Dini
  • Hukumu za Ibada ya Hija- Ihram

    Hukumu za Ibada ya Hija- Ihram

    May 23, 2026 08:06

    Baada ya miaka mingi na kuwa mbali na Makka, Mtume Muhammad (saw) na Masahaba wake walielekea katika eneo hilo kwa ajili ya kufanya ibada ya Umra katika mwaka wa 6 wa Hijria. Wote walivaa Ihram mahali paitwapo Dhul-Hulaifah (Msikiti Shajara), ambapo palikuwa umbali wa kilomita 450 kutoka Makka.

  • Ramadhani, Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu (25)

    Ramadhani, Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu (25)

    Mar 27, 2025 03:01

    Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Ni furaha iliyoje kuwa nanyi tena wapenzi wasikilizaji katika mfululizo mwengine wa Ramadhani, Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu.

  • Ramadhani, Dhifa ya Mwenyezi Mungu (9)

    Ramadhani, Dhifa ya Mwenyezi Mungu (9)

    Mar 17, 2025 02:51

    Mwezi mtukufu wa Ramadhani ni kama mvua laini ya msimu wa kuchipua inayonyeshea jangwa kavu na lenye kiu. Hebu na tuyaloweshe majangwa ya roho zetu kwa mvua hii yenye uhai.

  • Ramadhani, Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu (6)

    Ramadhani, Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu (6)

    Mar 16, 2025 04:36

    Mwezi mtukufu wa Ramadhani ni kama ilivyo mvua ya msimu wa machipuo, inayonyesha kwenye jangwa kavu lenye kiu ya maji. Jongeeni tukidhi kiu ya nyoyo zetu kwa maji ya mvua hii ya uzima.

  • Ramadhani, Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu (5)

    Ramadhani, Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu (5)

    Mar 13, 2025 03:54

    Assalaam Alaykum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran na karibuni kusikiliza sehemu ya tano ya kipindi hiki maalumu tulichokutayarishieni kwa mnasaba wa mwezi huu mtukufu wa Ramadhni.

  • Ramadhani, Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu-4

    Ramadhani, Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu-4

    Mar 12, 2025 05:58

    Mwezi wa Ramadhani ambao imeteremshwa humo Qur´ani, kuwa mwongozo kwa watu, na hoja zilizowazi za uongofu na upambanuzi. Basi atayekuwa katika mji (wake) katika mwezi huu aufunge....

  • Ramadhani, Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu (3)

    Ramadhani, Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu (3)

    Mar 12, 2025 05:43

    Hamjambo wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran na karibuni kusikiliza kipindi kingine maalumu ambacho tumekutayarishieni kwa mnasaba wa mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.

  • Ramadhani, Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu-2

    Ramadhani, Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu-2

    Mar 11, 2025 06:47

    Mwezi wa Ramadhani ambao imeteremshwa humo Qur´ani, kuwa  mwongozo kwa watu, na hoja zilizo wazi za uwongofu na upambanuzi. Basi atayekuwa katika mji (wake) katika mwezi huu aufunge. Na mwenye kuwa mgonjwa au safarini, basi atimize hisabu katika siku nyengine. Mwenyezi Mungu anakutakieni yaliyo mepesi wala hakutakieni yaliyo mazito, na mtimize hiyo hisabu, na mumtukuze Mwenyezi Mungu kwa kuwa amewangoza ili mpate kushukuru. (Baqarah:185)

  • Ramadhani; Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu (1)

    Ramadhani; Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu (1)

    Mar 10, 2025 03:40

    Assalaam alaykum wapenzi wasikilizaji. Tumo katika siku tukufu za ibada ya funga ya mwezi wa Ramadhani na sote tumealikwa kuwa wageni wa Mwenyezi Mungu Mtukufu.