Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wakimbizi

  • Wahajiri zaidi ya 200 waokolewa katika bahari ya Mediterania

    Wahajiri zaidi ya 200 waokolewa katika bahari ya Mediterania

    Dec 03, 2016 23:46

    Wahajiri zaidi ya 200 wamenusurika kufa maji baada ya kuokolewa katika bahari ya Mediterania.

  • Zaidi ya wahajiri 240 wamefariki dunia siku tatu zilizopita katika bahari ya Mediterenia

    Zaidi ya wahajiri 240 wamefariki dunia siku tatu zilizopita katika bahari ya Mediterenia

    Nov 17, 2016 04:00

    Zaidi ya wahajiri 240 wamefariki dunia au kutoweka katika bahari ya Mediterenia huku wengine 580 wakiokolewa kutoka kwenye boti zilizofurika wahajiri hao haramu.

  • Kenya yaakhirisha tarehe ya kufunga kambi ya Dadaab

    Kenya yaakhirisha tarehe ya kufunga kambi ya Dadaab

    Nov 16, 2016 10:16

    Kenya imerefusha muda wa kuwarejesha makwao wakimbizi wa Somalia walioko katika kambi ya Dadaab iliyoko kaskazini mashariki mwa nchi, ambayo ilitazamiwa kufungwa kikamilifu kufikia mwishoni mwa mwezi huu.

  • Wanaharakati kadhaa wa kijamii wakamatwa DRC

    Wanaharakati kadhaa wa kijamii wakamatwa DRC

    Oct 26, 2016 11:49

    Wanaharakati kadhaa wa masuala ya kijamii wametiwa mbaroni huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo baada ya kutuma barua kwa askari wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa kulalamikia makubaliano ya kisiasa yaliyofikiwa hivi karibuni kati ya serikali na baadhi ya wapinzani nchini humo.

  • UN: Wakimbizi 70,000 wa Dadaab wanataka kurudu Somalia

    UN: Wakimbizi 70,000 wa Dadaab wanataka kurudu Somalia

    Oct 04, 2016 04:32

    Umoja wa Mataifa umesema robo ya wakimbizi wa Kisomali wanaoishi katika kambi ya Dadaab nchini Kenya wametangaza utayarifu wao wa kurejea nchini kwao Somalia karibuni hivi.

  • UNHCR imewarejesha wakimbizi zaidi ya 30,000 wa Somalia kutoka Kenya

    UNHCR imewarejesha wakimbizi zaidi ya 30,000 wa Somalia kutoka Kenya

    Sep 30, 2016 04:26

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR limesema kuanzia mwezi Desemba mwaka 2014 wakimbizi zaidi ya elfu 30 wa Somalia wamerejeshwa kwa hiari katika nchi yao kutoka kambi ya wakimbizi ya Dadaab iliyoko kaskazini mashariki mwa Kenya.

  • UN yatahadharisha kuhusu kushindwa kusoma watoto wakimbizi

    UN yatahadharisha kuhusu kushindwa kusoma watoto wakimbizi

    Sep 15, 2016 11:55

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limetahadharisha kuhusu kushindwa kwenda shule watoto wakimbizi.

  • Wakimbizi wa Sudan Kusini zaidi ya 600 wafukuzwa Kongo

    Wakimbizi wa Sudan Kusini zaidi ya 600 wafukuzwa Kongo

    Sep 13, 2016 23:01

    Kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kimearifu kuhusu kufukuzwa wakimbizi wa Sudan Kusini zaidi ya 600 huko mashariki kaskazini mwa Kongo.

  • Wahajiri waendelea kuokolewa majini katika bahari ya Mediterania

    Wahajiri waendelea kuokolewa majini katika bahari ya Mediterania

    Sep 12, 2016 02:10

    Mshirika ya misaada ya kibinadamu yameripoti kuwa juma la wahajiri 700 wamenusurika kifo baada ya kuopolewa katika bahari ya Mediterania.

  • Watoto wakimbizi 360 watoweka wakiwa Uingereza

    Watoto wakimbizi 360 watoweka wakiwa Uingereza

    Sep 04, 2016 23:54

    Mamia ya watoto wakimbizi wametoweka baada ya kuwasili Uingereza huku kukiwa na wasiwasi kuwa baadhi wanadhalilishwa kingono na wengine wakiwa katika utumwa mamboleo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS