• Ulimwengu wa Spoti, Juni 10

    Ulimwengu wa Spoti, Juni 10

    Jun 10, 2024 02:56

    Hujambo mpenzi msikilizaji, natumai u mzima wa afya. Karibu tuangazie baadhi ya matukio makuu yaliyoshuhudiwa viwanjani ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa, kieneo na kimataifa.

  • Persepolis yatwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Soka Iran

    Persepolis yatwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Soka Iran

    Jun 02, 2024 06:59

    Klabu ya Persepolis ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Soka hapa nchini baada ya kuichachafya klabu ya Mes Rafsanjan Jumamosi. Esteqlal imemaliza ya pili baada ya kuisasambua Peykan mabao 2-0.

  • Ulimwengu wa Michezo, Mei 27

    Ulimwengu wa Michezo, Mei 27

    May 27, 2024 03:44

    Huu ni mukhtasari wa baadhi ya matukio makubwa ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita katika kona mbalimbali za dunia…..

  • Ulimwengu wa Michezo, Mei 20

    Ulimwengu wa Michezo, Mei 20

    May 20, 2024 06:01

    Karibu tukudondolee baadhi ya matukio muhimu ya spoti yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita katika kona mbalimbali za dunia.

  • Ulimwengu wa Spoti, Mei 13

    Ulimwengu wa Spoti, Mei 13

    May 13, 2024 03:45

    Karibu tutupie jicho baadhi ya matukio makubwa ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita katika pembe mbalimbali za dunia...

  • Ulimwengu wa Michezo, Mei 6

    Ulimwengu wa Michezo, Mei 6

    May 06, 2024 01:46

    Huu ni mukhtasari wa baadhi ya matukio makubwa ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita katika kona mbalimbali za dunia…..

  • Mcheza soka Muislamu kufukuzwa timu ya taifa ya Ufaransa kwa sababu ya Swaumu, wadau walaani

    Mcheza soka Muislamu kufukuzwa timu ya taifa ya Ufaransa kwa sababu ya Swaumu, wadau walaani

    Mar 23, 2024 08:23

    Habari ya kufukuzwa mchezaji Mohamed Diawara kwenye kikosi cha timu ya taifa ya soka ya Ufaransa chini ya umri wa miaka 19 kutokana na kufunga Swaumu ya Ramadhani na kukataa kutekeleza maagizo ya Shirikisho la Soka la Ufaransa lililowataka makocha wa timu hizo kategoria za chini ya miaka 21 kutomwita mchezaji yeyote aliyeamua kufunga mwezi wa Ramadhani na kukataa kula mchana wa mwezi huu, imezusha mjadala mkubwa kwenye majukwaa ya mitandao ya kijamii.

  • Elneny azindua chumba cha kwanza cha Swala katika uwanja wa Arsenal

    Elneny azindua chumba cha kwanza cha Swala katika uwanja wa Arsenal

    Mar 12, 2024 02:44

    Nyota wa timu ya taifa ya Misri, Mohamed Elneny, na mchezaji wa timu ya soka ya Uingereza ya Arsenal, amezindua chumba cha kwanza cha Swala kwa ajili ya wachezaji wa Kiislamu kwenye Uwanja wa Emirates uliopo katika mji mkuu wa Uingereza, London, suala litakalowawezesha kusali na kuabudu katika eneo hilo katika mwezi wa huu wa Ramadhani ulioanza jana Jumatatu, nchini Uingereza.

  • Ulimwengu wa Michezo, Machi 11

    Ulimwengu wa Michezo, Machi 11

    Mar 11, 2024 04:45

    Hujambo mpenzi msikilizaji, natumai u bukheri wa afya. Karibu tutupie jicho baadhi ya matukio makubwa ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita katika pembe mbalimbali za dunia...

  • Ulimwengu wa Spoti, Machi 4

    Ulimwengu wa Spoti, Machi 4

    Mar 04, 2024 03:50

    Natumai hujambo mpenzi msikilizaji. Karibu tuangazie baadhi ya matukio muhimu ya michezo yaliyoshuhudiwa ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa, kieneo na kimataifa.....