Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Operesheni za kuikomboa Halab Syria zinaendelea

    Operesheni za kuikomboa Halab Syria zinaendelea

    Apr 10, 2016 10:41

    Waziri wa Habari wa Syria amesema kuwa, opereseheni za jeshi la nchi hiyo na vikosi vya wananchi dhidi ya magenge ya kigaidi, zingali zinaendelea.

  • Marekani imewakabidhi silaha magaidi Syria

    Marekani imewakabidhi silaha magaidi Syria

    Apr 09, 2016 22:35

    Tovuti moja ya habari imefichua kuwa Marekani hadi sasa imeshatoa msaada wa tani elfu tatu za silaha kwa magaidi wa Al Qaeda na washirika wao nchini Syria.

  • Mjumbe wa UN kuitembelea Tehran kuhusu mgogoro wa Syria

    Mjumbe wa UN kuitembelea Tehran kuhusu mgogoro wa Syria

    Apr 08, 2016 03:47

    Staffan de Mistura mjumbe maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Syria anatazamiwa kuitembelea Iran karibuni hivi.

  • Daesh yaua makumi kwa gesi ya sumu huko Sheikh Maqsood

    Daesh yaua makumi kwa gesi ya sumu huko Sheikh Maqsood

    Apr 08, 2016 00:16

    Watu wasiopungua 23 wameuawa na wengine zaidi ya 100 kujeruhiwa katika shambulio la silaha za kemikali lililofanywa na magaidi wa kundi la Daesh dhidi ya wapiganaji a Kikurdi wa People's Protection Units (YPG) karibu na mji wa Aleppo nchini Syria.

  • Kerry aiomba Iran isaidie kuhatimisha vita Syria na Yemen

    Kerry aiomba Iran isaidie kuhatimisha vita Syria na Yemen

    Apr 07, 2016 11:50

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani John Kerry, ameomba msaada wa Iran ili kuhatimisha vita katika nchi za Syria na Yemen.

  • Daesh watumia silaha za kemikali dhidi ya uwanja wa ndege Syria

    Daesh watumia silaha za kemikali dhidi ya uwanja wa ndege Syria

    Apr 05, 2016 02:57

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh limeshambulia uwanja wa ndege wa kijeshi mashariki mwa Syia, kwa silaha za kemikali.

  • Waziri Mkuu wa Syria: Ushirikiano wa Iran na Syria umeimarisha mhimili wa mapambano

    Waziri Mkuu wa Syria: Ushirikiano wa Iran na Syria umeimarisha mhimili wa mapambano

    Apr 04, 2016 02:55

    Waziri Mkuu wa Syria amesema kuwa ushirikiano wa pande zote kati ya Iran na Syria umeimarisha mhimili wa muqawama dhidi ya njama za Kizayuni na Marekani katika eneo.

  • Algeria yapokea wakimbizi wa Syria, Libya na Mali

    Algeria yapokea wakimbizi wa Syria, Libya na Mali

    Apr 03, 2016 09:02

    Gazeti moja linalochapishwa nchini Uingereza limeripoti kuwa Algeria imekuwa mwenyeji wa makumi ya maelfu ya wakimbizi kutoka Syria, Libya na Mali.

  • Katibu MKuu wa UN: Mgogoro wa Syria hautatuki kwa mtutu wa bunduki

    Katibu MKuu wa UN: Mgogoro wa Syria hautatuki kwa mtutu wa bunduki

    Apr 02, 2016 22:26

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amesisitiza kwa mara nyengine tena kuwa mgogoro wa Syria hauwezi kutatuliwa kwa kutumia nguvu za kijeshi.

  • Kaburi la umati lagunduliwa Palmyra, nchini Syria

    Kaburi la umati lagunduliwa Palmyra, nchini Syria

    Apr 02, 2016 03:22

    Jeshi la Syria limegundua kaburi la umati ambalo lilikuwa limefukiwa makumi ya watu waliouawa na kundi la kigaidi na kitaifiri la Daesh katika mji uliokombolewa hivi karibuni wa Palmyra.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS