Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waislamu

  • Waislamu wazidi kunyanyaswa nchini Uingereza

    Waislamu wazidi kunyanyaswa nchini Uingereza

    Jun 18, 2017 03:23

    Vitendo vya unyanyasaji dhidi ya Waislamu vimeongezeka nchini Uingereza hasa baada ya kutokea mashambulizi ya kigaidi katika miji ya Manchester na London.

  • Kuendelea kuuliwa Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar

    Kuendelea kuuliwa Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar

    Jun 08, 2017 21:56

    Wawakilishi wa bunge la Myanmar wametaka kujengwa vijiji zaidi vya kikabila kwa lengo la kuwakandamiza Waislamu wa jamii ya Rohingya ikiwa ni katika kuendelea kuangamizwa kizazi cha Waislamu hao huko Myanmar khususan katika mkoa wa Rakhine.

  • Boko Haram washambulia Waislamu wakila futari Nigeria

    Boko Haram washambulia Waislamu wakila futari Nigeria

    Jun 08, 2017 03:26

    Makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram wameshambulia vijiji vilivyoko kando kando ya mji wa Maiduguri, kaskazini mashariki mwa Nigeria wakati ambapo Waislamu wa mji huo walikuwa majumbani kwao wakila futari.

  • Waislamu Uingereza walaani mashambulizi ya kigaidi London, Manchester

    Waislamu Uingereza walaani mashambulizi ya kigaidi London, Manchester

    Jun 06, 2017 09:13

    Waislamu nchini Uingereza wamelaani vikali mashambulizi ya kigaidi ya hivi karibuni katika miji ya London na Manchester yaliyosababisha vifo vya makumi ya watu.

  • UN yaunda timu ya kuchunguza jinai dhidi ya Waislamu wa Rohingya

    UN yaunda timu ya kuchunguza jinai dhidi ya Waislamu wa Rohingya

    May 30, 2017 10:59

    Umoja wa Mataifa umeunda timu ya wataalamu huru kuchunguza mauaji na jinai zinazofanywa na jeshi la Myanmar dhidi ya Waislamu wa kabila la Rohingya katika jimbo la Rakhine.

  • Zarif: Ramadhani ni fursa kwa Waislamu kuimarisha umoja wao

    Zarif: Ramadhani ni fursa kwa Waislamu kuimarisha umoja wao

    May 28, 2017 09:26

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameutaja mwezi mtukufu wa Ramadhani kama fursa ya kipekee inayoweza kutumiwa na Waislamu kote duniani kwa ajili ya kuimarisha umoja na mshikamano wao.

  • Gaidi aua Waislamu wawili kwa sababu ya Hijabu nchini Marekani

    Gaidi aua Waislamu wawili kwa sababu ya Hijabu nchini Marekani

    May 28, 2017 02:32

    Waislamu wengine wawili wameuawa nchini Marekani ikiwa ni muendelezo wa ukandamizaji na unyanyasaji wa Waislamu hususan tangu alipoingia madarakani Rais Donald Trump wa nchi hiyo.

  • UN yalaani kudharauliwa mauaji ya Waislamu wa CAR

    UN yalaani kudharauliwa mauaji ya Waislamu wa CAR

    May 20, 2017 08:15

    Umoja wa Mataifa umelaani kitendo cha vyombo vya habari duniani cha kudharau kuakisi habari yza mashambulizi na mauaji ya makumi ya Waislamu huko Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • OIC yalaani mauaji ya Waislamu Jamhuri ya Afrika ya Kati

    OIC yalaani mauaji ya Waislamu Jamhuri ya Afrika ya Kati

    May 16, 2017 23:03

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC imelaani vikali mauaji ya Waislamu huko Jamhuri ya Afrika ya Kati ambayo yametekelezwa na magaidi wa kundi la Kikristo la Anti-Balaka.

  • Waislamu na wanaharakati waandamana London, Uingereza dhidi ya Israel

    Waislamu na wanaharakati waandamana London, Uingereza dhidi ya Israel

    May 07, 2017 08:52

    Mamia ya Waislamu nchini Uingereza wamefanya maandamano katika mji mkuu London kulaani ukaliaji wa mabavu na upanuzi wa vitongoji vya walowezi za Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS