-
UN: Sheria za kimataifa zinaitaka Israel kukomesha uvamizi huko Ukanda wa Gaza
Oct 19, 2024 04:32Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, nchi zote na mashirika ya kimataifa yana wajibu wa kukomesha uwepo haramu wa Israel katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu (Israel).
-
UN: Kuwahamisha kwa mabavu raia kaskazini mwa Gaza ni jinai ya kivita
Oct 18, 2024 23:35Kamishna wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameutahadharisha utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa kitendo chochote cha kuwahamisha kwa nguvu raia wengi huko kaskazini mwa Ukanda wa Gaza ni jinai ya kivita.
-
UN: Watu bilioni 1 wanaishi katika umaskini wa kupindukia
Oct 17, 2024 23:21Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa imesema kuwa, zaidi ya watu bilioni moja wanaishi katika umaskini mkubwa, na karibu nusu yao wapo katika nchi zinazokumbwa na migogoro.
-
Balozi: Nchi 18 zimejiunga na kesi ya Afrika Kusini ICJ dhidi ya Israel
Oct 08, 2024 08:11Balozi wa Afrika Kusini mjini Tehran, Dakta Francis Moloi, ameashiria kuongezeka kwa uungaji mkono wa kimataifa kwa kesi ya mauaji ya kimbari ya Gaza dhidi ya Israel, akieleza kuwa kufikia sasa nchi 18 zimejiunga na kesi hiyo katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki ICJ.
-
Iran yakosoa 'hujuma' ya Israel dhidi ya Katibu Mkuu wa UN
Oct 04, 2024 03:42Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekosoa vikali hatua ya karibuni ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres.
-
Iran yauandikia barua muhimu Umoja wa Mataifa na kutoa onyo kali kwa utawala wa Kizayuni wa Israel
Oct 02, 2024 05:37Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amemwandikia barua Katibu Mkuu na Rais wa Baraza la Usalama la umoja huo kufuatia operesheni ya makombora iliyofanywa na Iran, na kusisitiza kuwa, endapo utawala wa Israel utarudia tena vitendo vyake vinavyokiuka sheria za kimataifa, jibu litakalotolewa tena na Iran litakuwa la haraka, madhubiti na kali zaidi kuliko lililiotangulia.
-
Seneta wa Nigeria: Jinai za Israel Gaza, Lebanon zinaonyesha UN haina maana
Sep 26, 2024 23:35Mwanasiasa wa ngazi ya juu wa Nigeria amesema kuwa, mauaji ya kimbari ya Israel dhidi ya raia wa Palestina katika Ukanda wa Gaza na huko Beirut, mji mkuu wa Lebanon yameonyesha kushindwa kwa dunia kushughulikia suala la Palestina, na pia imeonyesha namna Umoja wa Mataifa ulivyo butu kwa kushindwa kukomesha ukatili na unyama wa Israel.
-
UN yapitisha Mkataba wa Zama Zijazo (Pact for the Future), Guterres: Sasa ni wakati wa vitendo
Sep 23, 2024 03:39Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepitisha Mkataba wa Zama Zijazo (Pact for the Future) baada ya vuta nikuvute zilizokuwepo ambapo Katibu Mkuu wa umoja huo Antonio Guterres ameshukuru wawezeshaji wote waliojitolea kufanikisha kupitishwa kwa mkataba huo adhimu.
-
Russia: Azimio la Umoja wa Mataifa linaweka wazi uharamu wa vitendo vya Israel
Sep 20, 2024 09:12Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imetangaza kuwa, azimio jipya la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ni hatua muhimu ambayo inaiwezesha jamii ya kimataifa kutambua uharamu wa hatua za Israel.
-
Askari wa Israel waziporomosha kwa mateke maiti za Wapalestina kutokea kwenye paa la jengo
Sep 20, 2024 04:10Askari katili wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel wamedhihirisha tena unyama wao baada ya kunaswa kupitia mkanda wa video wakiziporomosha kwa mateke maiti za Wapalestina waliowaua katika shambulio walilofanya katika eneo la Qabatiya, Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan unaokaliwa kwa mabavu.