Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wafungwa

  • Ubaguzi dhidi ya wafungwa weusi waongezeka Marekani

    Ubaguzi dhidi ya wafungwa weusi waongezeka Marekani

    Jul 24, 2017 15:01

    Uchunguzi mpya umebaini kuwa, ubaguzi wa kimbari dhidi ya wafungwa weusi wenye asili ya Afrika umeongezeka nchini Marekani.

  • UN yataka kufanyika uchunguzi kuhusu mauaji ya wafungwa Libya

    UN yataka kufanyika uchunguzi kuhusu mauaji ya wafungwa Libya

    Jul 19, 2017 06:29

    Umoja wa Mataifa umelitaka Jeshi la Taifa la Libya linalodhibiti eneo la mashariki mwa nchi hiyo kufanya uchunguzi kuhusu mauaji ya papo na hapo ya wafungwa.

  • Wafungwa wa Bahrain katika jela ya Jaw wapaza sauti wakiomba msaada

    Wafungwa wa Bahrain katika jela ya Jaw wapaza sauti wakiomba msaada

    Jul 01, 2017 07:48

    Wafungwa waliopo katika jela ya Jaw nchini Bahrain wamewaomba raia wa nchi hiyo wawanusuru na dhulma na mateso wanaofanyiwa na watawala wa Aal Khalifa kufuatia siasa za ukandamizaji zinazotekelezwa kila uchao na utawala wa Bahrain.

  • Kiongozi Muadhamu atoa dola  85,000 ili kuachiliwa wafungwa walio na madeni

    Kiongozi Muadhamu atoa dola 85,000 ili kuachiliwa wafungwa walio na madeni

    May 30, 2017 03:38

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa kiasi cha dola 85,000 kwa lengo la kusaidia kuachiliwa huru wafungwa wenye makosa yasiyo ya kukusudia ikiwa ni katika kulipa fidia ya makosa yao.

  • UN yaeleza wasi wasi wake kuhusu hali ya mateka wa Palestina

    UN yaeleza wasi wasi wake kuhusu hali ya mateka wa Palestina

    May 25, 2017 13:51

    Umoja wa Mataifa umeeleza wasi wasi wake kuhusu hali ya kiafya ya mateka wa Kipalestina waliosusia chakula katika magereza ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Wafungwa 17 wauawa wakijaribu kutoroka jela, Papua Guinea

    Wafungwa 17 wauawa wakijaribu kutoroka jela, Papua Guinea

    May 15, 2017 07:40

    Wafungwa 17 wameuawa kwa kupigwa risasi na askari gereza walipokuwa katika harakati za kutoroka jela huko Papua New Guinea, nchi ndogo iliyoko kusini magharibi mwa bahari ya Pacific.

  • Askofu Mkuu wa Kikatoliki ajiunga na mgomo wa kula kuwatetea Wapalestina

    Askofu Mkuu wa Kikatoliki ajiunga na mgomo wa kula kuwatetea Wapalestina

    May 07, 2017 07:55

    Kiongozi mmoja wa ngazi za juu wa Kanisa Katoliki ameamua kususia kula chakula ili kuonyesha mshikamano na uungaji mkono wake kwa Wapalestina waliosusia kula katika magereza ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Wananchi wa Afrika Kusini wasusia kula kuwaunga mkono mateka wa Palestina

    Wananchi wa Afrika Kusini wasusia kula kuwaunga mkono mateka wa Palestina

    May 04, 2017 07:34

    Wanaharakati, wafungwa wa kisiasa na wananchi wengine wa Afrika Kusini wamesusia kula chakula kuonyesha uungaji mkono wao kwa mateka wa Kipalestina waliosusia kula tangu Aprili 17 wakiwa katika jela na magereza ya utawala haramu wa Israel.

  • Hizbullah yakosoa kimya cha nchi za Kiarabu juu ya Wafungwa wa Palestina

    Hizbullah yakosoa kimya cha nchi za Kiarabu juu ya Wafungwa wa Palestina

    May 03, 2017 07:01

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amekosoa vikali hatua ya nchi za Kiarabu kufumbia macho masaibu yanayowakabili mamia ya wafungwa wa Palestina ambao kwa sasa wamesusia kula chakula katika jela za utawala haramu wa Israel.

  • Wamorocco waandamana kuwaunga mkono Wapalestina wanaosusia kula

    Wamorocco waandamana kuwaunga mkono Wapalestina wanaosusia kula

    May 03, 2017 03:45

    Wananchi wa Morocco wamefanya maandaamano katika mji mkuu wa nchi hiyo Rabat, kuonyesha uungaji mkono wao kwa wafungwa wa Kipalestina ambao wanadhalilishwa katika jela na magereza ya utawala haramu wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS