Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan Kusini

  • Upinzani Sudan Kusini wataka mazungumzo ya amani yafanyike Ethiopia

    Upinzani Sudan Kusini wataka mazungumzo ya amani yafanyike Ethiopia

    Mar 20, 2018 11:33

    Mrengo mkuu wa upinzani nchini Sudan Kusini umepinga mashinikizo ya serikali ya Juba ya kuitaka Jumuiya ya Maendeleo ya Kiserikali ya Nchi za Afrika Mashariki IGAD ibadilishe sehemu ya kufanyika mazungumzo ya amani kutoka Addis Ababa, Ethiopia.

  • Umoja wa Mataifa waongeza muda wa oparesheni zake za amani Sudan Kusini

    Umoja wa Mataifa waongeza muda wa oparesheni zake za amani Sudan Kusini

    Mar 16, 2018 03:24

    Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa limepitisha uamuzi wa kuongezea muda Oparesheni Maalumu ya Kulinda Amani ya Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini (UNMISS) hadi tarehe 15, Machi mwaka 2019.

  • WFP: Watu milioni 7 wanakabiliwa na njaa Sudan Kusini

    WFP: Watu milioni 7 wanakabiliwa na njaa Sudan Kusini

    Mar 13, 2018 23:14

    Zaidi ya watu milioni saba kati ya milioni 12 nchini Sudan Kusini huenda wakakabiliwa na uhaba wa chakula katika miezi michache ijayo kusipopatikana misaada ya kibinadamu.

  • Sudan: Tuko tayari kupanua ushirikiano wetu na nchi ya Qatar

    Sudan: Tuko tayari kupanua ushirikiano wetu na nchi ya Qatar

    Mar 12, 2018 03:52

    Ibrahim Ghandour, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Sudan amesema kuwa, nchi yake iko tayari kustawisha ushirikiano wake na nchi ya Qatar.

  • Homa ya uti wa mgongo yaendelea kuaw watu Sudan Kusini

    Homa ya uti wa mgongo yaendelea kuaw watu Sudan Kusini

    Mar 09, 2018 00:20

    Afisa mmoja wa masuala ya kiutaalamu wa Shirika la Afya Duniani WHO ameripoti habari ya kupoteza maisha karibu watu 30 kutokana na homa ya uti wa mgongo nchini Sudan Kusini.

  • Sudan Kusini yaomba uanachama Arab League

    Sudan Kusini yaomba uanachama Arab League

    Mar 06, 2018 23:48

    Sudan Kusini jana Jumanne iliwasilisha ombi rasmi la kuwa mwanachama katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League).

  • Sudan Kusini yapinga sera za Magharibi za kuingilia mambo ya ndani ya nchi hiyo

    Sudan Kusini yapinga sera za Magharibi za kuingilia mambo ya ndani ya nchi hiyo

    Mar 06, 2018 13:46

    Serikali ya Sudan Kusini imepinga vikali sera za nchi za Magharibi za kuingilia mambo ya ndani ya nchi hiyo na kutahadharisha kuwa, mashinikizo ya nchi hizo hayawezi kusaidia mwenendo wa kurejesha amani huko Sudan Kusini.

  • IGAD yaunga mkono vikwazo dhidi ya wanaovuruga amani Sudan Kusini

    IGAD yaunga mkono vikwazo dhidi ya wanaovuruga amani Sudan Kusini

    Mar 02, 2018 04:09

    Jumuiya ya Maendeleo ya Kiserikali ya Nchi za Afrika Mashariki IGAD imetangaza kuwa inaunga mkono hatua ya kuwekewa vikwazo viongozi na shakhsia wote wanaokwamisha jitihada za kupatiwa ufumbuzi mgogoro nchini Sudan Kusini.

  • Sudan Kusini yakaribia kukumbwa na baa jingine la njaa

    Sudan Kusini yakaribia kukumbwa na baa jingine la njaa

    Feb 26, 2018 11:05

    Karibu theluthi mbili ya jamii nzima ya watu wa Sudan Kusini wanahitaji misaada ya chakula ili kukabiliana na njaa. Hayo yameelezwa na maafisa wa serikali na Umoja wa Mataifa.

  • Walinda amani Sudan Kusini wakumbwa na kashfa ya kimaadili

    Walinda amani Sudan Kusini wakumbwa na kashfa ya kimaadili

    Feb 26, 2018 03:51

    Baadhi ya walinda amani wa Umoja wa Mataifa wanakabiliwa na tuhuma za kufanya ufisadi wa kimaadili katika mji wa Wau wa Sudan Kusini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS