-
Kiongozi Mkuu: "Kuwa na imani na Jamhuri ya Watu na Uislamu" ndio sababu ya uthabiti na maendeleo iliyopata Iran
Feb 24, 2024 08:41Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema, "imani juu ya Jamhuri ya Watu na Uislamu" ndio wenzo wa uthabiti na maendeleo ya Iran.
-
Mtazamo wa kiusalama wa maadui kuhusu uchaguzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Feb 24, 2024 05:49Ufuatiliaji na uchunguza wa mienendo na harakati za maadui kuhusu uchaguzi wa Machi Mosi nchini Iran unaonyesha kuwa wanautazama uchaguzi huo wa Bunge kwa mtazamo wa kiusalama.
-
Iran yakanusha kuiuzuia makombora ya balestiki Russia
Feb 24, 2024 02:49Ofisi ya mwakilishi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amekanusha vikali madai ya baadhi ya vyombo vya habari vya Magharibi vilivyodai kuwa, Iran imeiuzia Russia makombora ya balestiki ya kuyatumia kwenye vita vyake vya Ukraine.
-
Idadi ya wagombea katika uchaguzi wa Bunge nchini Iran yaweka rekodi mpya tangu 1979
Feb 23, 2024 22:44Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iran inaonesha kuwa, idadi ya watu waliojiandikisha kugombea viti vya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) imevunja rekodi ya ile iyosajiliwa tangu baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu, mwaka 1979.
-
Biashara ya dola bilioni 55 ya Iran yafelisha vikwazo vya maadui
Feb 23, 2024 22:42Thamani ya kiwango cha biashara baina ya Iran na nchi jirani imepindukia dola bilioni 55 ikiwa na maana kwamba, vikwazo vya upande mmoja vya Marekani vimefeli na vimeshindwa kuizuia Jamhuri ya Kiislamu kufikia malengo yake.
-
Haj Ali Akbari: Uchaguzi ni fursa nzuri kwa watu wa Iran
Feb 23, 2024 08:51Imamu wa muda wa Swala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, uchaguzi ni fursa nzuri kwa watu wa Iran.
-
Iran: Kusimamisha vita na kuandaliwa kura ya maoni ndio suluhisho la kadhia ya Palestina
Feb 23, 2024 04:32Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesisitiza kuwa kusitishwa vita katika ukanda wa Gaza na kuandaliwa kura ya maoni katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu ndio njia pekee ya kupatikana amani katika eneo hilo.
-
Kuwaunga mkono wananchi na muqawama wa Ghazza ndilo jukumu kubwa la kiQur'ani leo hii
Feb 22, 2024 08:03Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya nchini Iran amesisitiza kuwa, kuwaunga mkono na kuwasaidia wananchi na muqawama wa Ukanda wa Ghazza ndilo jukumu kubwa zaidi la kiQur'ani hivi sasa.
-
Raisi awahimiza Waislamu kushikamana na mafundisho ya Uislamu na kukabiliana na Israel
Feb 22, 2024 04:30Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa lau nchi zote za Kiislamu zingeongozwa na Qur’ani na kuwa adui wa madhalimu, utawala wa Kizayuni wa Israel usingethubutu kuwaua kwa umati Wapalestina huko Ukanda wa Gaza.
-
Kampeni za uchaguzi wa Bunge la Iran zinaanza kote nchini leo hadi Februari 29
Feb 22, 2024 00:13Msemaji wa Tume ya Uchaguzi ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iran amesema: Kampeni za wagombea 15,000 wanaowania viti vya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, yaani Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zimeanza rasmi alfajiri ya kuamkia leo.