-
Rais Kabila atangaza serikali ya mpito, akipuuza chama kikuu cha upinzani
May 09, 2017 23:52Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ametangaza serikali mpya ya mpito licha ya makelele ya wapinzani wanaosema amekiuka makubaliano ya pande mbili.
-
Rais Buhari wa Nigeria arejea London, Uingereza kwa matibabu
May 08, 2017 02:23Muda mfupi baada ya kuonana na wanafunzi wa kike 82 waliokuwa wamewatekwa nyara na kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram katika mji wa Chibok mwaka 2014, mkabala wa kuachiwa huru wafungwa wa kundi hilo, Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria ameondoka nchini na kwenda Uingereza kwa ajili ya kile kinachosemwa ni uchunguzi wa kiafya.
-
Rais wa Angola aafiki uchaguzi mkuu ufanyike Agosti 23
Apr 27, 2017 00:03Rais Jose Eduardo dos Santos wa Angola amesaini dikrii inayoruhusu tarehe 23 Agosti mwaka huu kuwa siku ya kufanyika uchaguzi mkuu nchini humo.
-
Rouhani: Marekani inajifanya polisi na jaji wa dunia
Apr 08, 2017 03:23Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa mara nyingine tena amelaani shambulio la Marekani katika kambi ya jeshi la anga nchini Syria na kusema kuwa, Washington inajifanya polisi na jaji wa dunia.
-
Rais aliyeuzuliwa Korea Kusini akamatwa na kuzuiliwa na polisi
Mar 31, 2017 10:12Rais aliyeondolewa madarakani hivi karibuni wa Korea Kusini, Park Geun-hye amekamatwa na polisi ya nchi hiyo kwa tuhuma za ufisadi na utumiaji mbaya wa madaraka.
-
Waendesha mashtaka Korea Kusini washinikiza kukamatwa rais aliyeuzuliwa
Mar 27, 2017 03:20Waendesha mashtaka nchini Korea Kusini wametoa wito wa kutolewa waranti wa kukamatwa rais aliyeondolewa madarakani hivi karibuni wa nchi hiyo, Park Geun-hye.
-
Rais wa Ghana atetea uamuzi wake wa kuteua mawaziri 110
Mar 19, 2017 03:52Rais wa Ghana Nana Akufo-Addo amewakosoa vikali wapinzani wake na wanaharakati wanaopinga hatua yake ya kuwateua mawaziri zaidi ya 100 katika serikali yake mpya.
-
Museveni aagiza kuwekwa CCTV Uganda baada ya kuuawa Msemaji wa Polisi
Mar 18, 2017 04:05Rais Yoweri Museveni wa Uganda ameagiza kamera za CCTV zitundikwe katika miji mikubwa na barabara zote kuu za nchi hiyo, kufuatia mauaji ya Msemaji wa Jeshi la Polisi wa nchi hiyo jana Ijumaa.
-
Kiir awaachia huru majenerali wa jeshi na wafungwa wa kisiasa
Mar 11, 2017 03:17Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir amewaachia huru makamanda waandamizi wa jeshi la nchi hiyo na kuahidi kuwaachia huru wafungwa wa kisiasa katika siku zijazo.
-
Rais Rouhani: Chaguzi nchini Iran hufanyika kwa uhuru, salama, ushindani na demokrasia
Mar 07, 2017 12:10Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, chaguzi nchini Iran hufanyika katika mazingira huru, salama, ya ushindani na kidemokrasia.