Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

waasi

  • Upinzani Gambia: Jammeh atageuka na kuwa kiongozi wa waasi nchini

    Upinzani Gambia: Jammeh atageuka na kuwa kiongozi wa waasi nchini

    Dec 19, 2016 04:08

    Upinzani nchini Gambia umemtahadharisha Yahya Jammeh, rais wa nchi hiyo aliyekataa matokeo ya uchaguzi mkuu wa hivi karibuni kuwa yumkini akageuka na kuwa kiongozi wa waasi akiendelea kung'ang'ania madaraka.

  • Kamanda wa LRA ya Uganda kizimbani ICC; akanusha mashitaka

    Kamanda wa LRA ya Uganda kizimbani ICC; akanusha mashitaka

    Dec 06, 2016 12:16

    Kamanda wa zamani wa kundi la waasi wa kaskazini mwa Uganda wa Lord's Resistance Army (LRA) amekanusha mashtaka dhidi yake mbele ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC.

  • Wanamgambo Somalia wawachinja wazee wa vijiji wa Kisuni

    Wanamgambo Somalia wawachinja wazee wa vijiji wa Kisuni

    Nov 30, 2016 12:56

    Wazee wanane wa vijiji vya eneo la Galmudug nchini Somalia wameuawa kwa kukatwa vichwa na kundi moja la wanamgambo eti kwa kukataa kulipa kodi.

  • Watu 30 wauawa na waasi mashariki mwa Kongo DR

    Watu 30 wauawa na waasi mashariki mwa Kongo DR

    Nov 27, 2016 12:16

    Watu wasiopungua 30 wameuawa katika mapigano kati ya makundi mawili ya waasi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Nchi jirani na Kongo DR zatuhumiwa kukiuka makubaliano ya Addis Ababa

    Nchi jirani na Kongo DR zatuhumiwa kukiuka makubaliano ya Addis Ababa

    Nov 11, 2016 12:20

    Kamati ya Utekelezaji Makubaliano ya Addis Ababa imezituhumu nchi jirani na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kuwa zimekiuka makubaliano hayo kwa kuwapa hifadhi waasi wa zamani wa nchini humo.

  • Waasi wa FLEC wadai kuua askari 18 wa jeshi la Angola

    Waasi wa FLEC wadai kuua askari 18 wa jeshi la Angola

    Oct 01, 2016 04:28

    Waasi wa kundi linalopigania kujitenga eneo la Cabinda nchini Angola (FLEC) wamedai kwamba wameua askari 18 wa nchi hiyo.

  • Vijiji vinne vyakombolewa kaskazini mashariki mwa Kongo DR

    Vijiji vinne vyakombolewa kaskazini mashariki mwa Kongo DR

    Sep 18, 2016 02:46

    Duru za kijeshi za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zimearifu kukombolewa vijiji vinne kaskazini mashariki mwa nchi hiyo vilivyokuwa vimetekwa na waasi.

  • Waasi wa Mai Mai waafiki kusitisha mashambulizi Kongo

    Waasi wa Mai Mai waafiki kusitisha mashambulizi Kongo

    Sep 11, 2016 00:03

    Duru za kuaminika nchini Jamhuri ya Kidemokrasia Kongo zimearifu kuwa baadhi ya waasi wa kundi la Mai-Mai wamekubali kusitisha mashambulizi ikatika eneo la Masisi mkoani Kivu ya Kaskazini.

  • Wanajeshi 12 wa Angola wauawa na waasi wa Cabinda

    Wanajeshi 12 wa Angola wauawa na waasi wa Cabinda

    Sep 07, 2016 08:44

    Waasi wa kundi la FLEC linalopigania kujitenga eneo la Cabinda huko Angola wamedai kuwa wameua wanajeshi wa serikali wasiopungua 12 katika eneo tajiri kwa mafuta kusini mwa nchi hiyo.

  • Mapigano kati ya waasi na vikosi vya jeshi huko Walikale Kongo DR

    Mapigano kati ya waasi na vikosi vya jeshi huko Walikale Kongo DR

    Sep 06, 2016 03:16

    Watu wawili wameuawa kwenye mapigano kati ya waasi na vikosi vya jeshi la Kongo katika eneo la Walikale nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS