-
SADC: Burundi imalize mgogoro wa kisiasa ili ipewe uanachama
Feb 28, 2017 03:51Jumuiya ya Ustawi ya Nchi za Kusini mwa Afrika SADC imeitaka Burundi kuupatia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa unaoikabili kwa sasa, iwapo inataka kuwa mwanachama wa jumuiya hiyo ya kikanda.
-
Ombi la Burundi kwa serikali ya Tanzania la kuwakamata wapinzani wake
Feb 19, 2017 23:20Katika hali ambayo juhudi za kuondokana na mgogoro wa kisiasa nchini Burundi bado zinaendelea, serikali ya Bujumbura imeiomba Tanzania kuwatia mbaroni wapinzani wake ambao wanaosakwa na mahakama za nchi hiyo, ambao kwa hivi sasa wako kaskazini mwa Tanzania.
-
Burundi yaitaka serikali ya Tanzania iwatie mbaroni wapinzani
Feb 18, 2017 23:12Serikali ya Burundi imeitaka Tanzania iwatie mbaroni wapinzani hao ambao wanashiriki kikao cha mazungumzo ya amani huko kaskazini mwa Tanzania huku wakiwa wanatafutwa na mahakama ya nchi hiyo kwa kuhusika na mapinduzi yaliyofeli.
-
Serikali ya Burundi kutoshiriki mazungumzo ya amani, Tanzania
Feb 16, 2017 04:30Serikali ya Burundi imesema haitoshiriki katika mazungumzo ya kujaribu kuutafutia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa wa nchi hiyo yanayotazamiwa kuanza hii leo nchini Tanzania.
-
Mabaharia wa Iran waachiwa huru Tanzania, wanarejea leo nchini
Feb 14, 2017 10:08Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, mabaharia wa Kiirani waliokuwa wameingia kikakosa katika maji ya Tanzania na kutiwa nguvuni, wameachiwa huru.
-
Ulimwengu wa Michezo, Februari 13
Feb 13, 2017 04:37Mkusanyiko wa matukio kemkem ya spoti ndani ya siku saba zilizopita......................
-
Viongozi wa Kiislamu Tanzania waunga mkono vita dhidi ya mihadarati
Feb 10, 2017 04:37Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam nchini Tanzania Alhad Mussa Salum amesema dawa za kulevya zinateketeza nguvukazi ya taifa, jambo ambalo halipaswi kuachwa liendelee kumea.
-
Mutharika: Mazungumzo mapya kuhusu mzozo wa mpaka wa Tanzania/Malawi kuanza
Feb 07, 2017 11:35Rais Peter Mutharika wa Malawi amesema duru mpya ya mazungumzo ya kujaribu kuupatia ufumbuzi mzozo wa mpaka wa nchi hiyo na jirani yake, Tanzania itaanza karibuni hivi.
-
Tanzania: Wakati mwingine polisi wasio waaminifu wanachangia kukwamisha mapambano dhidi ya dawa za kulevya
Feb 02, 2017 18:52Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Tanzania Poul Makonda amesema kuwa, wakati mwingine juhudi za kupambana na janga la madawa ya kulevya, zinakwamishwa na maafisa wa polisi wasio waaminifu.
-
Kongamano la wafuasi wa dini kuishi kwa masikilizano lafanyika UDSM, Tanzania
Feb 01, 2017 13:07Kongamano la wafuasi wa dini mbalimbali kuishi kwa masikilizano na utumiaji wa akili na mantiki kwa mtazamo wa mafundisho ya Imam Ridha (as) limefanyika katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam nchini Tanzania.