Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tunisia - Tunis

  • Jeshi la Algeria laanza oparesheni kubwa karibu na mpaka wa Tunisia

    Jeshi la Algeria laanza oparesheni kubwa karibu na mpaka wa Tunisia

    Jul 12, 2018 03:01

    Jeshi la Algeria limeanzisha oparesheni kubwa katika maeneo ya mpaka wa pamoja na nchi jirani ya Tunisia kufuatia kutekelezwa shambulio la kigaidi Jumapili iliyopita katika mkoa mmoja ulioko mpakani wa Jendouba. Wanajeshi sita waliuawa na watatu kujeruhiwa katika shambulio hilo la kigaidi.

  • Askari polisi 9 wauawa katika shambulizi la kigaidi nchini Tunisia

    Askari polisi 9 wauawa katika shambulizi la kigaidi nchini Tunisia

    Jul 08, 2018 09:02

    Maafisa tisa wa polisi wameuawa katika shambulizi la kigaidi lililotokea magharibi mwa Tunisia, karibu na mpaka wa nchi hiyo na Algeria.

  • Walimu wa sekondari Tunisia wakataa kusahihisha mtihani wakipinga Israel

    Walimu wa sekondari Tunisia wakataa kusahihisha mtihani wakipinga Israel

    Jul 03, 2018 23:21

    Walimu wa wa Tunsia wamepinga vikali mtihani wa historia na jografia ulioitambua Israel kuwa ni "dola" badala ya utawala vamizi na wamekataa kusahihisha mtihani huo.

  • Jumuiya ya Maimamu Tunisia: Saudia inatumia mapato ya Hija kushambulia nchi za Waislamu

    Jumuiya ya Maimamu Tunisia: Saudia inatumia mapato ya Hija kushambulia nchi za Waislamu

    Jun 21, 2018 23:16

    Jumuiya ya Maimamu wa Swala za Jamaa nchini Tunisia imetoa taarifa ikisisitiza kuwa Saudi Arabia inatumia mapato yanayotokana na ibada ya Hija kwa ajili ya kuzishambulia nchi nyingine za Kiislamu na imemtaka Mufti Mkuu wa nchi hiyo kusimamisha safari za kwenda kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu huko Saudia.

  • Watunisia waandamana kupinga njama chafu za Imarati dhidi ya nchi yao

    Watunisia waandamana kupinga njama chafu za Imarati dhidi ya nchi yao

    Jun 13, 2018 21:54

    Raia wa Tunisia wamefanya maandamano wakipinga njama chafu na uingiliaji wa Imarati katika masuala ya ndani ya nchi yao.

  • Ripoti: Saudia inafanya mipango ya kumrejesha madarakani dikteta wa zamani wa Tunisia

    Ripoti: Saudia inafanya mipango ya kumrejesha madarakani dikteta wa zamani wa Tunisia

    Jun 12, 2018 02:03

    Chombo kimoja cha habari nchini Tunisia kimefichua kuwa Saudi Arabia inafanya njama za kumrejesha madarakani dikteta wa zamani wa nchi hiyo.

  • Waziri Mkuu wa Tunisia ampiga kalamu nyekundu Waziri wa Mambo ya Ndani

    Waziri Mkuu wa Tunisia ampiga kalamu nyekundu Waziri wa Mambo ya Ndani

    Jun 07, 2018 02:47

    Waziri Mkuu wa Tunisia amempiga kalamu nyekundu Waziri wa Mambo ya Ndani bila kutaja sababu ya hatua yake hiyo.

  • Wahajiri haramu 35 wafariki baada ya boti yao kuzama baharini Tunisia

    Wahajiri haramu 35 wafariki baada ya boti yao kuzama baharini Tunisia

    Jun 03, 2018 10:28

    Wahajiri 35 haramu wamepoteza maisha baada boti yao kuzama baharini nchini Tunisia huku wengine 67 wakiokolewa katika oparesheni ya gadi ya pwani ya nchi hiyo.

  • Jumamosi, Mei 26, 2018

    Jumamosi, Mei 26, 2018

    May 25, 2018 21:50

    Leo ni Jumamosi tarehe 10 ya mwezi Mtukufu wa Ramadhani 1439 Hijria sawa na tarehe 26 Mei 2018 Miladia.

  • Chama cha Kiislamu cha al Nahdha chadai kushinda uchaguzi Tunisia, matokeo rasmi kutangazwa Mei 9

    Chama cha Kiislamu cha al Nahdha chadai kushinda uchaguzi Tunisia, matokeo rasmi kutangazwa Mei 9

    May 07, 2018 10:42

    Chama chenye mielekeo ya Kiislamu cha al Nahdha kimedai kuwa kimeshinda katika uchaguzi wa mabaraza ya miji uliofanyika jana Jumapili nchini Tunisia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS