Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Iran yalaani hujuma ya Marekani katika msikiti nchini Syria

    Iran yalaani hujuma ya Marekani katika msikiti nchini Syria

    Mar 19, 2017 00:20

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali hatua ya ndege za kivita za Marekani kuushambulia kwa mabomu msikiti mmoja katika kitongoji kimoja cha mji wa Halab (Aleppo) nchini Syria.

  • Wapalestina waliunga mkono jeshi na serikali ya Syria

    Wapalestina waliunga mkono jeshi na serikali ya Syria

    Mar 18, 2017 12:20

    Mwakilishi wa harakati ya Jihadul Islami ya Palestina hapa mjini Tehran amesema kuwa, makundi ya muqawama ya Palestina yanaliunga mkono jeshi na serikali ya Syria katika kukabiliana na uchokozi wa utawala wa Kizayuni na pia kukomboa maeneo yanayokaliwa kwa mabavu na Israel.

  • Russia yamuita Balozi wa Israel kuhusu shambulio dhidi ya Syria

    Russia yamuita Balozi wa Israel kuhusu shambulio dhidi ya Syria

    Mar 18, 2017 03:40

    Russia imemuita Balozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel mjini Moscow ajieleza kuhusu hatua ya jeshi la utawala huo kuhujumu anga ya Syria sambamba na kutekeleza mashambulizi kadhaa katika ardhi ya nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Syria: Shambulizi la Israel ni jaribio la kuwapa motisha magaidi

    Syria: Shambulizi la Israel ni jaribio la kuwapa motisha magaidi

    Mar 17, 2017 23:20

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imemwandikia barua Karibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kuhusu shambulizi lililofanywa na utawala haramu wa Israel katika ardhi ya nchi hiyo na kusema ni ukiukaji wa sheria za kimataifa na mamlaka ya kujitawala ya Syria.

  • Jeshi la Syria latungua ndege ya kivita ya Israel wakati ikiwasaidia lSIS, lsrael yapatwa na wasi wasi mkubwa

    Jeshi la Syria latungua ndege ya kivita ya Israel wakati ikiwasaidia lSIS, lsrael yapatwa na wasi wasi mkubwa

    Mar 17, 2017 15:09

    Komandi kuu ya jeshi la Syria imetangaza kuwa kikosi cha anga cha jeshi la nchi hiyo kimetungua ndege ya kivita ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel wakati ilipokuwa katika safari yake kuelekea mji wa Palmyra, magharibi mwa mji wa Homs kuwasaidia magaidi walioshindwa wa Daeish.

  • Shambulio la anga la Marekani laua watu 42 na kujeruhi 100 msikitini Syria

    Shambulio la anga la Marekani laua watu 42 na kujeruhi 100 msikitini Syria

    Mar 17, 2017 04:09

    Raia wasiopungua 42 wameuawa katika shambulio la anga la jeshi la Marekani lililolenga msikiti uliojaa waumini ndani yake karibu na mji wa Halab (Aleppo) kaskazini mwa Syria. Watu wengine zaidi ya 100 wamejeruhiwa katika shambulio hilo lililofanywa katika kijiji cha al-Jineh kilichopo kilomita 30 magharibi mwa mji wa Halab.

  • Jeshi la Syria lakomboa misikiti mitatu toka mikononi mwa Daesh

    Jeshi la Syria lakomboa misikiti mitatu toka mikononi mwa Daesh

    Mar 15, 2017 03:38

    Jeshi na vikosi vya kujitolea vya wananchi wa Syria vimekomboa misikiti mitatu iliyokuwa chini ya udhibiti wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh, mashariki mwa mji wa Damascus.

  • UNICEF: Watoto zaidi ya 600 wameuawa nchini Syria 2016

    UNICEF: Watoto zaidi ya 600 wameuawa nchini Syria 2016

    Mar 14, 2017 22:59

    Mfuko wa Kushughulikia Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umesema mamia ya watoto waliuawa mwaka jana 2016 katika mgogoro wa Syria, mwaka unaotajwa kuwa mbaya zaidi kuuliwa watoto nchini humo.

  • Iran, Hizbullah zalaani hujuma ya kigaidi mjini Damascus

    Iran, Hizbullah zalaani hujuma ya kigaidi mjini Damascus

    Mar 12, 2017 03:57

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani mashambulizi ya kigaidi yaliyofanyika jana Jumamosi katika mji wa Damascus nchini Syria, ambapo makumi ya watu waliuawa na wengine wengi kujeruhiwa.

  • Assad: Wanajeshi wa Marekani, Uturuki wamevamia Syria

    Assad: Wanajeshi wa Marekani, Uturuki wamevamia Syria

    Mar 11, 2017 23:30

    Rais Bashar Assad wa Syria amesema wanajeshi wote wa kigeni waliongia nchini humo bila idhini ya seirikali ya Damascus ni wavamizi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS