Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ugaidi

  •  Iran yatahadharisha: Israel inaunda muungano na magaidi

    Iran yatahadharisha: Israel inaunda muungano na magaidi

    Mar 29, 2019 11:31

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetahadharisha kuwa, utawala ghasibu wa Israel, ambao unatoa uungaji mkono kwa magaidi nchini Syria, unaweza kuunda muungano na magaidi hao iwapo tishio lao halitashughulikiwa ipasavyo.

  • Igizo jengine la Pompeo la uenezaji hofu na chuki dhidi ya Iran

    Igizo jengine la Pompeo la uenezaji hofu na chuki dhidi ya Iran

    Mar 29, 2019 00:05

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Mike Pompeo ameifufua tena kampeni ya uenezaji hofu na chuki dhidi ya Iran kwa kuituhumu Jamhuri ya Kiislamu kwa kile alichodai, nafasi haribifu iliyonayo katika eneo la Magharibi ya Asia na kuunga mkono ugaidi.

  • Sisitizo la Antonio Guterres la ulazima wa kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia)

    Sisitizo la Antonio Guterres la ulazima wa kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia)

    Mar 24, 2019 03:07

    Matukio ya miaka ya hivi karibuuni katika medani ya kimataifa hususan kujitokeza makundi yenye kufurutu ada na kuenea vitendo vyao vya ugaidi katika madola ya Magharibi, yalivipatia vyombo vya habari na tawala za nchi hiyo kisingizio tosha cha kueneza chuuki dhidi ya Uislamu.

  • Magaidi kadhaa wa Daesh wauawa na maafisa usalama wa Tunisia

    Magaidi kadhaa wa Daesh wauawa na maafisa usalama wa Tunisia

    Mar 20, 2019 04:15

    Maafisa usalama wa Tunisia wamefanikiwa kuwaangamiza wanachama watatu wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) karibu na mpaka wa nchi hiyo na Algeria.

  • Maandamano makubwa yafanyika London kupinga ubaguzi

    Maandamano makubwa yafanyika London kupinga ubaguzi

    Mar 17, 2019 00:56

    Makumi ya maelfu ya watu walikusanyika kati kati ya mji mkuu wa Uingereza, London jana Jumamosi kulaani na kupinga chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) na ubaguzi wa rangi.

  • Bouthaina Shaaban: Chanzo cha ugaidi katika eneo ni utawala wa Kizayuni

    Bouthaina Shaaban: Chanzo cha ugaidi katika eneo ni utawala wa Kizayuni

    Mar 10, 2019 10:42

    Mshauri wa Masuala ya Kisiasa na Habari wa Rais wa Syria amesema kuwa chanzo cha ugaidi huko Syria, Yemen, Iraq na Libya ni utawala wa Kizayuni.

  • Rais wa Somalia: Vita dhidi ya ugaidi nchini haviishi karibuni

    Rais wa Somalia: Vita dhidi ya ugaidi nchini haviishi karibuni

    Mar 05, 2019 23:23

    Rais Mohammed Abdullahi Farmajo wa Somalia amekiri kuwa, vita dhidi ya kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab havitamalizika hivi karibuni, lakini akasisitiza kuwa genge hilo limedhoofishwa kwa kiasi kikubwa.

  • Uwahabi; chanzo cha umwagikaji damu katika Ulimwengu wa Kiislamu

    Uwahabi; chanzo cha umwagikaji damu katika Ulimwengu wa Kiislamu

    Feb 22, 2019 08:53

    Meja Jenerali Qassim Suleimani, Kamanda MKuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran SEPAH, amesema kwamba magaidi wa kitakfiri wanaoungwa mkono na Saudi Arabia katika ardhi ya Pakistan wamekuwa tatizo kubwa la usalama kwa majirani wote wa nchi hiyo, zikiwemo India na Afghanistan na kwamba viongozi wa Pakistan wanapasa kulitambua vyema jambo hilo.

  • Magaidi wa MKO wanafundishwa jinsi ya kukata watu vichwa Albania

    Magaidi wa MKO wanafundishwa jinsi ya kukata watu vichwa Albania

    Feb 17, 2019 04:41

    Jarida la Ujerumani la Der Spiegel limefichua kuwa, wanachama wa genge la kigaidi la MKO lenye historia ya kufanya ugaidi, mauaji na jinai kubwa dhidi ya wananchi na viongozi wa Iran wanapewa mafunzo ya kutisha kama kuua watu kwa kuwakata vichwa nchini Albania.

  • HRW: Jeshi la Burkina Faso limewaua watuhumiwa mbele ya familia zao

    HRW: Jeshi la Burkina Faso limewaua watuhumiwa mbele ya familia zao

    Feb 06, 2019 11:55

    Mashiriki ya kimataifa ya kutetea haki za binadamu yamelituhumu jeshi la serikali ya Burkina Faso kuwa limewaua kinyama watuhumiwa wa vitendo vya kigaidi tena mbele ya watu wa familia zao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS