Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Rais Assad: Saudia ilinipa sharti la kukata uhusiano na Iran ili niwe muitifaki wake

    Rais Assad: Saudia ilinipa sharti la kukata uhusiano na Iran ili niwe muitifaki wake

    Oct 15, 2016 04:54

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amefichua kuwa, Saudi Arabia ilimpa sharti la kukata uhusiano na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ili iwe mwitifaki wake sanjari na kupata misaada yake.

  • Russia: Hatuna matumaini ya kufanikiwa mazungumzo ya Lausanne

    Russia: Hatuna matumaini ya kufanikiwa mazungumzo ya Lausanne

    Oct 15, 2016 00:27

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ametabiri kuwa mazungumzo yatakayofanyika leo (Jumamosi) katika mji wa Lausanne nchini Uswisi kuhusu Syria hayatakuwa na natija ya maana.

  • Saudia ilishambulia kwa makusudi kikao cha maombolezo mjini Sanaa

    Saudia ilishambulia kwa makusudi kikao cha maombolezo mjini Sanaa

    Oct 12, 2016 00:36

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema Saudi Arabia ilishambulia kwa makusudi kikao cha khitma na maombolezo mjini Sanaa ambapo mamia ya watu waliuawa na kujeruhiwa siku ya Jumamosi.

  • Magaidi wa Kiwahabi washambulia shule Syria, waua wanafunzi

    Magaidi wa Kiwahabi washambulia shule Syria, waua wanafunzi

    Oct 11, 2016 11:50

    Magaidi wa Kiwahabi wamefanya shambulio dhidi ya shule moja kusini mwa Syria na kuua watoto kadhaa waliokuwa darasani.

  • Kuongezeka uungaji mkono wa Marekani kwa magaidi wa Syria

    Kuongezeka uungaji mkono wa Marekani kwa magaidi wa Syria

    Oct 11, 2016 03:11

    Duru za habari zimeripoti kuwa, baada ya dola la kibeberu la Marekani kuwapatia magaidi wa Syria makombora ya Grad, hivi sasa Washington imeyapa magenge hayo makombora ya kutungulia ndege ya kubeba begani.

  • Mgogoro wa Syria na ukwamishaji wa viongozi wa Marekani

    Mgogoro wa Syria na ukwamishaji wa viongozi wa Marekani

    Oct 08, 2016 02:50

    Marekani imekuwa ikifanya njama mbalimbali za kukwamisha jitihada za kuutafutia ufumbuzi wa kisiasa mgogoro wa nchi ya Kiarabu ya Syria, suala ambalo limewafanya maafisa wa Umoja wa Mataifa washindwe kuvumilia na kuamua kuilalamikia Marekani kwa njama zake hizo.

  • Russia yaipatia Syria ngao ya ulinzi ya makombora ya S 300 kwa ajili ya kujilinda

    Russia yaipatia Syria ngao ya ulinzi ya makombora ya S 300 kwa ajili ya kujilinda

    Oct 04, 2016 11:36

    Duru za habari zimeripoti kujiri makabidhiano ya ngao ya ulinzi ya makombora ya S 300 kati ya Russia na serikali halali ya Syria. Viongozi wa Marekani wametangaza kuwa, tayari Russia imeikabidhi ngao hiyo ya makombora serikali ya Damascus.

  • Raia wa Syria watumiwa kama ngao ya binadamu

    Raia wa Syria watumiwa kama ngao ya binadamu

    Oct 03, 2016 23:27

    Raia zaidi ya 100 wameuawa huko Syria katika kipindi cha mwezi mmoja uliopita.

  • Magaidi wazidi kuangamizwa katika maeneo tofauti ya Syria

    Magaidi wazidi kuangamizwa katika maeneo tofauti ya Syria

    Oct 03, 2016 03:55

    Habari kutoka nchini Syria zinasema kuwa, makumi ya magaidi wanaendelea kuuawa katika mashambulizi ya jeshi la Syria na ndege za Russia.

  • Makumi wauawa na kujeruhiwa katika hujuma Aleppo Syria

    Makumi wauawa na kujeruhiwa katika hujuma Aleppo Syria

    Oct 01, 2016 04:42

    Habari kutoka Syria zinasema kwa akali watu 18 wameuwa na makumi ya wengine wamejeruhiwa katika hujuma ya maroketi iliyotekelezwa na makundi ya kitakfiri katika eneo la makazi ya watu mjini Aleppo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS