-
Iran yalaani mashambulizi ya Marekani na Uingereza nchini Yemen
Feb 04, 2024 08:30Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani mashambulizi ya anga na makombora ya Marekani na Uingereza dhidi ya miji na maeneo tofauti ya Yemen.
-
Abdollahian akosoa vikali mashambulio ya Marekani dhidi ya Syria na Iraq
Feb 04, 2024 03:57Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, hujuma na mashambulio ya hivi karibuni ya Marekani katika mataifa ya Syria na Iraq chimbuko lake ni utendaji wa kimakosa na usio sahihi wa Washington katika kutatua matatizo ya Asia Magharibi kwa ktumia mtutu wa bunduki.
-
Rais wa Iran: Tumesambaratisha vikwazo
Feb 03, 2024 23:23Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Kurushwa kwa satalaiti 11 za Iran kwa mafanikio kumeshinda vikwazo vya Marekani na Magharibi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Iran: Mashambulizi ya Marekani dhidi ya Iraq na Syria ni 'kosa la kimkakati'
Feb 03, 2024 23:19Iran imelaani vikali mashambulizi ya anga ya Marekani dhidi ya Iraq na Syria, na kuyataja kuwa ni "kosa la kimkakati" na ukiukaji wa mamlaka na mipaka ya nchi hizo mbili, sheria za kimataifa na Mkataba wa Umoja wa Mataifa.
-
Iran yaicharaza Japan 2-1 na kutinga nusu fainali ya Kombe La Asia
Feb 03, 2024 11:19Mkwaju wa penalti wa dakika za mwisho wa Alireza Jahanbakhsh uliipa Iran ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Japan Jumamosi na kuiwezesha timu hii ya taifa ya soka ya Iran kutinga nusu fainali ya Kombe la Asia kwa mara ya pili tangu 2004.
-
Kusambaratishwa mitandao ya kijasusi ya "Mossad" nchini Iran
Feb 03, 2024 08:32Wizara ya Intelijensia ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza kuwa imefichua vibaraka kadhaa wa shirika la ujasusi la Israel, Mossad katika nchi 28 duniani.
-
Iran yalaani Magharibi kuisimamishia UNRWA misaada
Feb 03, 2024 04:00Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekosoa vikali hatua 'chungu' ya Wamagharibi ya kulisimamishia misaada Shirika la Umoja wa Mataifa la Msaada kwa Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA).
-
Raisi: Jibu la Iran kwa shambulio lolote tarajiwa litakuwa kali
Feb 02, 2024 23:39Rais Ebrahim Raisi wa Iran anasema Iran haitoanzisha vita lakini itatoa jibu kali na lenye nguvu kwa chokochoko ya aina yoyote dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
UN yaipongeza Iran kwa hatua madhubuti katika mapambano dhidi ya dawa za kulevya
Feb 02, 2024 23:01Mkuu wa Idara ya Huduma za Sayansi na Maabara ya Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kukabiliana na Mihadarati na Uhalifu (UNODC) amepongeza hatua za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kupambana na dawa za kulevya.
-
Intelijensia ya Iran yagundua makumi ya majasusi wa Mossad katika nchi 28 duniani
Feb 02, 2024 10:45Wizara ya Usalama wa Taifa ya Iran imetangaza kuwa vikosi vyake vimegundua idadi kubwa ya majasusi wanaohusishwa na shirika la ujasusi la utawala wa Kizayuni wa Israel Mossad katika nchi 28 duniani.