-
Kukosoa Umoja wa Mataifa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu
Jul 02, 2024 08:05Uamuzi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kuendeleza ujenzi wa vitongoji vyay walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu umekosolewa na Umoja wa Mataifa.
-
Jeshi la Israel lasema liko tayari kusimamisha vita dhidi ya Gaza mwezi huu
Jul 02, 2024 04:24Maafisa wa kisiasa wa utawala ghasibu wa Israel wamesema jeshi la utawala huo liko tayari kutekeleza hatua kwa hatua hatua ya tatu na hatimaye kuhitimisha vita dhidi ya Ukanda wa Gaza mwezi huu wa Julai.
-
Zaidi ya waandishi wa habari 150 wameshauawa shahidi katika vita vya Gaza
Jul 02, 2024 02:15Ofisi ya upashaji habari ya serikali ya Gaza huko Palestina imetangaza kuwa, zaidi ya waandishi wa habari 150 wameshauawa shahidi kwenye ukanda huo tangu utawala wa Kizayuni ulipoanzisha mashambulizi ya pande zote, Oktoba 7, 2023.
-
Mkurugenzi wa Hospitali ya al Shifa: Niliteswa vikali katika magereza ya Israel
Jul 02, 2024 00:43Mkurugenzi wa Hospitali ya al Shifa katika Ukanda wa Gaza ambaye alikuwa anashikiliwa na utawala wa Israel kwa zaidi ya miezi 7 amesema kuwa alikuwa akiteswa vikali ndani ya magereza ya Israel.
-
Kuondolewa Hizbullah ya Lebanon katika orodha ya magaidi ya Arab League, matunda ya kikanda ya Kimbunga cha Al-Aqsa
Jul 01, 2024 23:06Baada ya miaka 8 kupita, hatimaye Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imeliondoa jina la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon kwenye orodha yake ya kigaidi.
-
Mamia ya maafisa wa jeshi Israel wataka kuondoka jeshini, hawataki tena kushiriki katika vita vya Gaza
Jul 01, 2024 07:58Televisheni ya Israel imetanagaza kuwa maafisa wapatao 900 wa vyeo tofauti wa jeshi wameomba kufutwa mikataba yao ya kuhudumu jeshini, wakati maombi kama hayo hapo awalii hayakuzidi maafisa 150.
-
Wanaharakati wa Iraq waipiga tena kwa makombora bandari ya Eilat ya utawala wa Kizayuni
Jul 01, 2024 04:37Wanaharakati wa Muqawama wa Iraq wamesema kuwa wamefanya shambulizi jipya dhidi ya Bandari ya Eilat katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu Wazayuni na ambazo zimepachikwa jina bandia la Israel.
-
Hamas: Kitendo cha Israel cha kuwatumia mateka kama ngao za binadamu ni uhalifu wa kivita
Jul 01, 2024 03:32Mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas); Izzat al-Rashq amesema kuwa, hatua ya utawala wa Kizayuni ya kuwatumia mateka kama ngao za binadamu ni jinai ya kivita.
-
Kuzidi kuwa mkubwa mzozo na mpasuko ndani ya utawala wa Kizayuni
Jul 01, 2024 02:45Kuendelea vita katika Ukanda wa Ghaza na kushindwa utawala wa Kizayuni kupata mafanikio yoyote ya kijeshi sambamba na chokochoko zinazofanywa na Netanyahu katika mpaka wa Lebanon ni mambo ambayo yamezidisha mzozo na mpasuko katika safu za Wazayuni.
-
Gazeti la Kizayuni la Haaretz: Vita na Hizbullah ni "kujitia kitanzi"
Jun 30, 2024 22:52Gazeti moja la Kizayuni linalochapishwa mjini Tel Aviv limetabiri kuwa, matokeo ya vita vikubwa kati ya utawala wa Kizayuni na Hizbullah ya Lebanon ni sawa na kujitia kitanzi Israel na kushindwa vibaya sana.