Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rais

  • Rais Kabila atangaza serikali ya mpito, akipuuza chama kikuu cha upinzani

    Rais Kabila atangaza serikali ya mpito, akipuuza chama kikuu cha upinzani

    May 09, 2017 23:52

    Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ametangaza serikali mpya ya mpito licha ya makelele ya wapinzani wanaosema amekiuka makubaliano ya pande mbili.

  • Rais Buhari wa Nigeria arejea London, Uingereza kwa matibabu

    Rais Buhari wa Nigeria arejea London, Uingereza kwa matibabu

    May 08, 2017 02:23

    Muda mfupi baada ya kuonana na wanafunzi wa kike 82 waliokuwa wamewatekwa nyara na kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram katika mji wa Chibok mwaka 2014, mkabala wa kuachiwa huru wafungwa wa kundi hilo, Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria ameondoka nchini na kwenda Uingereza kwa ajili ya kile kinachosemwa ni uchunguzi wa kiafya.

  • Rais wa Angola aafiki uchaguzi mkuu ufanyike Agosti 23

    Rais wa Angola aafiki uchaguzi mkuu ufanyike Agosti 23

    Apr 27, 2017 00:03

    Rais Jose Eduardo dos Santos wa Angola amesaini dikrii inayoruhusu tarehe 23 Agosti mwaka huu kuwa siku ya kufanyika uchaguzi mkuu nchini humo.

  • Rouhani: Marekani inajifanya polisi na jaji wa dunia

    Rouhani: Marekani inajifanya polisi na jaji wa dunia

    Apr 08, 2017 03:23

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa mara nyingine tena amelaani shambulio la Marekani katika kambi ya jeshi la anga nchini Syria na kusema kuwa, Washington inajifanya polisi na jaji wa dunia.

  • Rais aliyeuzuliwa Korea Kusini akamatwa na kuzuiliwa na polisi

    Rais aliyeuzuliwa Korea Kusini akamatwa na kuzuiliwa na polisi

    Mar 31, 2017 10:12

    Rais aliyeondolewa madarakani hivi karibuni wa Korea Kusini, Park Geun-hye amekamatwa na polisi ya nchi hiyo kwa tuhuma za ufisadi na utumiaji mbaya wa madaraka.

  • Waendesha mashtaka Korea Kusini washinikiza kukamatwa rais aliyeuzuliwa

    Waendesha mashtaka Korea Kusini washinikiza kukamatwa rais aliyeuzuliwa

    Mar 27, 2017 03:20

    Waendesha mashtaka nchini Korea Kusini wametoa wito wa kutolewa waranti wa kukamatwa rais aliyeondolewa madarakani hivi karibuni wa nchi hiyo, Park Geun-hye.

  • Rais wa Ghana atetea uamuzi wake wa kuteua mawaziri 110

    Rais wa Ghana atetea uamuzi wake wa kuteua mawaziri 110

    Mar 19, 2017 03:52

    Rais wa Ghana Nana Akufo-Addo amewakosoa vikali wapinzani wake na wanaharakati wanaopinga hatua yake ya kuwateua mawaziri zaidi ya 100 katika serikali yake mpya.

  • Museveni aagiza kuwekwa CCTV Uganda baada ya kuuawa Msemaji wa Polisi

    Museveni aagiza kuwekwa CCTV Uganda baada ya kuuawa Msemaji wa Polisi

    Mar 18, 2017 04:05

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda ameagiza kamera za CCTV zitundikwe katika miji mikubwa na barabara zote kuu za nchi hiyo, kufuatia mauaji ya Msemaji wa Jeshi la Polisi wa nchi hiyo jana Ijumaa.

  • Kiir awaachia huru majenerali wa jeshi na wafungwa wa kisiasa

    Kiir awaachia huru majenerali wa jeshi na wafungwa wa kisiasa

    Mar 11, 2017 03:17

    Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir amewaachia huru makamanda waandamizi wa jeshi la nchi hiyo na kuahidi kuwaachia huru wafungwa wa kisiasa katika siku zijazo.

  • Rais Rouhani: Chaguzi nchini Iran hufanyika kwa uhuru, salama, ushindani na demokrasia

    Rais Rouhani: Chaguzi nchini Iran hufanyika kwa uhuru, salama, ushindani na demokrasia

    Mar 07, 2017 12:10

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, chaguzi nchini Iran hufanyika katika mazingira huru, salama, ya ushindani na kidemokrasia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS