-
Israel yafanya tena mashambulio ya anga magharibi mwa Syria
May 29, 2018 03:05Katika kile kinachoonekana kuwa ni kuendeleza uchokozi wake, jeshi la utawala ghasibu wa Israel kwa mara nyingine limefanya mashambulizi ya anga katika maeneo ya mkoa wa Homs magharibi mwa Syria.
-
Israel kupitisha muswada wa kuficha jinai za askari wake
May 27, 2018 09:27Utawala haramu wa Israel inajadili muswada wenye lengo la kuwalinda askari wake, kwa kuzuia picha na video zinazowaonyesha askari hao katili wakitenda jinai dhidi ya Wapalestina.
-
Utawala wa Israel unashirikiana na Saudia katika kuwaua watu wa Yemen
May 25, 2018 09:25Ndege za kivita za Utawala wa Kizayuni wa Israel aina ya F-35 zinashiriki katika hujuma inayoongozwa na Saudi Arabia dhidi ya watu wa Yemen.
-
Tahadhari yatolewa kuhusu hatari ya kujipenyeza zaidi Wazayuni barani Afrika
May 24, 2018 03:06Waziri wa zamani wa masuala ya kidini wa Senegal ametahadharisha kuhusu hatari ya kuzidi kujipenyeza Wazayuni barani Afrika.
-
Alkhamisi, Mei 24, 2018
May 23, 2018 23:38Leo ni Alhamisi tarehe nane Ramadhan mwaka 1439 Hijiria, inayosadifiana na tarehe 24 Mei mwaka 2018 Miladia.
-
Berri achaguliwa tena kuwa Spika wa Bunge la Lebanon, ataka dunia iizuie Israel
May 23, 2018 09:49Nabih Berri amechaguliwa tena kuwa Spika wa Bunge la Lebanon ambalo limekutana leo baada ya uchaguzi uliofanyika Mei 6.
-
Amoli Larijani: Marekani haiwezi kuficha jinai za utawala wa Kizayuni
May 21, 2018 23:12Mkuu wa Vyombo vya Mahakama nchini Iran amesema kuwa Marekani inahusika na jinai za karibuni za utawala wa Kizayuni na kwamba maafa hayo yametendwa kufuatia baraka za Marekani kwa utawala huo.
-
Israel yapinga kuundwa kamati ya kimataifa ya kuchunguza jinai za Gaza
May 19, 2018 21:53Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya utawala haramu wa Israel imepinga vikali uamuzi wa Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa wa kutaka wachunguzi wa kimataifa wa jinai za vita wapelekwe haraka Ukanda wa Gaza, Palestina inayokaliwa kwa mabavu kufanya uchunguzi kuhusu mauaji ya kinyama ya Wapalestina yaliyofanywa na askari wa Israel.
-
Arab League yajitutumua, yataka kufanyika uchunguzi kuhusu jinai za Mazayuni
May 17, 2018 23:45Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu ametaka kufanyika uchunguzi wa kimataifa kuhusiana na jinai za hivi karibuni za utawala katili wa Israel dhidi ya Wapalestina katika eneo la Ukanda wa Gaza.
-
Alkhamisi, Mei 17, 2018
May 16, 2018 23:51Leo ni Alhamisi tarehe Mosi Ramadhani 1439 Hijiria, inayosadifiana na tarehe 17 Mei 2018 Miladia.