Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan Kusini

  • Mkuu wa Mahakama za Kijeshi Sudan Kusini ajiuzulu, aishutumu serikali

    Mkuu wa Mahakama za Kijeshi Sudan Kusini ajiuzulu, aishutumu serikali

    Feb 18, 2017 12:51

    Mkuu wa Mahakama za Kijeshi nchini Sudan Kusini, Kanali Khalid Ono Loki amejiuzulu na kueleza kwamba uingiliaji unaofanywa kutoka ngazi za juu umesababisha kutowezekana kuwachukulia hatua za kuwaadhibu askari wanaotuhumiwa kufanya ubakaji na mauaji wakati wa vita vya ndani nchini humo.

  • Waziri ajiuzulu Sudan Kusini, ajiunga na kundi la waasi

    Waziri ajiuzulu Sudan Kusini, ajiunga na kundi la waasi

    Feb 17, 2017 11:05

    Waziri wa Leba wa Sudan Kusini ametangaza kujiuzulu na kusema kuwa sasa ataunga mkono harakati zinazofanywa na waasi wanaomuunga mkono Riek Machar, Makamu wa Rais wa zamani wa nchi hiyo.

  • UN: Wakimbizi waliotoweka Sudan Kusini hatima yao haijulikani

    UN: Wakimbizi waliotoweka Sudan Kusini hatima yao haijulikani

    Feb 17, 2017 04:06

    Umoja wa Mataifa umeelezea wasiwasi ulionao kutokana na kutokuweko taarifa za kutosha kuhusiana na hali ya wakimbizi waliotoweka huko katika nchi ya Sudan Kusini.

  • Ripoti ya Umoja wa Mataifa na wasi wasi juu ya Sudan Kusini

    Ripoti ya Umoja wa Mataifa na wasi wasi juu ya Sudan Kusini

    Feb 15, 2017 09:25

    Kufuatia kuendelea mapigano nchini Sudan Kusini, Umoja wa Mataifa umezitaja taathira za vita vya ndani nchini humo kuwa ni janga na kuonya juu ya uwezekano wa kuendelea mapigano hayo kwa miaka kadhaa ijayo.

  • UN yaeleza wasiwasi wake kuhusu hali mbaya ya Sudan Kusini

    UN yaeleza wasiwasi wake kuhusu hali mbaya ya Sudan Kusini

    Feb 14, 2017 09:39

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusu machafuko na mapigano yanayoshadidi zaidi nchini Sudan Kusini.

  • Naibu Mkuu wa Majeshi Sudan Kusini ajiuzulu kulalamikia ubakaji na udhalilishaji raia

    Naibu Mkuu wa Majeshi Sudan Kusini ajiuzulu kulalamikia ubakaji na udhalilishaji raia

    Feb 12, 2017 12:48

    Naibu Mkuu wa Majeshi ya Sudan Kusini anayehusika na masuala ya kilojistiki Luteni Jenerali Thomas Cirillo Swaka amejiuzulu kulalamikia vitendo vya unyanyasaji vikiwemo vya udhalilishaji wa kingono unaofanywa na vikosi vya usalama dhidi ya raia na kile alichokiita kuongezeka upendeleo wa kikabila jeshini.

  • UN yatahadharisha kuhusu machafuko Sudan Kusini

    UN yatahadharisha kuhusu machafuko Sudan Kusini

    Feb 10, 2017 21:54

    Umoja wa Mataifa umevitahadharisha vikosi vya jeshi la serikali na wapinzani huko Sudan Kusini kuhusu kuendeleza hali ya machafuko nchini humo.

  • UN: Wakimbizi 52,000 wa Sudan Kusini wameingia Uganda mwezi jana

    UN: Wakimbizi 52,000 wa Sudan Kusini wameingia Uganda mwezi jana

    Feb 09, 2017 03:56

    Umoja wa Mataifa umesema wakimbizi 52,000 raia wa Sudan Kusini waliingia nchini Uganda mwezi uliopita pekee wa Januari, kutokana na kuendelea kushuhudiwa mauaji na machafuko katika nchi yao.

  • Salva Kiir asema atagombea urais Sudan Kusini mwakani

    Salva Kiir asema atagombea urais Sudan Kusini mwakani

    Feb 08, 2017 00:04

    Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini ametangaza kuwa atawania kiti cha rais kwa muhula mwengine katika uchaguzi mkuu unaotazamiwa kufanyika mwakani.

  • Rais wa Sudan Kusini: Askari wanaobaka inapasa wauawe

    Rais wa Sudan Kusini: Askari wanaobaka inapasa wauawe

    Feb 07, 2017 00:29

    Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini amesema askari wanaowabaka raia inapasa wauawe kwa kupigwa risasi. Rais Kiir alitangaza msimamo huo jana katika hotuba aliyotoa wakati alipotembelea mji wa Yei.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS