-
Uingereza yabadili siasa zake kuhusu Syria na Rais Bashar Assad
Jan 27, 2017 00:22Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza amekiri katika Kamati ya Masuala ya Kigeni ya Bunge la nchi hiyo kwamba London imebadili siasa zake kuhusiana na Syria.
-
Hivi ndivyo Uingereza inavyochochea jinai Mashariki ya Kati
Jan 12, 2017 07:32Wakati kuna kila dalili zinazoonesha kuwa, Uingereza inafanya kila liwezekanalo kuhakikisha inarejea katika Ghuba ya Uajemi, ushahidi mpya umethibitisha kwamba mkoloni huyo mkongwe wa Ulaya anahusika moja kwa moja katika jinai zinazofanywa na baadhi ya nchi za Kiarabu hususan Saudi Arabia.
-
Uingereza yakiri kuiuzia Saudi Arabia mabomu ya vishada 500
Jan 11, 2017 11:54Uingereza imekiri kwamba, iliiuzia Saudi Arabia mamia ya mabomu ya vishada katika miaka ya 80, ambayo yumkini yanatumika katika hujuma za Riyadh nchini Yemen.
-
Waislamu wa Uingereza waandaa ratiba maalumu ya kuutangaza Uislamu
Jan 09, 2017 12:50Waislamu wa Msikiti wa Lincoln wa eneo la East Midlands nchini Uingereza wameanzisha ratiba maalumu ya kuutangaza Uislamu kwa Waislamu na wasio Waislamu.
-
Ulimwengu wa Spoti, Jan 9
Jan 09, 2017 02:58Mkusanyiko wa matukio muhimu ya michezo ndani ya siku saba zilizopita......
-
Kujitoa Uingereza ndani ya EU ni tishio kwa duru za kibiashara za Ulaya
Jan 03, 2017 03:51Taasisi moja ya uchunguzi wa maoni ya Ulaya imetangaza kuwa hatua ya Uingereza ya kujitoa katika Umoja wa Ulaya inatishia pakubwa duru za kibiashara za bara hilo.
-
Sky News: Maelfu ya watu ni watumwa mamboleo nchini Uingereza
Dec 29, 2016 10:12Ripoti mpya inaonesha kuwa, karibu watu elfu 13 nchini Uingereza ni wahanga wa vitendo viovu vya kutumiwa kama watumwa wa ngono, kazi za kulazimishwa na aina nyingine za utumwa mamboleo.
-
Waingereza wenye asili ya Afrika wanabaguliwa katika kazi za uhandisi
Dec 27, 2016 23:20Waingereza weusi au wenye asili ya Afrika wanakabiliwa na ubaguzi katika ajira ambapo wengi wananyimwa kazi kutokana na rangi yao.
-
Hujuma dhidi ya Uislamu yashika kasi nchini Uingereza
Dec 21, 2016 01:01Wimbi na hujuma na propaganda chafu dhidi ya Uislamu limeshika kasi zaidi na kulitia wasiwasi Baraza la Waislamu nchini Uingereza.
-
Waislamu London watoa msaada wa chakula kwa mayatima
Dec 18, 2016 11:15Waislamu katika mji mkuu wa Uingereza, London wamekusanya tani nyingi za chakula kwa ajili ya kuwasaidia mayatima na watoto wa mitaani katika kipindi hiki cha sherehe za kufunga mwaka.