-
Mwito wa Umoja wa Mataifa wa kutolewa misaada zaidi ya kimataifa kwa wakimbizi Afrika
Aug 31, 2016 03:28Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limesisitiza kuwa, jamii ya kimataifa ina wajibu wa kusaidia kutatua mgogoro wa wakimbizi unaotokana na vita vya ndani nchini Sudan Kusini kwa uzito ule ule ambao wanakabiliana na wimbi la wakimbizi katika nchi za Ulaya.
-
Wasiwasi kuhusu hatima ya watoto wakimbizi elfu 9 huko Ujerumani
Aug 30, 2016 03:08Polisi ya Ujerumani imetangaza kuwa karibu watoto wakimbizi elfu tisa nchini humo wametoweka, hatua ambayo imezidisha hali ya wasiwasi kuhusu uwezekano wa watoto hao kuuzwa na kutumiwa vibaya na magenge ya biashara haramu ya binadamu katika nchi za Ulaya.
-
UN yaunga mkono juhudi za kuwarejesha nyumbani wakimbizi CAR
Aug 27, 2016 09:22Umoja wa Mataifa umetangaza uungaji mkono wake kwa juhudi za kuwarejesha nyumbani wakimbizi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
Raia 70,000 wa Sudan Kusini wakimbilia Uganda
Aug 13, 2016 03:25Idadi ya wananchi wa Sudan Kusini waliokimbilia nchini Uganda imepindukia watu 70,000.
-
Amnesty: Jamii ya Kimataifa imefeli kuutatua mgogoro wa wakimbizi
Aug 04, 2016 10:35Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limewakosoa viongozi wa dunia kwa kushindwa kuupatia ufumbuzi mgogoro wa wakimbizi duniani.
-
UN: Wakenya 42,000 walikuwa wakimbizi 'bandia' Dadaab
Jul 27, 2016 03:24Umoja wa Mataifa unakadiria kuwa, Wakenya 42,000 wamekuwa wakijifanya wakimbizi katika kambi ya Dadaab kwa shabaha ya kufaidika na misaada ya kibinadamu.
-
Machafuko mapya yaibuka CAR, wengi wakimbia makazi yao
Jul 08, 2016 08:38Machafuko mapya yameibuka Jamhuri ya Afrika ya Kati na kuwalazimu maelfu ya watu kukimbia makazi yao na kutafuta hifadhi katika nchi jirani za Chad na Cameroon.
-
Nusu ya wakimbizi wa kambi ya Dadaab Kenya kurejeshwa Somalia mwakwa huu
Jun 26, 2016 10:44Kamati ya pande tatu inayoshughulikia wakimbizi wanaoishi katika kambi kubwa zaidi ya wakimbizi duniani ya Dadaab nchini Kenya imetangaza kuwa, nusu ya wakimbizi hao watarejeshwa nchini kwao ifikapo mwishoni mwa mwaka huu wa 2016.
-
Mazungumzo ya simu ya Marais Kenyatta na Obama
Jun 24, 2016 03:41Rais Barack Obama wa Marekani amefanya mazungumzo na mwenzake wa Kenya Uhuru Kenyatta kuhusu masuala ya uhusiano wa pande mbili.
-
MSF: 180 wamepoteza maisha katika kambi ya wakimbizi Nigeria
Jun 23, 2016 03:30Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka MSF limesema makumi ya watu wamepoteza maisha kutokana na mkurupuko wa ugonjwa wa kuendesha na kutapika katika kambi moja ya wakimbizi nchini Nigeria, katika kipindi cha mwezi mmoja uliopita.