Dini
  • Mwezi 28 Safar, Siku aliyotawafu Bwana Mtume Muhammad SAW

    Mwezi 28 Safar, Siku aliyotawafu Bwana Mtume Muhammad SAW

    Aug 12, 2026 13:24

    Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh wapenzi wasikilizaji. Mwezi 28 Safar, unasadifiana na kumbukumbu ya kut'awafu, yaani kuaga dunia Mtume wa Mwenyezi Mungu, Nabii Muhammad Al-Mustafa, rehma za Allah na amani Yake ziwe juu yake na Aali zake. Na kwa mujibu wa baadhi ya Hadithi, siku hiyo pia inasadifiana na kumbukumbu ya kufa shahidi mjukuu wake mpenzi, Imam Hassan al-Mujtaba AS.

  • Alipoaga Dunia

    Alipoaga Dunia

    Aug 11, 2026 11:23

    Tunafungua kipindi chetu kwa Hadithi maarufu ya Bwana Mtume (saw) ambayo madhumuni yake yamepokewa katika Hadithi nyingi zilizoandikwa na wanazuoni wa madhehebu mbalimbali za Kiislamu.

  • Hukumu za Ibada ya Hija- Ihram

    Hukumu za Ibada ya Hija- Ihram

    May 23, 2026 08:06

    Baada ya miaka mingi na kuwa mbali na Makka, Mtume Muhammad (saw) na Masahaba wake walielekea katika eneo hilo kwa ajili ya kufanya ibada ya Umra katika mwaka wa 6 wa Hijria. Wote walivaa Ihram mahali paitwapo Dhul-Hulaifah (Msikiti Shajara), ambapo palikuwa umbali wa kilomita 450 kutoka Makka.

  • Ramadhani, Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu (25)

    Ramadhani, Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu (25)

    Mar 27, 2025 03:01

    Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Ni furaha iliyoje kuwa nanyi tena wapenzi wasikilizaji katika mfululizo mwengine wa Ramadhani, Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu.

  • Ramadhani, Dhifa ya Mwenyezi Mungu (9)

    Ramadhani, Dhifa ya Mwenyezi Mungu (9)

    Mar 17, 2025 02:51

    Mwezi mtukufu wa Ramadhani ni kama mvua laini ya msimu wa kuchipua inayonyeshea jangwa kavu na lenye kiu. Hebu na tuyaloweshe majangwa ya roho zetu kwa mvua hii yenye uhai.

  • Ramadhani, Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu (6)

    Ramadhani, Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu (6)

    Mar 16, 2025 04:36

    Mwezi mtukufu wa Ramadhani ni kama ilivyo mvua ya msimu wa machipuo, inayonyesha kwenye jangwa kavu lenye kiu ya maji. Jongeeni tukidhi kiu ya nyoyo zetu kwa maji ya mvua hii ya uzima.

  • Ramadhani, Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu (5)

    Ramadhani, Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu (5)

    Mar 13, 2025 03:54

    Assalaam Alaykum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran na karibuni kusikiliza sehemu ya tano ya kipindi hiki maalumu tulichokutayarishieni kwa mnasaba wa mwezi huu mtukufu wa Ramadhni.

  • Ramadhani, Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu-4

    Ramadhani, Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu-4

    Mar 12, 2025 05:58

    Mwezi wa Ramadhani ambao imeteremshwa humo Qur´ani, kuwa mwongozo kwa watu, na hoja zilizowazi za uongofu na upambanuzi. Basi atayekuwa katika mji (wake) katika mwezi huu aufunge....

  • Ramadhani, Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu (3)

    Ramadhani, Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu (3)

    Mar 12, 2025 05:43

    Hamjambo wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran na karibuni kusikiliza kipindi kingine maalumu ambacho tumekutayarishieni kwa mnasaba wa mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.