-
Rais wa Iran asisitiza maendeleo katika uga wa sayansi na teknolojia
Mar 14, 2024 03:48Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema sayansi na teknoliojia ni kati ya maeneo ambayo maadui wanayatamani ili kuirudisha nyuma Iran ya Kiislamu na akasisitiza maendeleo katika uwanja huo.
-
Maneva ya pamoja ya muungano wa baharini kati ya Iran, China na Russia
Mar 14, 2024 03:45Msemaji wa maneva ya "Ukanda wa Usalama wa Baharini 2024" amesema kuwa dunia inashuhudia muungano mpya wa baharini kati ya Iran, China na Russia kwa ajili ya kudhamini usalama wa kaskazini mwa bahari ya Hindi.
-
Waziri wa Ulinzi : Iran imepiga hatua kubwa katika uzalishaji wa ndege zisizo na rubani (Droni)
Mar 13, 2024 23:06Waziri wa Ulinzi wa Iran Brigedia Jenerali Mohammad Reza Ashtiani amesema kuwa uuzaji nje wa zana za kijeshi umeongezeka pakubwa katika miaka ya karibuni.
-
Amir-Abdollahian: Israel inatekeleza kwa makusudi sera za kuliangamiza taifa la Palestina
Mar 13, 2024 08:09Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, moja ya malengo hatari ya utawala ghasibu wa Israel katika kuizingira kikamilifu Gaza na kuzuia kutumwa misaada ni kuandaa mazingira ya kusambaratika kijamii na kiraia Ukanda huo.
-
Iran na Iraq zasisitizia haja ya kusimamishwa mauaji ya kimbari Gaza
Mar 13, 2024 04:16Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Iraq wametoa mwito wa kuchukua hatua zaidi hasa za kisiasa kwa ajili ya kusimamisha mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.
-
Kiongozi Muadhamu: Kilele cha istiqama ya wananchi wa Ghaza kinatokana na kuielewa na kuifanyia kazi Qur'ani Tukufu
Mar 12, 2024 23:18Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, usomaji wa Qur'ani ni sanaa takatifu na inabidi lengo lake kuu liwe ni kuwafundisha watu na jamii maana na ujumbe uliomo kwenye Qur'ani na kuandaa mazingira ya kuzingatiwa aya za Kitabu hicho Kitakatifu kama ambavyo pia kilele cha istiqama ya wananchi wa Ghaza kinatokana na kuielewa na kuifanyia kazi Qur'ani Tukufu.
-
Makamu wa Rais wa Iran ataka utawala wa Kizayuni utimuliwe kwenye kamisheni ya wanawake ya UN
Mar 12, 2024 08:10Ensiyeh Khazali, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika kikao cha Kamisheni ya Umoja wa Mataifa ya Nafasi ya Mwanamke kuwa, utawala wa Kizayuni lazima utimuliwe kwenye kamisheni hiyo kutokana na jinai zake za miongo kadhaa za kuua mamilioni ya wanawake na watoto wadogo.
-
Amir Abdollahian: Palestina ni kadhia kuu katika vipaumbele vya Ulimwengu wa Kiislamu
Mar 12, 2024 04:30Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma ujumbe akitoa mkono wa pongezi kwa Waislamu kwa kuwadia mwezi mtukufu wa Ramadhani na kusema: "Kadhia ya Palestina inaongoza katika vipaumbele vya Ulimwengu wa Kiislamu."
-
Raisi: Wajibu wa wakuu wa nchi za Kiislamu ni kudumisha amani miongoni mwa Waislamu
Mar 11, 2024 23:43Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewapongeza viongozi na wananchi wa nchi za Kiislamu kwa mnasaba wa kuwadia mwezi mtukufu wa Ramadhani na kusema kuwa, ni wajibu wa viongozi wa nchi za Kiislamu kuhimiza na kudumisha amani na undugu baina ya Waislamu.
-
Tume ya kutafuta ukweli; wenzo wa kisiasa unaotumiwa na Magharibi dhidi ya Iran
Mar 11, 2024 23:03Tume ya Umoja wa Mataifa ya kutafuta ukweli imetoa ripoti yake yenye tuhuma hewa na zisizo na msingi dhidi ya Iran, na kuonyesha kwa mara nyingine tena jinsi Wamagharibi wanaojinasibu kuwa watetezi wa haki za binadamu wanavyozitumia nyenzo za kimataifa kufikia malengo yao ya kisiasa.