja
Aug 01, 2017 08:35Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, raia wa mataifa ya Kiarabu wamethibitisha kuwa, wana kiwango cha hali ya juu cha uelewa kuhusu matukio yanayojiri katika eneo la Mashariki ya Kati na kwamba suala hilo linatakiwa liwe kivutio kwa ajili ya umoja wa mataifa yote.
-
Mke wa Rais wa Zimbabwe ataka Mugabe ataje mrithi wake
Jul 27, 2017 11:06Mke wa Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe amemtaka mumewe aanishe na kumtangaza mrithi wa kiti cha rais nchini humo.
-
Al-Assad: Wasyria wamewashinda magaidi kwa umoja na mshikamano
Jul 04, 2017 23:36Rais Bashara al-Assad wa Syria amesema kuwa, Wasyria wameweza kuyashinda makundi ya kigaidi yanayowakufurisha Waislamu kwa umoja na mshikamano wao.
-
Rais wa Nigeria ajaribu kutuliza malumbano ya kikabila
Jun 23, 2017 23:16Kaimu Rais wa Nigeria, Profesa Yemi Osinbajo amekutana na viongozi wa maeneo kadhaa kujaribu kuzima malumbano ya kikabila yanayotokota katika nchi hiyo.
-
Ufilipino: Hatujaomba msaada wa Marekani kukabiliana na magaidi
Jun 11, 2017 22:57Rais Rodrigo Duterte wa Ufilipino amesema nchi yake haijaomba msaada wa Marekani kwa ajili ya kupambana na genge la kigaidi lililoua wanajeshi 13 wa nchi hiyo Ijumaa iliyopita, kusini mwa nchi.
-
Burundi yachukua hatua kudhibiti mmomonyoko wa maadili miongoni mwa vijana
May 26, 2017 22:17Serikali ya Burundi imewaagiza watu wote hususan vijana wanaoishi kinyumba kuhalalisha na kusajili ndoa zao kufikia mwishoni mwa mwaka huu.
-
Rais wa Tanzania amfuta kazi waziri Muhongo
May 24, 2017 09:55Rais John Magufuli wa Tanzania ametangaza kumfuta kazi Waziri wa Nishati na Madini wa nchi hiyo, Sospeter Muhongo kutokana na kuhusika katika kashfa ya mchanga wa dhahabu uliokuwa unasafirishwa nje ya Tanzania.
-
Israel: Wakati umefika wa kumuua Rais Assad wa Syria
May 17, 2017 09:32Waziri wa Nyumba na Ujenzi wa utawala haramu wa Israel amesema wakati umefika Rais Bashar al-Assad wa Syria auawe kutokana na eti jinai anazowafanyia wananchi wa nchi hiyo ya Kiarabu.