-
Danny Citrinowicz: Ushawishi wa vyombo vya habari vya Iran barani Afrika umeongezeka
Nov 24, 2025 03:44Mtafiti mkuu wa Mpango wa Iran katika Taasisi ya Utafiti wa Usalama wa Taifa ya Israel (INSS) ameeleza wasiwasi wake kuhusu mwenendo wa ushawishi wa vyombo vya habari vya Iran barani Afrika na matokeo yake ya muda mrefu dhidi ya maslahi ya utawala wa Kizayuni barani humo.
-
Tehran: Azimio la IAEA dhidi ya Iran ni 'doa la fedheha' kwa watayarishaji wake
Nov 23, 2025 23:51Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani azimio lililopitishwa na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) kuhusu mpango wa amani wa nyuklia wa Tehran na kulitaja kuwa "doa la fedheha" kwa wafadhili wa azimio hilo.
-
Iran yaidhinisha miradi ya uwekezaji wa kigeni ya dola milioni 485
Nov 23, 2025 23:33Bodi ya uwekezaji wa kigeni ya Iran imeidhinisha maombi 67 yenye thamani ya dola milioni 485 wakati wa mkutano wake wa tisa wa mwaka, kuashiria maslahi mapya kutoka kwa wawekezaji wa kimataifa katika sekta nyingi.
-
Iran: Utawala wa kizayuni hauna mpaka katika kutenda jinai
Nov 23, 2025 08:36Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, utawala haramu wa Israel hauna mpaka katika kutenda jinai na wqala hauheshimu ahadi wala sheria yoyote ya kimataifa.
-
Kamanda: Jeshi la Iran liko tayari kukabiliana na tishio lolote
Nov 22, 2025 23:42Kamanda wa Jeshi la Nchi Kavu la Iran, akizungumza mbele ya makamanda wenzake, amesisitiza kuwa kwa kuzingatia maelekezo ya Kiongozi Muadhamu na kwa kutumia tajiriba ya vita vya zamani, hususan vita vya kulazimishwa vya siku 12 vya mwezi Juni, jeshi limeweka mkakati wa kuzingatia nguzo tano: utii wa uongozi, uadilifu, ufanisi, teknolojia na uboreshaji wa ujuzi.
-
Madini ya risasi na zinki yaimarisha hadhi ya Iran kama ngome ya madini Asia Magharibi
Nov 22, 2025 23:37Tarehe 22 Novemba, huadhimishwa kitaifa nchini Iran kama Siku ya Madini ya Risasi na Zinki ikiwa ni kuashiria nafasi kuu ya sekta hii na uhusiano wake wa karibu na malengo ya kiuchumi ya taifa.
-
Marekani na nchi tatu za Ulaya zimeuaje Mkataba wa Cairo?
Nov 22, 2025 23:00Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameandika kwenye akaunti yake ya X kwamba: ""Mkataba wa Cairo" umeangamizwa na Marekani na nchi tatu za Ulaya."
-
Harakati ya pamoja ya kupinga hatua ya Magharibi dhidi ya Iran katika Bodi ya Magavana ya IAEA
Nov 22, 2025 06:50Hivi sasa kumejitokeza harakati ya pamoja ya kupinga hatua ya Troika ya Ulaya na Marekani dhidi ya Iran katika Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA).
-
Russia: Wamagharibi wakubali haki ya Iran ya kurutubisha madini ya urani na waache lugha ya vitisho
Nov 22, 2025 03:47Serikali ya Russia imeyataka madola ya Magharibi kuachana na lugha ya vitisho na badala yake yatambue na kuikubali haki ya Iran ya kurutuubisha madini ya urani.
-
Moscow: Stratijia ya Magharibi ya mashinikizo na vikwazo dhidi ya Iran haina tija
Nov 21, 2025 23:51Mjumbe wa Baraza la Uhusiano Baina ya Kaumu Mbalimbali linalosimamiwa na Rais Vladimir Putin wa Russia amesema vikwazo vya nchi za Magharibi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran havitafua dafu.