-
Jeshi la Algeria laanza oparesheni kubwa karibu na mpaka wa Tunisia
Jul 12, 2018 03:01Jeshi la Algeria limeanzisha oparesheni kubwa katika maeneo ya mpaka wa pamoja na nchi jirani ya Tunisia kufuatia kutekelezwa shambulio la kigaidi Jumapili iliyopita katika mkoa mmoja ulioko mpakani wa Jendouba. Wanajeshi sita waliuawa na watatu kujeruhiwa katika shambulio hilo la kigaidi.
-
Askari polisi 9 wauawa katika shambulizi la kigaidi nchini Tunisia
Jul 08, 2018 09:02Maafisa tisa wa polisi wameuawa katika shambulizi la kigaidi lililotokea magharibi mwa Tunisia, karibu na mpaka wa nchi hiyo na Algeria.
-
Walimu wa sekondari Tunisia wakataa kusahihisha mtihani wakipinga Israel
Jul 03, 2018 23:21Walimu wa wa Tunsia wamepinga vikali mtihani wa historia na jografia ulioitambua Israel kuwa ni "dola" badala ya utawala vamizi na wamekataa kusahihisha mtihani huo.
-
Jumuiya ya Maimamu Tunisia: Saudia inatumia mapato ya Hija kushambulia nchi za Waislamu
Jun 21, 2018 23:16Jumuiya ya Maimamu wa Swala za Jamaa nchini Tunisia imetoa taarifa ikisisitiza kuwa Saudi Arabia inatumia mapato yanayotokana na ibada ya Hija kwa ajili ya kuzishambulia nchi nyingine za Kiislamu na imemtaka Mufti Mkuu wa nchi hiyo kusimamisha safari za kwenda kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu huko Saudia.
-
Watunisia waandamana kupinga njama chafu za Imarati dhidi ya nchi yao
Jun 13, 2018 21:54Raia wa Tunisia wamefanya maandamano wakipinga njama chafu na uingiliaji wa Imarati katika masuala ya ndani ya nchi yao.
-
Ripoti: Saudia inafanya mipango ya kumrejesha madarakani dikteta wa zamani wa Tunisia
Jun 12, 2018 02:03Chombo kimoja cha habari nchini Tunisia kimefichua kuwa Saudi Arabia inafanya njama za kumrejesha madarakani dikteta wa zamani wa nchi hiyo.
-
Waziri Mkuu wa Tunisia ampiga kalamu nyekundu Waziri wa Mambo ya Ndani
Jun 07, 2018 02:47Waziri Mkuu wa Tunisia amempiga kalamu nyekundu Waziri wa Mambo ya Ndani bila kutaja sababu ya hatua yake hiyo.
-
Wahajiri haramu 35 wafariki baada ya boti yao kuzama baharini Tunisia
Jun 03, 2018 10:28Wahajiri 35 haramu wamepoteza maisha baada boti yao kuzama baharini nchini Tunisia huku wengine 67 wakiokolewa katika oparesheni ya gadi ya pwani ya nchi hiyo.
-
Jumamosi, Mei 26, 2018
May 25, 2018 21:50Leo ni Jumamosi tarehe 10 ya mwezi Mtukufu wa Ramadhani 1439 Hijria sawa na tarehe 26 Mei 2018 Miladia.
-
Chama cha Kiislamu cha al Nahdha chadai kushinda uchaguzi Tunisia, matokeo rasmi kutangazwa Mei 9
May 07, 2018 10:42Chama chenye mielekeo ya Kiislamu cha al Nahdha kimedai kuwa kimeshinda katika uchaguzi wa mabaraza ya miji uliofanyika jana Jumapili nchini Tunisia.