-
Waislamu Uingereza walaani mashambulizi ya kigaidi London, Manchester
Jun 06, 2017 09:13Waislamu nchini Uingereza wamelaani vikali mashambulizi ya kigaidi ya hivi karibuni katika miji ya London na Manchester yaliyosababisha vifo vya makumi ya watu.
-
UN yaunda timu ya kuchunguza jinai dhidi ya Waislamu wa Rohingya
May 30, 2017 10:59Umoja wa Mataifa umeunda timu ya wataalamu huru kuchunguza mauaji na jinai zinazofanywa na jeshi la Myanmar dhidi ya Waislamu wa kabila la Rohingya katika jimbo la Rakhine.
-
Zarif: Ramadhani ni fursa kwa Waislamu kuimarisha umoja wao
May 28, 2017 09:26Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameutaja mwezi mtukufu wa Ramadhani kama fursa ya kipekee inayoweza kutumiwa na Waislamu kote duniani kwa ajili ya kuimarisha umoja na mshikamano wao.
-
Gaidi aua Waislamu wawili kwa sababu ya Hijabu nchini Marekani
May 28, 2017 02:32Waislamu wengine wawili wameuawa nchini Marekani ikiwa ni muendelezo wa ukandamizaji na unyanyasaji wa Waislamu hususan tangu alipoingia madarakani Rais Donald Trump wa nchi hiyo.
-
UN yalaani kudharauliwa mauaji ya Waislamu wa CAR
May 20, 2017 08:15Umoja wa Mataifa umelaani kitendo cha vyombo vya habari duniani cha kudharau kuakisi habari yza mashambulizi na mauaji ya makumi ya Waislamu huko Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
OIC yalaani mauaji ya Waislamu Jamhuri ya Afrika ya Kati
May 16, 2017 23:03Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC imelaani vikali mauaji ya Waislamu huko Jamhuri ya Afrika ya Kati ambayo yametekelezwa na magaidi wa kundi la Kikristo la Anti-Balaka.
-
Waislamu na wanaharakati waandamana London, Uingereza dhidi ya Israel
May 07, 2017 08:52Mamia ya Waislamu nchini Uingereza wamefanya maandamano katika mji mkuu London kulaani ukaliaji wa mabavu na upanuzi wa vitongoji vya walowezi za Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.
-
Mfululizo wa vipindi vya 'Ukatili wa Mabudha dhidi ya Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar' na Sauti
May 06, 2017 10:06Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya nne ya makala yanayozungumzia jinai na ukatili wa kutisha unaofanywa na Mabudha wenye kuchupa mipaka dhidi ya Waislamu wa kabila la Rohingya nchini Myanmar.
-
HRW: India iwazuie Wahindu wanowaua Waislamu wenye kuchinja ng'ombe
Apr 28, 2017 22:02Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) limeitaka serikali ya India ichukue hatua kuzuia mauaji yanayofanywa na Wahindu dhidi ya Waislamu kwa sababu tu wanachinja ng'ombe.
-
Kushadidi vitendo vya utumiaji mabavu dhidi ya Waislamu nchini Nigeria
Apr 19, 2017 07:41Baada ya viongozi wa Nigeria kukataa kumuachilia huru Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, Waislamu wa nchi hiyo kwa mara nyingine tena wameandamana wakitaka kuachiliwa huru mwanaharakati huyo wa Kiislamu.