Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wakimbizi

  • UN: Wakimbizi wa Burundi na DRC walioko Rwanda wanahitaji msaada

    UN: Wakimbizi wa Burundi na DRC walioko Rwanda wanahitaji msaada

    May 22, 2016 11:52

    Umoja wa Mataifa umesema wakimbizi raia wa Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo walioko nchini Rwanda wanahitajia misaada ya dharura na kwamba idadi ya wakimbizi wanaoingia nchini humo kutoka nchi mbili hizo na haswa Burundi ni ya kutia wasi wasi.

  • Sisitizo la Umoja wa Afrika la kutuma askari wa kimataifa nchini Burundi

    Sisitizo la Umoja wa Afrika la kutuma askari wa kimataifa nchini Burundi

    May 21, 2016 08:42

    Umoja wa Afrika AU umetoa ripoti maalumu kuhusiana na uvunjaji wa haki za binadamu nchini Burundi na kusisitizia nia ya umoja huo ya kutuma askari wa kimataifa wa kulinda amani nchini humo.

  • UN yaiomba Kenya isifunge kambi za wakimbizi Wasomali

    UN yaiomba Kenya isifunge kambi za wakimbizi Wasomali

    May 20, 2016 11:55

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya Ijumaa amekutana na wajumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa mjini Nairobi kujadili uamuzi wa nchi yake kuwatimua wakimbizi kutoka Somalia walioko katika kambi kubwa zaidi ya wakimbizi duniani ya Dadaab.

  • Burundi yaituhumu tena Rwanda kuwa inaharibu usalama wake

    Burundi yaituhumu tena Rwanda kuwa inaharibu usalama wake

    May 20, 2016 02:36

    Kwa mara nyingine tena serikali ya Burundi imeituhumu Rwanda kuwa inafanya njama za kuharibu utulivu nchini humo.

  • Umoja wa Mataifa: Mgogoro wa wakimbizi ni wa dunia nzima

    Umoja wa Mataifa: Mgogoro wa wakimbizi ni wa dunia nzima

    May 16, 2016 23:50

    Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya wakimbizi amesema kuwa, mgogoro wa wakimbizi ni tatizo la dunia nzima.

  • Nigeria kutumia vinasaba vya DNA kugundua magaidi

    Nigeria kutumia vinasaba vya DNA kugundua magaidi

    May 16, 2016 23:46

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Nigeria amesema kuwa, serikali ya nchi hiyo ina mpango wa kutumia vinasaba yaani DNA kuwakamata magaidi.

  • Somalia yalalamikia mpango wa Kenya wa kufunga kambi ya Dadaab

    Somalia yalalamikia mpango wa Kenya wa kufunga kambi ya Dadaab

    May 12, 2016 23:24

    Serikali ya Somalia imekosoa azma ya Kenya ya kufunga kambi ya wakimbizi ya Dadaab yenye mamia ya maelfu ya wakimbizi na haswa raia wa Kisomali.

  • Kushambuliwa kambi ya wakimbizi Darfur Sudan

    Kushambuliwa kambi ya wakimbizi Darfur Sudan

    May 11, 2016 03:16

    Watu wenye silaha wameishambulia kambi ya wakimbizi katika jimbo la Darfur, magharibi mwa Sudan na kuua watu wasiopungua watatu na kuwajeruhi wengine 11.

  • Ripoti: Watu milioni 40 ni wakimbizi katika nchi zao

    Ripoti: Watu milioni 40 ni wakimbizi katika nchi zao

    May 11, 2016 02:39

    Watu zaidi ya milioni 40 katika nchi mbali mbali duniani wamelazimika kuwa wakimbizi wa ndani ya nchi kutokana na vita na migogoro.

  • UN yaikosoa Kenya kwa kupanga kufunga kambi za wakimbizi

    UN yaikosoa Kenya kwa kupanga kufunga kambi za wakimbizi

    May 10, 2016 02:28

    Umoja wa Mataifa umeitaka serikali ya Kenya kufikiria upya mpango wake wa kufunga kambi za wakimbizi za Dadaab na Kakuma.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS