-
Larijani: Kuunga mkono umoja wa Umma wa Kiislamu ni mojawapo ya vipaumbele vikuu vya Iran
Nov 27, 2025 23:29Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema kuwa kulinda na kutetea umoja wa Umma wa Kiislamu ni miongoni mwa vipaumbele vikuu vya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Jeshi la Wanamaji la Iran kuzindia zana mpya za kivita
Nov 27, 2025 23:16Admeri Shahram Irani, Kamanda wa Jeshi la Wanamaji la Iran, ametangaza mipango ya kuzindua vifaa vipya na kuunganisha meli mpya katika jeshi hilo.
-
Larijani: Vita vya siku 12 ni matokeo ya njama za miaka mingi za Marekani na Wazayuni
Nov 27, 2025 02:30Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesisitiza katika mkutano na wasomi wa Pakistan kwamba vita vya siku 12 ilivyolazimishwa Iran kupigana ni matokeo ya njama kubwa za Marekani na utawala wa Kizayuni na vilipangwa miaka mingi nyuma.
-
Uhusiano wa Iran na Pakistan; kiungo cha kimkakati cha amani na utulivu katika eneo
Nov 26, 2025 12:47Ali Larijani, Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amewasili Islamabad na kukutana na kushauriana na maafisa wa Pakistan katika ziara rasmi ya siku mbili.
-
Haaretz: Netanyahu amepelekea Israel kushindwa katika pande zote, hususan dhidi ya Iran
Nov 26, 2025 08:48"Sera za waziri mkuu Benjamin Netanyahu zimepelekea kushindwa Israel katika pande zote za kidiplomasia, kijeshi, na kimkakati, hususan dhidi ya Iran". Hayo ni kwa mujibu wa Haaretz, gazeti la Israel linalochapishwa kwa lugha ya Kiebrania.
-
Asilimia 86 ya vijiji vya Iran vimeunganishwa kwa barabara za lami
Nov 26, 2025 03:44Wizara ya Uchukuzi ya Iran imesema kuwa karibu vijiji tisa kati ya kumi hapa nchini vimeunganishwa kwa barabara za lami; hatua inayoashiria upanuzi mkubwa wa miundombinu ya vijijini nchini Iran.
-
Iran yaishukuru Pakistan kwa kuwa pamoja nayo wakati wa vita vya kulazimishwa
Nov 25, 2025 23:33Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Kitaifa la Iran (SNSC) Ali Larijani ameishukuru Pakistan kwa kuiunga mkono Tehran wakati wa "vita visivyo vya haki" vya mwezi Juni 2025 vilivyoanzishwa na utawala wa Kizayuni na Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Larijani: Ushirikiano wa Iran na Pakistan unachangia amani ya kikanda
Nov 25, 2025 07:30Ali Larijani, Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran (SNSC), amesema ushirikiano kati ya Tehran na Islamabad katika nyanja mbalimbali unaimarisha amani na utulivu wa kieneo, na kuangazia nafasi muhimu ya Pakistan katika uwanja huo.
-
Mohsein Rezaei: Israel inaharakisha anguko lake kwa kuwauwa makamanda wa Muqawama
Nov 24, 2025 11:53Kamanda Mkuu wa zamani wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) ameonya kuwa mauaji yanayofanywa na utawala wa Israel dhidi ya makamanda wa Muqawama yanaharakisha kuangamia utawala huo.
-
Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Oman wafanya mazungumzo mjini Muscat
Nov 24, 2025 03:46Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Seyed Abbas Araghchi amekutana na kufanya mazungumzo na mwenzake wa Oman Badr Al-Busaidi mjini Muscat Jumapili jioni na kujadili masuala mbalimbai yakiwemo ya uhusiano wa pande mbili na matukio muhimu ya kikanda.