• Mfalme wa Jordan ataka kusitishwa vita mara moja Gaza

    Mfalme wa Jordan ataka kusitishwa vita mara moja Gaza

    Nov 20, 2023 00:28

    Mfalme Abdullah II wa Jordan ameitaka jamii ya kimataifa ichukue hatua za dharura za usitishaji vita katika Ukanda wa Gaza, ili kuzuia kutokea janga kubwa la kibinadamu katika eneo hilo la Wapalestina lililozingirwa.

  • Raisi: Damu za mashahidi wa Palestina zitaleta nidhamu ya dunia yenye uadilifu

    Raisi: Damu za mashahidi wa Palestina zitaleta nidhamu ya dunia yenye uadilifu

    Nov 19, 2023 11:06

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema 'nidhamu mpya ya dunia yenye uadilifu' itaibuka kutokana na damu za wananchi wa Palestina zilizomwagwa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika vita vyake vya mauaji ya kimbari katika Ukanda wa Gaza.

  • Iran: US ndiyo sababu ya kushtadi mgogoro Ukanda wa Gaza

    Iran: US ndiyo sababu ya kushtadi mgogoro Ukanda wa Gaza

    Nov 18, 2023 00:19

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu haitaki vita vya Gaza vipanuke, lakini yumkini vitasambaa zaidi katika maeneo mengine kwa kuwa Marekani inachochea mgogoro huo kwa kuuunga mkono utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Upinzani wa Wamagharibi kwa usitishaji vita Gaza

    Upinzani wa Wamagharibi kwa usitishaji vita Gaza

    Nov 14, 2023 05:53

    Licha ya kupita karibu siku 40 tangu ilipotokea operesheni ya kimbunga ya Al-Aqswa na radiamali ya utawala wa Kizayuni kwa operesheni hiyo kwa kushambulia kwa mabomu Ukanda wa Gaza na kuuawa maelfu ya Wapalestina na uharibifu mkubwa wa eneo hilo, lakini baadhi ya madola ya Magharibi yakifungamana na Waziri Mkuu wa utawala huu, Benjamin Netanyahu, bado yangali yanapinga usitishaji wa vita hivi vya umwagaji damu.

  • "Mauaji ya halaiki ya watu wa Gaza yanakanyaga sheria za kimataifa"

    Nov 13, 2023 23:34

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran sajari na kulaani mauaji ya halaiki ya wananchi wa Palestina katika Ukanda wa Gaza amesisitiza kuwa, jinai zinazofanywa na Wazayuni katika eneo hilo lililozingira ni ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa.

  • Iran yaiambia G7: Acheni kuunga mkono mauaji ya watoto Gaza

    Iran yaiambia G7: Acheni kuunga mkono mauaji ya watoto Gaza

    Nov 09, 2023 23:23

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewakosoa vikali Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi wanachama wa Kundi la G7 kwa kutoa taarifa ya pamoja ya kuilaani Harakati ya Muqawama wa Kiislamu wa Palestina (Hamas) sambamba na kuunga mkono mashambulizi ya kinyama ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza.

  • Palestina yaishtaki Israel IAEA kwa kutishia kudondosha bomu la nyuklia Gaza

    Palestina yaishtaki Israel IAEA kwa kutishia kudondosha bomu la nyuklia Gaza

    Nov 09, 2023 23:23

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Palestina amewasilisha faili mbele ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) kulalamikia matamshi ya vitisho ya waziri wa utawala wa Kizayuni kwamba ikilazimu, utawala huo haramu utatumia bomu la nyuklia dhidi ya watu wa Gaza.

  • Netanyahu akataa ombi la Biden la kusitisha mapigano kwa siku 3 huko Gaza

    Netanyahu akataa ombi la Biden la kusitisha mapigano kwa siku 3 huko Gaza

    Nov 08, 2023 22:48

    Rais Joe Biden wa Marekani amemtaka Benjamin Netanyahu Waziri Mkuu wa Israel asitishe mapigano kwa siku tatu ili kutatua suala la mateka. Kuhusiana na jambo hilo, Biden amesema katika mazungumzo ya simu yaliyofanyika siku ya Jumanne alimuomba Benjamin Netanyahu asitishe mapigano ili kuandaa uwanja wa kushughulikiwa suala la mateka wa Israel.

  • Marekani na kukana mauaji ya kimbari katika Ukanda wa Gaza

    Marekani na kukana mauaji ya kimbari katika Ukanda wa Gaza

    Nov 07, 2023 23:11

    Zaidi ya mwezi mmoja umepita sasa tangu kuanza kwa vita vya Gaza na tangu kutekelezwa kwa operesheni ya "Kimbunga cha Al-Aqsa" huku utawala wa Kizayuni unaoendesha operesheni za ardhini katika Ukanda wa Gaza dhidi ya wapiganaji wa Hamas ukizidisha mashambulizi yake ya anga dhidi ya eneo hilo. Mashambulio hayo ya kinyama ya Israe; yameendelea kusababisha mauaji makubwa ya watu wanaodhulumiwa wa Ukanda wa Gaza.

  • Iran: Vita vya maangamizi ya kizazi vya Israel vimeua, kujeruhi watu 40,000 Gaza

    Iran: Vita vya maangamizi ya kizazi vya Israel vimeua, kujeruhi watu 40,000 Gaza

    Nov 07, 2023 10:19

    Afisa wa ngazi ya juu wa haki za binadamu nchini Iran amesema vita na mauaji ya kimbari ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza yamepelekea watu zaidi ya 40,000 kuuawa na kujeruhi.