-
Rais wa Sudan aonana na Mkuu wa Shirika la Ujasusi la Misri
Mar 11, 2018 22:59Rais Omar al Bashir wa Sudan ameonana na Mkuu wa Shirika la Ujasusi la Misri mjini Khartoum na kujadiliana naye masuala mbalimbali yanayozihusu nchi hizo mbili.
-
Russia kuijengea Sudan kinu cha nyuklia cha kuzalisha umeme
Mar 11, 2018 04:31Waziri wa Maji na Umeme wa Sudan amesema nchi hiyo na Russia zimefikia makubaliano ambapo Moscow itaijengea Khartoum kinu cha nyuklia cha kiwango cha chini kwa ajili ya kuzalisha umeme.
-
Zaidi ya watu 170 wa nchi tofauti waokolewa kutoka mikononi mwa wafanya magendo Sudan
Mar 05, 2018 04:44Mkuu wa polisi mjini Khartoum, Sudan ametangaza habari ya kuokolewa zaidi ya watu 170 raia wa kigeni kutoka mikononi mwa kundi la wafanya magendo ya binaadamu nchini humo.
-
Sudan yawaachilia huru wafungwa wote wa kisiasa
Feb 19, 2018 04:24Serikali ya Sudan imewaachilia huru wafungwa wote wa kisiasa kufuatia msamaha uliotolewa na Rais wa nchi hiyo Omar Hassan al-Bashir.
-
Ethiopia yaakhirisha mkutano wake na Misri kuhusu bwawa la al-Nahdha
Feb 18, 2018 23:33Misri imekubali ombi la Ethiopia la kuakhirisha mkutano wa pande mbili wa kujadili suala tata la bwawa la al-Nahdha linalojengwa na Uhabeshi, baada ya Adiss Ababa kutangaza sheria ya hali ya hatari.
-
UN: Maelfu ya Wasudani Kusini watakimbilia Sudan mwaka huu wa 2018
Feb 17, 2018 04:45Ofisi ya kuratibu masuala ya kibinadamu ya Umoja wa Mataifa imesema katika ripoti yake mpya kwamba karibu wakimbizi laki mbili kutoka Sudan Kusini wataingia nchi jirani ya Sudan mwaka huu wa 2018.
-
Makumi ya wanamgambo wa serikali za Sudan na Saudia wauawa nchini Yemen
Feb 15, 2018 00:34Duru mbalimbali za Yemen zimetangaza habari ya kuuawa makumi ya wanamgambo wa serikali za Sudan na Saudi Arabia katika vita na jeshi la Yemen na vikosi vya kujitolea vya wananchi ndani ya ardhi ya Yemen.
-
Wapinzani wa serikali wazidi kutiwa mbaroni nchini Sudan
Feb 03, 2018 00:07Idadi ya wakuu wa vyama vya siasa, wanaharakati wa kisiasa na waandishi wa habari waliotiwa mbaroni nchini Sudan tangu yalipoanza malalamiko ya wananchi ya kulalamika kupanda bei ya bidhaa imeongezeka nchini humo.
-
Raia wa Sudan Kusini waendelea kuikimbia nchi yao kutokana na machafuko
Jan 31, 2018 23:09Mwakilishi wa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR ameelezea ongezeko la raia wa Sudan Kusini wanaokimbia nchi yao kuelekea nchi jirani ya Sudan.
-
Chama cha Umma chawataka wananchi kuandamana dhidi ya serikali ya Sudan
Jan 28, 2018 12:16Chama cha Umma cha nchini Sudan kimewatolea mwito wananchi kuandamana dhidi ya serikali ya Khartoum.