Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uchaguzi wa Rais

  •  Mgombea urais wa Jumapili ya kesho Tunisia aendelea kushikiliwa mahabusu

    Mgombea urais wa Jumapili ya kesho Tunisia aendelea kushikiliwa mahabusu

    Sep 14, 2019 03:07

    Mahakama ya Rufaa ya Tunisia imekataa ombi la mgombea urais katika kinyang'anyiro cha Jumapili ya kesho, Nabil Karoui la kuachiwa huru kwa ajili ya kushiriki katika uchaguzi huo.

  • Rais na Waziri Mkuu wa zamani wa Tunisia kugombea kiti cha urais

    Rais na Waziri Mkuu wa zamani wa Tunisia kugombea kiti cha urais

    Aug 07, 2019 01:24

    Rais na Waziri Mkuu wa zamani wa Tunisia wametangaza kuwa watagombea kiti cha urais katika uchaguzi ujao nchini humo.

  • Tunisia yatangaza rasmi tarehe ya uchaguzi wa Rais

    Tunisia yatangaza rasmi tarehe ya uchaguzi wa Rais

    Aug 01, 2019 02:57

    Viongozi wa Tunisia wametangaza rasmi tarehe 15 mwezi Septemba kuwa siku ya kufanyika uchaguzi wa rais nchini humo kufuatia kuaga dunia Rais wa nchi hiyo, Beji Caid Essebsi.

  • Algeria; kuendelea mgogoro au kufanya harakati katika njia ya demokrasia?

    Algeria; kuendelea mgogoro au kufanya harakati katika njia ya demokrasia?

    Mar 13, 2019 02:25

    Baada ya wiki kadhaa za malalamiko, maandamanao na kushadidi hali hiyo katika siku za hivi karibuni baada ya Rais Abdelaziz Bouteflika wa Algeria kutangaza kugombea kiti cha urais kwa muhula wa tano mtawalia, hatimaye kiongozi huyo amefutilia mbali uamuzi wake huo.

  • Mamia ya watu watiwa nguvuni Nigeria kwa uhalifu unaohusiana na uchaguzi

    Mamia ya watu watiwa nguvuni Nigeria kwa uhalifu unaohusiana na uchaguzi

    Mar 06, 2019 07:25

    Polisi ya Nigeria imetangaza kuwa, imewatia nguvuni zaidi ya watu 300 kwa tuhuma za kufanya uhalifu unaohusiana na uchaguzi wa mkuu uliofanyika mwezi uliopita.

  • Kushinda tena Urais

    Kushinda tena Urais "Muhammadu Buhari" na kibarua kigumu anachokabiliwa nacho

    Feb 28, 2019 02:29

    Tume ya Uchaguzi ya Nigeria jana ilitangaza rasmi kuwa Muhammadu Buhari ameibuka mshindi baada ya kumbwaga mshindani wake mkuu Atiku Abubakar na hivyo kupata fursa ya kuiongoza nchi hiyo kwa muhula wa pili.

  • Kambi ya Rais wa Senegal: Macky Sall ameshinda Urais; upinzani wadai uchaguzi utaingia duru ya pili

    Kambi ya Rais wa Senegal: Macky Sall ameshinda Urais; upinzani wadai uchaguzi utaingia duru ya pili

    Feb 25, 2019 15:49

    Kambi ya Rais wa sasa wa Senegal Macky Sall imetangaza kuwa, mgombea wake ameibuka mshindi kufuatia uchaguzi uliofanyika jana.

  • Kuakhirishwa uchaguzi sambamba na kuongezeka mivutano nchini Nigeria

    Kuakhirishwa uchaguzi sambamba na kuongezeka mivutano nchini Nigeria

    Feb 17, 2019 13:07

    Katika hali ambayo uchaguzi mkuu wa rais wa Nigeria ulikuwa umepangwa kufanyika Jumamosi tarehe 16 Februari, tume ya uchaguzi ya nchi hiyo imeuakhirisha ghafla na kutangaza kuwa sasa utafanyika Jumamosi ijayo ya tarehe 23.

  • Congo DR yakataa wito wa AU wa kuchelewesha tangazo la matokeo ya mwisho ya uchaguzi mkuu

    Congo DR yakataa wito wa AU wa kuchelewesha tangazo la matokeo ya mwisho ya uchaguzi mkuu

    Jan 18, 2019 16:16

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imekataa wito wa Umoja wa Afrika (AU) wa kuchelewesha kutangaza matokeo ya mwisho ya uchaguzi wa rais, suala ambalo linazidisha shaka kuhusu matokeo ya uchaguzi huo.

  • Uchaguzi wa Kongo DR na kuendelea mivutano ya kisiasa

    Uchaguzi wa Kongo DR na kuendelea mivutano ya kisiasa

    Jan 12, 2019 18:11

    Siku ya Alkhamisi Tume ya Uchaguzi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (CENI) ilimtangaza Felix Tshisekedi kuwa mshindi wa kiti cha urais baada ya kujinyakulia asilimia 38.57 ya kura.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS