Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wapinzani

  • Mahakama yatupilia mbali kesi ya upinzani kuhusu kura ya maoni Burundi

    Mahakama yatupilia mbali kesi ya upinzani kuhusu kura ya maoni Burundi

    May 31, 2018 14:58

    Mahakama ya Katiba ya Burundi imetupilia mbali kesi iliyowasilisha na muungano wa upinzani nchini humo kupinga matokeo ya kura ya maoni ya kuifanyia marekebisho katiba ya nchi, yaliyoipa ushindi kambi ya serikali.

  • Kiongozi mashuhuri wa upinzani nchini Misri atiwa mbaroni

    Kiongozi mashuhuri wa upinzani nchini Misri atiwa mbaroni

    May 28, 2018 04:16

    Vyombo vya usalama vya Misri vimemtia mbaroni kiongozi mashuhuri wa upinzani nchini humo, Hazim Abdelazim.

  • Upinzani Burundi waenda mahakamani kupinga matokeo ya kura ya maoni

    Upinzani Burundi waenda mahakamani kupinga matokeo ya kura ya maoni

    May 25, 2018 07:34

    Muungano wa upinzani nchini Burundi unaoongozwa na Agathon Rwasa jana Alkhamisi ulienda mahakamani kupinga matokeo ya kura ya maoni ya kuifanyia marekebisho katiba ya nchi, yaliyoipa ushindi kambi ya serikali.

  • Kiongozi mkongwe wa upinzani (92) ashinda uchaguzi Malaysia

    Kiongozi mkongwe wa upinzani (92) ashinda uchaguzi Malaysia

    May 10, 2018 14:30

    Kiongozi mkongwe wa upinzani ambaye amewahi kuwa Waziri Mkuu wa Malaysia ameshinda uchaguzi mkuu uliofanyika nchini humo, kwa mujibu wa matokeo rasmi ya Tume ya Uchaguzi, na kutamatisha utawala wa karibu miongo sita wa mrengo tawala wa Barisan Nasional.

  • Upinzani nchini Madagascar wakataa upatanishi wa UN

    Upinzani nchini Madagascar wakataa upatanishi wa UN

    May 08, 2018 16:55

    Upinzani nchini Madagascar umepinga upatanishi wa Umoja wa Mataifa katika mgogoro unaoendelea kutokota katika kisiwa hicho cha kusini mashariki mwa Afrika.

  • Upinzani Uganda waijia juu serikali kwa mauaji ya viongozi wa Kiislamu

    Upinzani Uganda waijia juu serikali kwa mauaji ya viongozi wa Kiislamu

    May 04, 2018 07:24

    Viongozi wa upinzani nchini Uganda wameitaka serikali ya Kampala kutoa ripoti kuhusu mauaji na kamatakamata dhidi ya viongozi na wahubiri wa Kiislamu katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

  • Kiongozi wa upinzani Sierra Leone ajitangaza mshindi wa urais

    Kiongozi wa upinzani Sierra Leone ajitangaza mshindi wa urais

    Apr 04, 2018 02:30

    Jeshi la Sierra Leone limekadhibisha tuhuma za kula njama ya kumuua kiongozi wa upinzani nchini humo, Brigedia Julius Maada Bio ambaye anadai kuwa ameibuka mshindi katika duru ya pili ya uchaguzi wa rais.

  • Kiongozi wa upinzani Senegal ahukumiwa kifungo cha miaka 5 jela

    Kiongozi wa upinzani Senegal ahukumiwa kifungo cha miaka 5 jela

    Mar 30, 2018 15:00

    Mahakama moja nchini Senegal imemhukumu kifungo cha miaka mitano jela Khalifa Sall, kiongozi mashuhuri wa upinzani nchini humo baada ya kupatikana na hatia katika kesi ya ufisadi iliyokuwa ikimkabili.

  • Serikali yavunja chama kikuu cha upinzani Equatorial Guinea

    Serikali yavunja chama kikuu cha upinzani Equatorial Guinea

    Feb 27, 2018 14:32

    Mahakama moja ya Equatorial Guinea imevunja chama kikuu cha upinzani nchini humo sambamba na kuwasweka jela makumi ya wanaharakati.

  • Wapinzani wa serikali ya Burundi wakutana kuunganisha nguvu zao

    Wapinzani wa serikali ya Burundi wakutana kuunganisha nguvu zao

    Jan 30, 2018 16:48

    Wapinzani wa serikali ya Burundi walioko nje ya nchi wameanzisha jitihada za kuunda kambi na muungano dhidi ya serikali ya Rais Pierre Nkurunziza wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS