-
Mahakama yatupilia mbali kesi ya upinzani kuhusu kura ya maoni Burundi
May 31, 2018 14:58Mahakama ya Katiba ya Burundi imetupilia mbali kesi iliyowasilisha na muungano wa upinzani nchini humo kupinga matokeo ya kura ya maoni ya kuifanyia marekebisho katiba ya nchi, yaliyoipa ushindi kambi ya serikali.
-
Kiongozi mashuhuri wa upinzani nchini Misri atiwa mbaroni
May 28, 2018 04:16Vyombo vya usalama vya Misri vimemtia mbaroni kiongozi mashuhuri wa upinzani nchini humo, Hazim Abdelazim.
-
Upinzani Burundi waenda mahakamani kupinga matokeo ya kura ya maoni
May 25, 2018 07:34Muungano wa upinzani nchini Burundi unaoongozwa na Agathon Rwasa jana Alkhamisi ulienda mahakamani kupinga matokeo ya kura ya maoni ya kuifanyia marekebisho katiba ya nchi, yaliyoipa ushindi kambi ya serikali.
-
Kiongozi mkongwe wa upinzani (92) ashinda uchaguzi Malaysia
May 10, 2018 14:30Kiongozi mkongwe wa upinzani ambaye amewahi kuwa Waziri Mkuu wa Malaysia ameshinda uchaguzi mkuu uliofanyika nchini humo, kwa mujibu wa matokeo rasmi ya Tume ya Uchaguzi, na kutamatisha utawala wa karibu miongo sita wa mrengo tawala wa Barisan Nasional.
-
Upinzani nchini Madagascar wakataa upatanishi wa UN
May 08, 2018 16:55Upinzani nchini Madagascar umepinga upatanishi wa Umoja wa Mataifa katika mgogoro unaoendelea kutokota katika kisiwa hicho cha kusini mashariki mwa Afrika.
-
Upinzani Uganda waijia juu serikali kwa mauaji ya viongozi wa Kiislamu
May 04, 2018 07:24Viongozi wa upinzani nchini Uganda wameitaka serikali ya Kampala kutoa ripoti kuhusu mauaji na kamatakamata dhidi ya viongozi na wahubiri wa Kiislamu katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.
-
Kiongozi wa upinzani Sierra Leone ajitangaza mshindi wa urais
Apr 04, 2018 02:30Jeshi la Sierra Leone limekadhibisha tuhuma za kula njama ya kumuua kiongozi wa upinzani nchini humo, Brigedia Julius Maada Bio ambaye anadai kuwa ameibuka mshindi katika duru ya pili ya uchaguzi wa rais.
-
Kiongozi wa upinzani Senegal ahukumiwa kifungo cha miaka 5 jela
Mar 30, 2018 15:00Mahakama moja nchini Senegal imemhukumu kifungo cha miaka mitano jela Khalifa Sall, kiongozi mashuhuri wa upinzani nchini humo baada ya kupatikana na hatia katika kesi ya ufisadi iliyokuwa ikimkabili.
-
Serikali yavunja chama kikuu cha upinzani Equatorial Guinea
Feb 27, 2018 14:32Mahakama moja ya Equatorial Guinea imevunja chama kikuu cha upinzani nchini humo sambamba na kuwasweka jela makumi ya wanaharakati.
-
Wapinzani wa serikali ya Burundi wakutana kuunganisha nguvu zao
Jan 30, 2018 16:48Wapinzani wa serikali ya Burundi walioko nje ya nchi wameanzisha jitihada za kuunda kambi na muungano dhidi ya serikali ya Rais Pierre Nkurunziza wa nchi hiyo.