-
Mafuriko yaua watu 14 Somalia; madaraja, barabara na nyumba zasombwa
Mar 28, 2023 04:06Kwa akali watu 14 wamefariki dunia kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha kusini mwa Somalia.
-
Jumamosi, 25 Machi, 2023
Mar 25, 2023 07:07Leo ni Jumamosi tarehe 3 ya mwezi mtukufu wa Ramadhani 1444 Hijria, mwafaka na tarehe 25 Machi 2023 Miladia.
-
Ripoti: Ukame uliua watu zaidi ya 40,000 nchini Somalia 2022
Mar 21, 2023 22:48Utafiti uliofanywa na Wizara ya Afya ya Uswisi, Shirika la Afya Duniani (WHO) na Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) umeonyesha kuwa, ukame ambao ni mrefu zaidi kuwahi kurekodiwa nchini Somalia umesababisha makumi ya maelfu ya watu kupoteza maisha.
-
Magaidi wa al-Shabaab wapigana wenyewe kwa wenyewe Somalia
Mar 13, 2023 22:39Makundi hasimu ya genge la kigaidi la al-Shabaab la Somalia yameshambuliana katika jimbo lenye mamlaka ya ndani la Puntland.
-
Somalia: Tunajaribu kukomesha machafuko Somaliland
Mar 08, 2023 03:06Rais Hassan Sheikh Mohamud wa Somalia amesema kuwa nchi hiyo inajaribu kurejesha amani katika eneo lililojitenga na nchi hiyo la Somaliland kaskazini mwa nchi kufuatia kuibuka mivutano kati ya mamlaka za utawala na makundi ya koo katika eneo hilo.
-
Makumi ya watu wauawa katika mapigano kaskazini mwa Somalia
Mar 03, 2023 08:40Raia wasiopungua 210 wameuawa katika mapigano yaliyotokea huko Somaliland (eneo linalojitenga kaskazini mwa Somalia), kutokana na mapigano yanayoendelea kati ya makundi yanayoiunga mkono serikali ya Mogadishu na wapiganaji wanaotaka kujitenga. Mapigano hayo yanaendelea tangu siku 24 zilizopita katika eneo hilo.
-
Umoja wa Afrika waanza kuchunguza chanzo cha kuanguka helikopta ya kikosi chake Somalia
Feb 27, 2023 07:50Ujumbe wa Umoja wa Afrika nchini Somalia umetangaza kuanza uchunguzi kuhusu sababu za ajali ya helikopta ya kikosi cha kulinda amani cha umoja huo iliyotokea nchini Somalia.
-
Askari wa jeshi la Kenya waua magaidi wa al-Shabab katika mpaka wa nchi hiyo na Somalia
Feb 17, 2023 03:58Askari wa Jeshi la Ulinzi wa Kenya KDF wamewaua magaidi watatu wa kundi la ukufurishaji la Al-Shabaab la Somalia katika eneo la Sarira kwenye mpaka wa pamoja wa nchi hizo mbili.
-
Jeshi la Somalia latoa pigo jingine kwa al-Shabaab, laua 117 Mudug
Feb 12, 2023 23:04Idadi kubwa ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab wameangamizwa katika operesheni ya jeshi la Somalia katika eneo la Mudug jimboni Galmudug, katikati nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Mapigano yashtadi Somaliland, waliouawa wapindukia 70
Feb 09, 2023 08:35Idadi ya watu waliouawa katika mapigano yanayoendelea kushuhudiwa kwa siku ya nne hii leo katika mji wa Las Anod, mashariki mwa eneo la Somaliland nchini Somalia imeongezeka na kufikia watu 70.