Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Jeshi la Myanmar lawekwa katika orodha nyeusi ya UN

    Jeshi la Myanmar lawekwa katika orodha nyeusi ya UN

    Apr 14, 2018 02:36

    Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa imeliweka jeshi la Myanmar katika orodha nyeusi ya umoja huo, kutokana na jinai za ubakaji zilizofanywa na askari wa nchi hiyo dhidi ya Waislamu wa Rohingya.

  • Indhari ya Umoja wa Mataifa kuhusiana na muamala mbaya dhidi ya wafungwa nchini Libya

    Indhari ya Umoja wa Mataifa kuhusiana na muamala mbaya dhidi ya wafungwa nchini Libya

    Apr 11, 2018 08:16

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, makundi yanayobeba silaha nchini Libya yanawatesa na kuwaua wafungwa wanaoshikiliwa kwenye jela ambazo kidhahiri ziko chini ya udhibiti wa serikali ya nchi hiyo.

  • Syria: Sheria za kimataifa hazina thamani yoyote kwa Marekani

    Syria: Sheria za kimataifa hazina thamani yoyote kwa Marekani

    Apr 11, 2018 00:06

    Balozi na mwakilishi wa Syria katika Umoja wa Mataifa amekosoa matamshi ya vitisho yaliyotolewa na Marekani katika Baraza la Usalama la umoja huo na kueleza kuwa baraza hilo na misingi ya sheria za kimataifa havina thamani yoyote ile kwa nchi hiyo.

  • Jumamosi, 7 Aprili, 2018

    Jumamosi, 7 Aprili, 2018

    Apr 08, 2018 05:13

    Leo ni Jumamosi tarehe 20 ya mwezi wa Rajab 1439 Hijria mwafaka na tarehe 7 Aprili 2018 Miladia.

  • Katibu Mkuu wa UN atahadahrisha kuhusu hali mbaya nchini Yemen

    Katibu Mkuu wa UN atahadahrisha kuhusu hali mbaya nchini Yemen

    Apr 03, 2018 09:25

    Huku Saudia Arabia ikiendeleza hujuma zake za kinyama dhidi ya Yemen, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametahadharisha kuhusu hali mbaya ya kibinadamu katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Askari wa Kulinda Amani wa UN waondoka Liberia baada ya miaka 15

    Askari wa Kulinda Amani wa UN waondoka Liberia baada ya miaka 15

    Mar 31, 2018 10:34

    Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa nchini Liberia UNMIL kimefunga rasmi mlango uliofunguliwa miaka 15 iliyopita.

  • Answarullah: Wasaudia na Marekani watazame upya mahesabu yao kuhusu Yemen

    Answarullah: Wasaudia na Marekani watazame upya mahesabu yao kuhusu Yemen

    Mar 30, 2018 23:54

    Mkuu wa Baraza Kuu la Mapinduzi nchini Yemen, Mohammed Ali al-Houthi amegusia nguvu za muqawama wa wananchi wa Yemen dhidi ya jinai za wavamizi na kumtaka Mohammad Bin Salman na nchi washiriki katika muungano vamizi pamoja na Marekani, kuangalia upya mahesabu yao kuhusu nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Kikosi cha MONUSCO chaongezewa muda wa kuhudumu DRC

    Kikosi cha MONUSCO chaongezewa muda wa kuhudumu DRC

    Mar 28, 2018 02:47

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limekiongezea muda wa kuhudumu kikosi cha kusimamia amani cha Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo MONUSCO.

  • UN yaitahadharisha EU kuhusu mgogoro mpya wa wakimbizi kutoka Afrika

    UN yaitahadharisha EU kuhusu mgogoro mpya wa wakimbizi kutoka Afrika

    Mar 26, 2018 10:49

    Umoja wa Mataifa umezitahadharisha nchi za Umoja wa Ulaya kuhusu mgogoro mpya wa wakimbizi kutoka Afrika.

  • Syria yataka askari vamizi wa Uturuki kuondoka mara moja eneo la Afrin

    Syria yataka askari vamizi wa Uturuki kuondoka mara moja eneo la Afrin

    Mar 20, 2018 00:43

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imemwandikia barua Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Mwenyekiti wa hivi sasa wa Baraza la Usalama la umoja huo, ikilalamikia uvamizi na jinai za jeshi la Uturuki dhidi ya mji wake wa Afrin na wakazi wake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS