-
Mwandishi habari wa Kiingereza awahutubu watu wa Magharibi: Mlichoambiwa kuhusu kuchukiwa Raisi ni uongo mtupu
Jun 18, 2024 11:50Pars Today- Richard Medhurst, mwandishi wa Kiingereza na mwandishi wa habari sambamba na kuashiria mahudhurio ya mamilioni ya watu wa Iran katika shughuli ya kuuaga mwili wa shahidi "Sayyid Ebrahim Raisi" rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amekosoa uenezaji uwongo wa vyombo vya Magharibi dhidi ya hayati rais wa Iran.
-
Sema uongo na toa vitisho! Baadhi ya maoni ya watumiaji wa X kushambulia propaganda za Israel
Jun 17, 2024 14:57Parstoday: Mtumiaji mmoja wa mtandao wa kijamii wa X amesema kuwa Israel na Wazayuni wanapenda sana kutumia mbinu hii ya propaganda kila pale wanapobanwa na jinai zao za kuua raia wa kawaida huko Palestina. Wakibanwa sana utawasikia wanasema, tutafanya uchunguzi. Lakini wakati mashinikizo yanapopungua, vyombo vyao vya habari na wanasiasa wao hujielekeza kwenye jinai nyingine na hakuna uchunguzi wowote unaofanyika.
-
Ujumbe wa Hija wa Kiongozi Muadhamu 1445 Hijria
Jun 15, 2024 11:18Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei, ametoa ujumbe kwa mahujaji wa Nyumba Tukufu ya Mwenyezi Mungu wanaotekeleza ibada ya Hija ambapo ameutaja " Wito mzuri wa Ibrahim, ambao katika zama zote unawaita watu wote kwenye Al-Kaaba wakati wa msimu wa Hija, mwaka huu pia umevutia nyoyo za Waislamu kote duniani kwenye ngome ya Tauhidi na umoja.
-
Barua ya Kiongozi Muadhamu kwa wanachuo wa Marekani
Jun 01, 2024 10:24Ifuatayo ni barua ya Ayatullah Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, aliyowaandikia wanachuo wa vyuo vikuu vya Marekani kufuatia utetezi wao wa kijasiri kwa maslahi ya watu wa Palestina.
-
Historia ya Maisha ya Shahidi Sayyid Ebrahim Raisi
May 20, 2024 08:42Sayyid Ebrahim Raisi, Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na viongozi kadhaa aliofuatana nao wamekufa shahidi katika ajali ya helikopta iliyotokea jana Jumapili katika eneo la Varzghan mkoani Azerbaijan Mashariki wakiwa katika kazi ya kuwahudumia na kuwatumikia wananchi.
-
Jumamosi, 11 Mei, 2024
May 11, 2024 04:09Leo ni Jumamosi tarehe Pili Mfunguo Pili Dhul-Qaadah 1445 Hijria mwafaka na tarehe 11 Mei 2024 Miladia.
-
Harakati ya kimataifa ya mwamko wa wanafunzi wa vyuo vikuu dhidi ya Wazayuni
May 08, 2024 08:15Harakati ya mwamko ya wanafunzi wa vyuo vikuu vya Marekani dhidi ya utawala katili wa Israel iliyoanzia katika Chuo Kikuu cha Columbia mjini New York sasa imesambaa katika vyuo vikuu vya nchi nyingine duniani.
-
Oparesheni Ahadi ya Kweli katika Vyombo vya Habari
Apr 27, 2024 13:51Mashambulio ya ndege zisizo na rubani (droni) na makombora ya Iran dhidi ya utawala wa Kizayuni wiki iliyopita yaliakisiwa na vyombo vya habari vya nchi ajinabi tangu dakika za mwanzo baada ya kutekelezwa. Katika kipindi hiki, tunatupia jicho radiamali zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya habari kuhusua mashambulizi ya Iran dhidi ya Israel.
-
Netanyahu anataka kubadilisha uwanja wa mchezo
Apr 12, 2024 12:12Hamjambo na karibuni katiika kipindi chetu cha wiki hii cha Makala ya Wiki kinachobeba anwani: Netanyahu anataka kubadilisha uwanja wa mchezo.
-
Aya 30 Siku 30 (Uhuru na Mtu Huru katika Uislamu) 12
Apr 05, 2024 05:58Asalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Hamjambo na karibuni kuwa nami katika kipindi hiki maalumu cha Ramadhani ambacho kitatupia jicho uhuru na kuwa huru katika mtazamo wa Qur'ani Tukufu.