Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tanzania

  • Iran na Zanzibar kuimarisha uhusiano wa pande mbili

    Iran na Zanzibar kuimarisha uhusiano wa pande mbili

    Jan 24, 2017 04:47

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Michezo na Utalii wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar nchini Tanzania amesema kutangazwa Mash'had kaskazini mashariki mwa Iran kuwa mji mkuu wa kiutamaduni wa ulimwengu wa Kiislamu utaandaa mazingira ya kuimarisha uhusiano wa pande mbili kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Zanzibar.

  • Rais wa Uturuki yuko Tanzania, asaini mikataba kadhaa ya maelewano

    Rais wa Uturuki yuko Tanzania, asaini mikataba kadhaa ya maelewano

    Jan 24, 2017 04:07

    Rais wa Uturuki yuko nchini Tanzania katika ziara rasmi ya kiserikali inayopania kuimarisha uhusiano wa pande mbili katika nyanja tofauti.

  • Uchaguzi mdogo wa Bunge Zanzibar, CCM yashinda kiti cha Dimani, yaongoza udiwani

    Uchaguzi mdogo wa Bunge Zanzibar, CCM yashinda kiti cha Dimani, yaongoza udiwani

    Jan 23, 2017 01:21

    Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeshinda katika uchaguzi wa ubunge Jimbo la Dimani, Zanzibar na kuzoa viti vya udiwani katika maeneo mengi Tanzania Bara katika majimbo ambayo kura zake zilikuwa zimehesabiwa na matokeo yake kutolewa hadi kufikia jana usiku.

  • Uchaguzi mdogo wa ubunge Zanzibar; mgombea wa upinzani adai ni 'vurugu tupu'

    Uchaguzi mdogo wa ubunge Zanzibar; mgombea wa upinzani adai ni 'vurugu tupu'

    Jan 22, 2017 13:32

    Uchaguzi mdogo wa jimbo la ubunge la Dimani viswani Zanzibar nchini Tanzania umefanyika leo huku chama kikuu cha upinzani visiwani humo cha Wananchi (CUF) kikilalamikia kile kilichodai kuwa ni ukiukaji mkubwa wa sheria na taratibu za uchaguzi.

  • SAUTI: Maadhimisho ya sherehe za miaka 53 ya mapinduzi visiwani Zanzibar

    SAUTI: Maadhimisho ya sherehe za miaka 53 ya mapinduzi visiwani Zanzibar

    Jan 12, 2017 13:52

    Leo visiwa vya Zanzibar vimeadhimisha sherehe za miaka 53 ya mapinduzi ya Januari 1964.

  • Watu 12 wafariki dunia kwa kuzama maji nchini Tanzania

    Watu 12 wafariki dunia kwa kuzama maji nchini Tanzania

    Jan 11, 2017 01:20

    Watu 12 wameripotiwa kufa maji baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kuzama baharini nchini Tanzania.

  • Ulimwengu wa Spoti, Jan 9

    Ulimwengu wa Spoti, Jan 9

    Jan 09, 2017 02:58

    Mkusanyiko wa matukio muhimu ya michezo ndani ya siku saba zilizopita......

  • Tanzania kuchunguza madai ya kuifanyia ujasusi Malawi

    Tanzania kuchunguza madai ya kuifanyia ujasusi Malawi

    Dec 27, 2016 01:13

    Serikali ya Tanzania imesema, itafanya uchunguzi kuhusu habari zilizoripotiwa jana na vyombo vya habari vya Malawi vinavyodai kuwa majasusi wanane wa Tanzania wametiwa mbaroni wakifanya ujasusi katika mgodi mmoja wa urani katika nchi hiyo jirani.

  • Tanzania yakanusha kuweko nchini humo kirusi cha Zika

    Tanzania yakanusha kuweko nchini humo kirusi cha Zika

    Dec 17, 2016 13:31

    Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imesema hakuna uthibitisho wa kuwepo kwa ugonjwa wa Zika nchini humo.

  • Miili sita yapatikana mtoni Mkoa wa Pwani, nchini Tanzania

    Miili sita yapatikana mtoni Mkoa wa Pwani, nchini Tanzania

    Dec 08, 2016 06:07

    Maiti sita ambazo hazijatambulika zimekutwa zikielea katika Mto Ruvu eneo la Bagamoyo, Mkoa wa Pwani nchini Tanzaia, zikiwa zimehifadhiwa kwenye mifuko ya plastiki.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS