-
Maalim Seif: Inaniuma kukihama Chama cha Wananchi Tanzania CUF
Apr 01, 2019 15:13Kinara wa siasa za upinzani visiwani Zanzibar na pia mwanachama namba moja wa chama cha ACT-Wazalendo nchini Tanzania, Maalim Seif Sharif Hamad amesema hatua yake ya kuondoka katika Chama cha Wananchi (CUF) imeacha majonzi moyoni mwake.
-
Wapinzani nchini Misri wakosoa azma ya kuondoa kikomo cha urais
Mar 28, 2019 04:45Muungano wa upinzani nchini Misri umekosoa vikali mpango wa kuondoa kikomo cha muhula wa rais, hatua ambayo huenda ikamruhusu Rais Abdulfattah al-Sisi wa nchi hiyo kugombea zaidi ya mihula miwili iliyoruhusiwa na katiba.
-
Mamia ya waandamanaji watiwa nguvuni Misri, wanamtaka al Sisi ang'atuke
Mar 02, 2019 07:48Askari usalama wa Misri wamewatia nguvuni mamia ya vijana waliofanya maandamano katika maneo mbalimbali ya nchi hiyo wakipinga utawala wa Rais Abdel Fattah al Sisi wa nchi hiyo.
-
Watetezi wa haki za binadamu waandamana kupinga hukumu za vifo Misri
Feb 22, 2019 17:12Watetezi wa haki za binadamu wamefanya maandamano katika nchi kadhaa duniani kupinga utekelezaji wa hukumu ya kifo dhidi ya wapinzani wa serikali ya Misri.
-
Serikali ya Sudan yawakamata viongozi wa upinzani
Feb 21, 2019 15:33Maafisa wa polisi nchini Sudan wamewatia mbaroni viongozi waandamizi wa vyama vya upinzani, muda mfupi kabla ya kuanza wimbi jipya la maandamano dhidi ya serikali.
-
Upinzani Nigeria: Kuakhirishwa uchaguzi ni njama za kumbakisha Buhari madarakani
Feb 16, 2019 12:45Chama kikuu cha upinzani nchini Nigeria kimetilia shaka uamuzi wa Tume ya Uchaguzi wa kuakhirisha uchaguzi, kikisisitiza kuwa kitendo hicho ni hatari kwa taifa na kina lengo la kuandaa mazingira ya kuiba kura kwa maslahi ya rais wa sasa.
-
Upinzani Nigeria wasimamisha kampeni baada ya kutimuliwa Jaji Mkuu
Jan 26, 2019 08:24Chama kikuu cha upinzani nchini Nigeria kimetangaza kufuta kampeni zake kwa muda wa masaa 72 kulalamikia hatua ya serikali ya Rais Muhammadu Buhari ya kumsimamisha kazi Jaji Mkuu wa nchi hiyo.
-
Hafla ya kumuapisha rais mpya wa Kongo DR yaakhirishwa
Jan 22, 2019 07:50Sherehe za kumuapisha rais mpya wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zilizotazamiwa kufanyika leo Jumanne zimeakhirishwa na sasa zitafanyika baadaye wiki hii.
-
Muungano mkuu wa upinzani nchini Sudan wamtaka Rais Bashir ajiuzulu
Jan 03, 2019 03:13Muungano mkubwa zaidi wa upinzani wa Nidaa nchini Sudan umemtaka Rais Omar al-Bashir wa nchi hiyo aachie ngazi, huku maandamano dhidi ya serikali yakiendelea.
-
Kiongozi wa upinzani Rwanda: Mashinikizo hayataninyamazisha
Dec 05, 2018 16:29Mwanasiasa wa upinzani na mkosoaji mashuhuri wa Rais Paul Kagame wa Rwanda Diane Shima Rwigara amesema katu hatasalimu amri mbele ya mashinikizo na vitisho dhidi yake.