Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wakimbizi

  • Mwito wa Umoja wa Mataifa wa kutolewa misaada zaidi ya kimataifa kwa wakimbizi Afrika

    Mwito wa Umoja wa Mataifa wa kutolewa misaada zaidi ya kimataifa kwa wakimbizi Afrika

    Aug 31, 2016 03:28

    Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limesisitiza kuwa, jamii ya kimataifa ina wajibu wa kusaidia kutatua mgogoro wa wakimbizi unaotokana na vita vya ndani nchini Sudan Kusini kwa uzito ule ule ambao wanakabiliana na wimbi la wakimbizi katika nchi za Ulaya.

  • Wasiwasi kuhusu hatima ya watoto wakimbizi elfu 9 huko Ujerumani

    Wasiwasi kuhusu hatima ya watoto wakimbizi elfu 9 huko Ujerumani

    Aug 30, 2016 03:08

    Polisi ya Ujerumani imetangaza kuwa karibu watoto wakimbizi elfu tisa nchini humo wametoweka, hatua ambayo imezidisha hali ya wasiwasi kuhusu uwezekano wa watoto hao kuuzwa na kutumiwa vibaya na magenge ya biashara haramu ya binadamu katika nchi za Ulaya.

  • UN yaunga mkono juhudi za kuwarejesha nyumbani wakimbizi CAR

    UN yaunga mkono juhudi za kuwarejesha nyumbani wakimbizi CAR

    Aug 27, 2016 09:22

    Umoja wa Mataifa umetangaza uungaji mkono wake kwa juhudi za kuwarejesha nyumbani wakimbizi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Raia 70,000 wa Sudan Kusini wakimbilia Uganda

    Raia 70,000 wa Sudan Kusini wakimbilia Uganda

    Aug 13, 2016 03:25

    Idadi ya wananchi wa Sudan Kusini waliokimbilia nchini Uganda imepindukia watu 70,000.

  • Amnesty: Jamii ya Kimataifa imefeli kuutatua mgogoro wa wakimbizi

    Amnesty: Jamii ya Kimataifa imefeli kuutatua mgogoro wa wakimbizi

    Aug 04, 2016 10:35

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limewakosoa viongozi wa dunia kwa kushindwa kuupatia ufumbuzi mgogoro wa wakimbizi duniani.

  • UN: Wakenya 42,000 walikuwa wakimbizi 'bandia' Dadaab

    UN: Wakenya 42,000 walikuwa wakimbizi 'bandia' Dadaab

    Jul 27, 2016 03:24

    Umoja wa Mataifa unakadiria kuwa, Wakenya 42,000 wamekuwa wakijifanya wakimbizi katika kambi ya Dadaab kwa shabaha ya kufaidika na misaada ya kibinadamu.

  • Machafuko mapya yaibuka CAR, wengi wakimbia makazi yao

    Machafuko mapya yaibuka CAR, wengi wakimbia makazi yao

    Jul 08, 2016 08:38

    Machafuko mapya yameibuka Jamhuri ya Afrika ya Kati na kuwalazimu maelfu ya watu kukimbia makazi yao na kutafuta hifadhi katika nchi jirani za Chad na Cameroon.

  • Nusu ya wakimbizi wa kambi ya Dadaab Kenya kurejeshwa Somalia  mwakwa huu

    Nusu ya wakimbizi wa kambi ya Dadaab Kenya kurejeshwa Somalia mwakwa huu

    Jun 26, 2016 10:44

    Kamati ya pande tatu inayoshughulikia wakimbizi wanaoishi katika kambi kubwa zaidi ya wakimbizi duniani ya Dadaab nchini Kenya imetangaza kuwa, nusu ya wakimbizi hao watarejeshwa nchini kwao ifikapo mwishoni mwa mwaka huu wa 2016.

  • Mazungumzo ya simu ya Marais  Kenyatta na Obama

    Mazungumzo ya simu ya Marais Kenyatta na Obama

    Jun 24, 2016 03:41

    Rais Barack Obama wa Marekani amefanya mazungumzo na mwenzake wa Kenya Uhuru Kenyatta kuhusu masuala ya uhusiano wa pande mbili.

  • MSF: 180 wamepoteza maisha katika kambi ya wakimbizi Nigeria

    MSF: 180 wamepoteza maisha katika kambi ya wakimbizi Nigeria

    Jun 23, 2016 03:30

    Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka MSF limesema makumi ya watu wamepoteza maisha kutokana na mkurupuko wa ugonjwa wa kuendesha na kutapika katika kambi moja ya wakimbizi nchini Nigeria, katika kipindi cha mwezi mmoja uliopita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS