Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wakimbizi

  • Sisitizo la Mogherini kuhusu msimamo wa Umoja wa Ulaya juu ya kadhia ya Libya

    Sisitizo la Mogherini kuhusu msimamo wa Umoja wa Ulaya juu ya kadhia ya Libya

    Jan 26, 2017 09:25

    Federica Mogherini, Mkuu wa Siasa za Nje za Umoja wa Ulaya amesema kuwa, umoja huo hauna nia ya kuipa Libya pendekezo lile lile uliloipa Uturuki kuhusiana na wakimbizi.

  • UNICEF: Maelfu ya watoto wakimbizi Waafrika wameingia Ulaya

    UNICEF: Maelfu ya watoto wakimbizi Waafrika wameingia Ulaya

    Jan 14, 2017 03:38

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto, UNICEF limesema watoto wapatao 25,800 waliwasili nchini Italia mwaka 2016 wakiwa peke yao kwa lengo la kusaka hifadhi barani Ulaya.

  • Raia zaidi ya milioni mbili wa Sudan Kusini wakimbilia nchi jirani

    Raia zaidi ya milioni mbili wa Sudan Kusini wakimbilia nchi jirani

    Jan 09, 2017 23:20

    Raia wengi wa Sudan Kusini wamelazimika kuihama nchi hiyo na kukimbilia katika nchi jirani kutokana na mgogoro wa kisiasa na mauaji yanayoendelea nchini humo.

  • Raia milioni mbili wakimbia Sudan Kusini

    Raia milioni mbili wakimbia Sudan Kusini

    Jan 08, 2017 10:22

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa wakimbizi wa Sudan Kusini zaidi ya milioni mbili walikimbilia Uganda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo mwaka jana kwa ajili ya kutafuta hifadhi.

  • Wakimbizi waliorejeshwa Somalia wataka kurejea Dadaab

    Wakimbizi waliorejeshwa Somalia wataka kurejea Dadaab

    Dec 27, 2016 11:22

    Akthari ya wakimbizi wa Kisomali waliorejeshwa kwa khiari nchini Somalia wamesema ahadi walizopewa kabla ya kurejeshwa nchini humo hazijatekelezwa na sasa baadhi yao wanataka kurejea katika kambi ya Dadaab nchini Kenya.

  • UN: Wajiri elfu tano wamekufa maji wakieleka Ulaya mwaka huu 2016

    UN: Wajiri elfu tano wamekufa maji wakieleka Ulaya mwaka huu 2016

    Dec 23, 2016 12:53

    Shirika la Kimataifa la Uhajiri (IOM) limesema wakimbizi na wahajiri wapatao 5,000 wamepoteza maisha mwaka huu wa 2016 wakijaribu kuingia barani Ulaya kupitia Bahari ya Mediterranea.

  • Kuzidi kunyanyaswa wakimbizi barani Ulaya na Marekani

    Kuzidi kunyanyaswa wakimbizi barani Ulaya na Marekani

    Dec 19, 2016 07:44

    Vitendo vya unyanyasaji dhidi ya wageni na wakimbizi vimeshika kasi katika nchi za Ulaya na Marekani kufuatia nchi hizo kuweka sheria kali za kuwadhibiti wahamiaji na wakimbizi wanaokimbilia nchi hizo.

  • Amnesty yaijia juu Algeria kwa kuwatimua wakimbizi wa Mali

    Amnesty yaijia juu Algeria kwa kuwatimua wakimbizi wa Mali

    Dec 19, 2016 00:54

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeitaka serikali ya Algeria kuunda sheria itakayowapa wakimbizi haki ya kupewa hifadhi sambamba na kuchunguza hatua ya kufukuzwa nchini humo wakimbizi wa Mali mapema mwezi huu.

  • Wakimbizi waliofukuzwa Algeria waingia nchini Niger

    Wakimbizi waliofukuzwa Algeria waingia nchini Niger

    Dec 10, 2016 10:26

    Mamia ya wakimbizi wa Kiafrika waliofukuzwa nchini Algeria wameingia katika nchi jirani ya Niger.

  • Wahajiri wanne waaga dunia katika Bahari ya Kati (Mediterranean)

    Wahajiri wanne waaga dunia katika Bahari ya Kati (Mediterranean)

    Dec 07, 2016 12:15

    Maafisa husika wa Morocco wameeleza kuwa wahajiri wanne wameaga dunia baada ya kuzama boti yao iliyokuwa imebeba makumi ya wahajiri katika maji ya bahari ya Mediterania kati ya Morocco na Uhispania.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS