SAUTI: Maadhimisho ya sherehe za miaka 53 ya mapinduzi visiwani Zanzibar
Jan 12, 2017 13:52 UTC
Leo visiwa vya Zanzibar vimeadhimisha sherehe za miaka 53 ya mapinduzi ya Januari 1964.
Hii ni katika hali ambayo kumeedelea kushuhudiwa kwa mkwamo wa kisiasa ulioibuka tangu kumalizika kwa uchaguzi mkuu wa terehe 25 Oktoba mwaka juzi baada ya tume ya uchaguzi kufuta matokeo ya urais katika uchaguzi huo.
Katika shere hizo Rais wa Zanzibar Dr Ali Mohamed Shein amesisitizia udharura wa kuheshimiana raia wa visiwa hivyo vya Zanzibar.
Kwa maelezo kamili tujiunge na mwandishi wetu wa visiwani humo, Hassan Issa Ali………/
Tags