Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan Kusini

  • Licha ya kufikiwa maafikiano ya kusitisha vita, mapigano yaanza tena Sudan Kusini

    Licha ya kufikiwa maafikiano ya kusitisha vita, mapigano yaanza tena Sudan Kusini

    Sep 25, 2018 10:40

    Mapigano kati ya vikosi vya jeshi la serikali ya Sudan Kusini na vya kundi kubwa zaidi la waasi yameanza tena kaskazini mwa nchi hiyo baada ya kupita wiki mbili tangu pande hizo mbili zisaini makubaliano ya usitishaji vita.

  • Amnesty yasajili jinai mpya za kivita nchini Sudan Kusini

    Amnesty yasajili jinai mpya za kivita nchini Sudan Kusini

    Sep 19, 2018 02:56

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeituhumu serikali ya Sudan Kusini na makundi ya wabeba silaha yanayoungwa mkono na serikali hiyo kwamba yametenda jinai za kivita na ukatili wa kutisha dhidi ya raia.

  • UN yaeleza wasiwasi wake kuhusu vitendo vya ukatili Sudan Kusini

    UN yaeleza wasiwasi wake kuhusu vitendo vya ukatili Sudan Kusini

    Sep 18, 2018 08:26

    Umoja wa Mataifa umetangaza kwamba una wasiwasi kuhusu vitendo vya ukatili na mateso dhidi ya raia hususan wanawake na watoto wadogo vinavyoendelea kufanyika Sudan Kusini.

  • UN yalaani kushambuliwa askari wake Sudan Kusini

    UN yalaani kushambuliwa askari wake Sudan Kusini

    Sep 16, 2018 10:34

    Kamanda wa askari wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini amelaani kitendo cha kushambuliwa maafisa wake nchini humo.

  • Mapigano yaanza tena Sudan Kusini siku mbili baada ya kusainiwa makubaliano rasmi ya amani

    Mapigano yaanza tena Sudan Kusini siku mbili baada ya kusainiwa makubaliano rasmi ya amani

    Sep 14, 2018 20:16

    Mapigano yameanza tena upya nchini Sudan Kusini siku mbili baada ya pande zinazopigana kusaini makubaliano rasmi ya suluhu na amani kwa lengo la kuhitimisha vita vya ndani nchini humo.

  • UN yawapongeza mahasimu  Sudan Kusini kwa kutia saini mkataba wa amani

    UN yawapongeza mahasimu Sudan Kusini kwa kutia saini mkataba wa amani

    Sep 14, 2018 02:31

    Katibu mkuu wa Umoja wa mataifa António Guterres amesema kuwa, kusainiwa mkataba ulioboreshwa wa kutatua migogoro nchini Sudan Kusini (RARCSS) tarehe 12 mwezi huu wa Septemba 2018 ni maendeleo mazuri na muhimu.

  • Kiir na Machar watia saini makubaliano ya amani Sudan Kusini

    Kiir na Machar watia saini makubaliano ya amani Sudan Kusini

    Sep 13, 2018 00:11

    Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini na hasimu wake wa kisiasa, Riek Machar jana walitia saini makubaliano ya amani katika mkutano uliofanyika mjini Addis Ababa, Ethiopia.

  • Watu wasiopungua 17 waaga dunia katika ajali ya ndege Sudan Kusini

    Watu wasiopungua 17 waaga dunia katika ajali ya ndege Sudan Kusini

    Sep 09, 2018 11:27

    Watu wasiopungua 17 wamepoteza maisha baada ya ndege ndogo iliyokuwa imebeba abiria kutoka uwanja wa ndege wa kimataifa wa Juba ikielekea katika mji wa Yirol kuanguka hii leo. Hayo yameelezwa na Taban Abel, Waziri wa Habari wa Sudan Kusini.

  • UN yaitaka Sudan Kusini kupambana haraka na uvunjaji wa haki za watoto

    UN yaitaka Sudan Kusini kupambana haraka na uvunjaji wa haki za watoto

    Sep 08, 2018 10:21

    Mjumbe maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya watoto na mapigano ya kutumia silaha ameisisitizia serikali ya Sudan Kusini wajibu wake wa kuchukua hatua za haraka za kupambana na uvunjaji wa haki za watoto na kuwapandisha kizimbani wahalifu.

  • Sudan Kusini yawafunga jela wanajeshi wabakaji

    Sudan Kusini yawafunga jela wanajeshi wabakaji

    Sep 07, 2018 11:26

    Mahakama ya jeshi Sudan Kusini imewahukumu vifungo virefu wanajeshi 10 waliowabaka wafanyakazi wageni watoa misaada, mbali na uporaji na mauaji yaliyotokea upya mwezi Julai 2016.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS