-
Upinzani Gambia: Jammeh atageuka na kuwa kiongozi wa waasi nchini
Dec 19, 2016 04:08Upinzani nchini Gambia umemtahadharisha Yahya Jammeh, rais wa nchi hiyo aliyekataa matokeo ya uchaguzi mkuu wa hivi karibuni kuwa yumkini akageuka na kuwa kiongozi wa waasi akiendelea kung'ang'ania madaraka.
-
Kamanda wa LRA ya Uganda kizimbani ICC; akanusha mashitaka
Dec 06, 2016 12:16Kamanda wa zamani wa kundi la waasi wa kaskazini mwa Uganda wa Lord's Resistance Army (LRA) amekanusha mashtaka dhidi yake mbele ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC.
-
Wanamgambo Somalia wawachinja wazee wa vijiji wa Kisuni
Nov 30, 2016 12:56Wazee wanane wa vijiji vya eneo la Galmudug nchini Somalia wameuawa kwa kukatwa vichwa na kundi moja la wanamgambo eti kwa kukataa kulipa kodi.
-
Watu 30 wauawa na waasi mashariki mwa Kongo DR
Nov 27, 2016 12:16Watu wasiopungua 30 wameuawa katika mapigano kati ya makundi mawili ya waasi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Nchi jirani na Kongo DR zatuhumiwa kukiuka makubaliano ya Addis Ababa
Nov 11, 2016 12:20Kamati ya Utekelezaji Makubaliano ya Addis Ababa imezituhumu nchi jirani na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kuwa zimekiuka makubaliano hayo kwa kuwapa hifadhi waasi wa zamani wa nchini humo.
-
Waasi wa FLEC wadai kuua askari 18 wa jeshi la Angola
Oct 01, 2016 04:28Waasi wa kundi linalopigania kujitenga eneo la Cabinda nchini Angola (FLEC) wamedai kwamba wameua askari 18 wa nchi hiyo.
-
Vijiji vinne vyakombolewa kaskazini mashariki mwa Kongo DR
Sep 18, 2016 02:46Duru za kijeshi za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zimearifu kukombolewa vijiji vinne kaskazini mashariki mwa nchi hiyo vilivyokuwa vimetekwa na waasi.
-
Waasi wa Mai Mai waafiki kusitisha mashambulizi Kongo
Sep 11, 2016 00:03Duru za kuaminika nchini Jamhuri ya Kidemokrasia Kongo zimearifu kuwa baadhi ya waasi wa kundi la Mai-Mai wamekubali kusitisha mashambulizi ikatika eneo la Masisi mkoani Kivu ya Kaskazini.
-
Wanajeshi 12 wa Angola wauawa na waasi wa Cabinda
Sep 07, 2016 08:44Waasi wa kundi la FLEC linalopigania kujitenga eneo la Cabinda huko Angola wamedai kuwa wameua wanajeshi wa serikali wasiopungua 12 katika eneo tajiri kwa mafuta kusini mwa nchi hiyo.
-
Mapigano kati ya waasi na vikosi vya jeshi huko Walikale Kongo DR
Sep 06, 2016 03:16Watu wawili wameuawa kwenye mapigano kati ya waasi na vikosi vya jeshi la Kongo katika eneo la Walikale nchini humo.