-
Harakati Ya Kiislamu Nigeria yataka haki itendeke kuhusu wafuasi wake waliouawa
Feb 17, 2018 17:16Wafuasi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria wameandamana kwa mnasaba wa Siku ya Arubaini ya kuuawa wafuasi kadhaa wa harakati hiyo wakati wakishiriki katika maandamano ya kutaka Sheikh Ibrahim Zakzaky aachiliwe huru.
-
Nigeria inaendelea kumzuilia Sheikh Zakzaky kwa amri ya Marekani
Feb 04, 2018 16:36Mwanaharakati wa kisiasa nchini Nigeria amekosoa vikali hatua ya serikali ya Abuja ya kukataa kumuachia huru mwanachuoni mashuhuri wa Kiislamu, Sheikh Ibrahim Zakzaky licha ya agizo la mahakama, na kusisitiza kuwa msomi huyo anaendelea kuzuiliwa kwa amri ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Waislamu Nigeria wasisitiza serikali imuachilie huru Sheikh Zakzaky
Jan 15, 2018 07:53Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) imesema hata baada ya serikali kueneza video iliyochujwa ya kiongozi wa harakati hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky, bado hawatatulia hadi pale mwanazuoni huyo atakapoachilia huru.
-
Baada ya miaka miwili, hatimaye Sheikh Zakzaky aonekana mbele ya waandishi wa habari
Jan 14, 2018 04:40Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria ambaye kwa miaka miwili sasa anashikiliwa kinyume cha sheria, kwa mara ya kwanza jana aliruhusiwa kuzungumza na waandishi wa habari.
-
Njama za serikali ya Nigeria dhidi ya Sheikh Zakzaky
Dec 26, 2017 03:47Mwakilishi wa ngazi ya juu wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amesema kuwa serikali ya nchi hiyo inatekeleza njama za kumuua shahidi Sheikh Ibrahim Zakzaky kiongozi wa harakati hiyo.
-
Polisi Nigeria wavuruga maombolezo ya Muharram
Oct 01, 2017 07:49Polisi nchini Nigeria wamehujumu na kuvuruga maombolezo ya siku za Muharram katika mji wa Sokoto kaskazini mwa nchi hiyo na kuwatia mbaroni Waislamu sita waliokuwa katika maombolezo hayo.
-
Harakati ya Kiislamu Nigeria yatahadharisha kuhusu uwezekano wa kuuawa Sheikh Zakzaky
Jul 20, 2017 04:51Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria imeitahadharisha serikali ya nchi hiyo kuhusu njama ya aina yoyote ya kutaka kumuua kiongozi wa harakati hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky anayeshikiliwa na vyombo vya usalama.
-
Polisi Nigeria yatumia mabavu kuzima maandamano ya Waislamu
May 23, 2017 07:09Kwa mara nyingine tena polisi nchini Nigeria imetumia mabomu ya kutoa machozi na maji ya kuwasha kutawanya maandamano ya wananchama wa Harakati ya Kiislamu nchini humo wanaoshinikiza kuachiwa huru kiongozi wao, Sheikh Ibrahim Zakzaky.
-
Waislamu Nigeria kuishtaki serikali kwa kupuuza agizo la koti
Apr 28, 2017 07:55Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria imesema inajiandaa kwenda mahakamani kuishtaki serikali ya nchi hiyo kwa kupuuza agizo lililotolewa na Mahakama ya Federali la kumuachia huru kiongozi wao Sheikh Ibrahim Zakzaky.
-
Waislamu waliouawa na jeshi la Nigeria wakumbukwa katika 'Siku ya Mashahidi'
Apr 26, 2017 02:33Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria imeadhimisha siku ya mashahidi katika maeneo tofauti ya nchi hiyo.