-
UN: Watu milioni 65 wamelazimika kuwa wakimbizi duniani
Jun 20, 2016 03:38Idadi ya wakimbizi duniani imeendelea kuvunja rekodi na kutia wasi wasi, ambapo watu milioni 65.3 wamelazimika kuwa wakimbizi katika kona mbali mbali za dunia kufikia mwishoni mwa mwaka jana 2015.
-
Wakimbizi wa Eritrea wapokea msaada wa kimatibabu Ethiopia
Jun 20, 2016 02:41Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka limeanza kuwapa msaada wa kimatibabu wakimbizi wa Eritrea ambao wamekimbilia Ethiopia kutokana na kushtadi mapigano mpakani mwa nchi mbili hizo jirani.
-
Kuongezeka idadi ya wahajiri wa Kiafrika wanaoelekea Ulaya
Jun 19, 2016 22:56Taasisi ya kudhibiti na kusimamia mipaka ya nchi za Ulaya, imetabiri kuwa katika miezi ijayo karibu kila wiki jumla ya wahajiri elfu 10 kutoka nchi za Kiafrika wataingia barani humo kupitia bahari ya Mediterranean.
-
UN yakosoa kuzuiliwa wakimbizi katika nchi za Ulaya
Jun 13, 2016 11:05Umoja wa Mataifa umeelezea wasi wasi kuhusu habari za kuzuiliwa wakimbizi wakiwemo watoto wadodo katika mazingira ya kutisha barani Ulaya.
-
Mkuu wa UNHCR azuru Kenya kujadili kurejeshwa nyumbani wakimbizi kutoka Somalia
Jun 10, 2016 09:50Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuwahudumia Wakimbizi UNHCR Filippo Grandi yuko nchini Kenya ili kutathmini hali ya kambi ya wakimbizi ya Dadaab baada ya Kenya kuchukua uamuzi wa kufunga kambi hiyo yenye wakimbizi kutoka Somalia.
-
Maelfu ya wakimbizi waokolewa katika Bahari ya Mediterranean
Jun 09, 2016 23:32Gadi ya fukwe za bahari ya Italia imetangaza habari kwamba imewaokoa maelfu ya wakimbizi katika Bahari ya Mediterranean katika siku za Jumatano na Alkhamisi.
-
Somalia: Tuko tayari kuwapokea wakimbizi wa Dadaab
Jun 08, 2016 09:55Rais Hassan Sheikh Mohamoud wa Somalia amesema nchi yake iko tayari kuwapokea raia wake kutoka kambi ya ya wakimbizi ya Dadaab nchini Kenya, kwa shabaha ya kuwapa fursa wakimbizi hao kujenga taifa lao.
-
Wasiwasi wa UNHCR kuhusu kutimuliwa Waeritrea nchini Sudan
Jun 03, 2016 09:57Shirika la Umoja wa mataifa la kuhudumia wakimbizi la UNHCR limesema, lina hofu kubwa na hatua y ahivi karibuni ya kutimuliwa raia wa Eritrea walioko Sudan.
-
Kenya yahimiza kufungwa kambi kubwa ya wakimbizi duniani ya Dadaab
Jun 01, 2016 11:08Waziri wa Mambo ya Ndani wa Kenya amesema kuwa, kambi ya wakimbizi ya Dadaab iliyoko kaskazini mashariki mwa nchi hiyo itakuwa imefungwa ifikapo mwishoni mwa mwezi Novemba mwaka huu.
-
Wasiwasi wa Umoja wa Mataifa kuhus jinai za Daesh huko Falluja, Iraq
May 30, 2016 23:48Msemaji wa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa amesema jinai zinazotekelezwa na magaidi wa kundi la Daesh katika mji wa Falluja huko Iraq zinatia wasiwasi.