Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sheikh Ibrahim Zakzaky

  • Harakati Ya Kiislamu Nigeria yataka haki itendeke kuhusu wafuasi wake waliouawa

    Harakati Ya Kiislamu Nigeria yataka haki itendeke kuhusu wafuasi wake waliouawa

    Feb 17, 2018 17:16

    Wafuasi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria wameandamana kwa mnasaba wa Siku ya Arubaini ya kuuawa wafuasi kadhaa wa harakati hiyo wakati wakishiriki katika maandamano ya kutaka Sheikh Ibrahim Zakzaky aachiliwe huru.

  • Nigeria inaendelea kumzuilia Sheikh Zakzaky kwa amri ya Marekani

    Nigeria inaendelea kumzuilia Sheikh Zakzaky kwa amri ya Marekani

    Feb 04, 2018 16:36

    Mwanaharakati wa kisiasa nchini Nigeria amekosoa vikali hatua ya serikali ya Abuja ya kukataa kumuachia huru mwanachuoni mashuhuri wa Kiislamu, Sheikh Ibrahim Zakzaky licha ya agizo la mahakama, na kusisitiza kuwa msomi huyo anaendelea kuzuiliwa kwa amri ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Waislamu Nigeria wasisitiza serikali imuachilie huru Sheikh Zakzaky

    Waislamu Nigeria wasisitiza serikali imuachilie huru Sheikh Zakzaky

    Jan 15, 2018 07:53

    Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) imesema hata baada ya serikali kueneza video iliyochujwa ya kiongozi wa harakati hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky, bado hawatatulia hadi pale mwanazuoni huyo atakapoachilia huru.

  • Baada ya miaka miwili, hatimaye Sheikh Zakzaky aonekana mbele ya waandishi wa habari

    Baada ya miaka miwili, hatimaye Sheikh Zakzaky aonekana mbele ya waandishi wa habari

    Jan 14, 2018 04:40

    Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria ambaye kwa miaka miwili sasa anashikiliwa kinyume cha sheria, kwa mara ya kwanza jana aliruhusiwa kuzungumza na waandishi wa habari.

  • Njama za serikali ya Nigeria dhidi ya Sheikh Zakzaky

    Njama za serikali ya Nigeria dhidi ya Sheikh Zakzaky

    Dec 26, 2017 03:47

    Mwakilishi wa ngazi ya juu wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amesema kuwa serikali ya nchi hiyo inatekeleza njama za kumuua shahidi Sheikh Ibrahim Zakzaky kiongozi wa harakati hiyo.

  • Polisi Nigeria wavuruga maombolezo ya Muharram

    Polisi Nigeria wavuruga maombolezo ya Muharram

    Oct 01, 2017 07:49

    Polisi nchini Nigeria wamehujumu na kuvuruga maombolezo ya siku za Muharram katika mji wa Sokoto kaskazini mwa nchi hiyo na kuwatia mbaroni Waislamu sita waliokuwa katika maombolezo hayo.

  • Harakati ya Kiislamu Nigeria yatahadharisha kuhusu uwezekano wa kuuawa Sheikh Zakzaky

    Harakati ya Kiislamu Nigeria yatahadharisha kuhusu uwezekano wa kuuawa Sheikh Zakzaky

    Jul 20, 2017 04:51

    Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria imeitahadharisha serikali ya nchi hiyo kuhusu njama ya aina yoyote ya kutaka kumuua kiongozi wa harakati hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky anayeshikiliwa na vyombo vya usalama.

  • Polisi Nigeria yatumia mabavu kuzima maandamano ya Waislamu

    Polisi Nigeria yatumia mabavu kuzima maandamano ya Waislamu

    May 23, 2017 07:09

    Kwa mara nyingine tena polisi nchini Nigeria imetumia mabomu ya kutoa machozi na maji ya kuwasha kutawanya maandamano ya wananchama wa Harakati ya Kiislamu nchini humo wanaoshinikiza kuachiwa huru kiongozi wao, Sheikh Ibrahim Zakzaky.

  • Waislamu Nigeria kuishtaki serikali kwa kupuuza agizo la koti

    Waislamu Nigeria kuishtaki serikali kwa kupuuza agizo la koti

    Apr 28, 2017 07:55

    Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria imesema inajiandaa kwenda mahakamani kuishtaki serikali ya nchi hiyo kwa kupuuza agizo lililotolewa na Mahakama ya Federali la kumuachia huru kiongozi wao Sheikh Ibrahim Zakzaky.

  • Waislamu waliouawa na jeshi la Nigeria wakumbukwa katika 'Siku ya Mashahidi'

    Waislamu waliouawa na jeshi la Nigeria wakumbukwa katika 'Siku ya Mashahidi'

    Apr 26, 2017 02:33

    Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria imeadhimisha siku ya mashahidi katika maeneo tofauti ya nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS