-
Matokeo mabaya ya mauaji ya kikatili yanayofanywa na Wazayuni kwa wanawake huko Gaza
Jun 30, 2024 22:50Miezi 9 imepita tangu utawala wa Kizayuni uanzishe mauaji ya kimbari dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza.
-
Utafiti wa Israel: Nguvu zetu za kijeshi zinafifia na vita na Lebanon ni maafa
Jun 30, 2024 07:42Utafiti uliotayarishwa na Taasisi ya Utafiti wa Usalama wa Taifa ya Israel katika Chuo Kikuu cha Tel Aviv umetahadharisha kuhusu hatari ya kuingia katika makabiliano makubwa ya kijeshi na harakati ya Hizbullah ya Lebanon, na kusisitiza kuwa, kuendelea kuwepo Israel kama taifa kumeingia mashakani, na taswira yake kama taifa lenye nguvu za kijeshi inafifia.
-
Arab League yaiondoa Hizbullah katika orodha ya makundi ya kigaidi
Jun 30, 2024 03:26Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imetangaza habari ya kuiondoa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon katika orodha yake ya 'mashirika ya kigaidi'.
-
UN yakosoa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan
Jun 30, 2024 02:43Mratibu Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Amani ya Asia Magharibi, akielezea wasiwasi wake juu ya kuendelea ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, ameutaja upanuzi wa ujenzi wa vitongoji vya walowezi katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu kuwa ni ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa.
-
Sayyid Nasrullah: Kukombolewa Palestina ndio ushindi wa mwisho
Jun 29, 2024 22:44Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, ushindi wa mwisho ni kukombolewa Palestina na kuondolewa eneo la Asia Magharibi kutoka katika udhibiti utawala wa Marekani.
-
Kung'ang'ania vita bila ya malengo; jinai baada ya jinai nyingine
Jun 29, 2024 22:43Vita vinaendelea huko Ukanda wa Gaza huku jeshi linalokalia kwa mabavu (Israel) likikabiliwa na ukosefu wa shabaha na kushambulia sehemu yoyote bila malengo.
-
OIC yatahadharisha kuhusu ujenzi wa vitongoji vya walowezi unaofanywa na Israel
Jun 29, 2024 09:06Katika radiamali yake kwa hatua mpya ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuendeleza ujenzi wa vitongoji vya walowezi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imesema kuwa kitendo hicho cha Israel ni muendelezo wa maangamizi ya kizazi na mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina.
-
Wazayuni washambulia mahema ya wakimbizi wa Kipalestina kusini mwa Gaza
Jun 29, 2024 08:17Wanajeshi wa utawala haramu wa Israel waliokuwa wamejizatiti kwa vifaru wamevamia mahema ya wakimbizi wa Kipalestina katika eneo la al Mawasi kaskazini magharibi mwa Rafah, kusini mwa Ukanda wa Gaza.
-
Harakati za Kiislamu za Yemen na Iraq zashirikiana tena kuupiga utawala wa Kizayuni
Jun 28, 2024 22:56Wanamapambano shupavu wa harakati za Kiislamu za Iraq na Yemen kwa mara nyingine tena wameshirikiana katika operesheni ya kuyapiga maeneo ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel: Israel inapaswa kukomesha mauaji ya kimbari ya watu wa Palestina
Jun 28, 2024 22:55Mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel wa Uingereza amesema kuwa, amani kwa Wapalestina inawezekana tu iwapo utawala wa Kizayuni wa Israel utakomesha siasa za ubaguzi wa rangi na mauaji ya kimbari.