-
Jenerali Mzayuni: Kutangaza vita na Hizbullah ni kujiua kwa umati Israel
Jun 22, 2024 23:17Jenerali mmoja mstaafu wa jeshi la utawala wa Kizayuni ameonya vikali kuhusu kutangaza vita dhidi ya Hizbullah ya Lebanon na amekichukulia kitendo hicho kuwa ni kujiangamiza kwa umati utawala huo.
-
Sababu na matokeo ya kufunguliwa ofisi ya kisiasa ya Hamas nchini Iraq
Jun 22, 2024 23:14Ofisi ya masuala ya kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas hivi karibuni imefunguliwa kwa njia isiyo rasmi huko Baghdad na imepangwa kufunguliwa rasmi katika siku chache zijazo.
-
HAMAS: Kuendelea kutambuliwa Palestina kutahitimisha unazi wa Kizayuni
Jun 22, 2024 07:49Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS sanjari na kukaribisha kwa mikono miwili na kupongeza hatua ya Armenia ya kulitambua rasmi taifa huru la Palestina, imesisitiza kuwa mwenendo huo wa mataifa ya dunia kuitambua Palestina kama nchi huru utapelekea kufikia ukingoni unazi wa Kizayuni.
-
Israel, utawala mbovu zaidi wa kuwekeza, hasara wanayopata Wazayuni haivumiliki
Jun 21, 2024 22:55Vita vinavyoendelea huko Ghaza na jinai za Israel dhidi ya Wapalestina zinaendelea kuusababishia hasara kubwa pia utawala wa Kizayuni hasa za kijeshi na kiuchumi.
-
Armenia yalitambua rasmi taifa huru la Palestina
Jun 21, 2024 08:50Serikali ya Armenia imetangaza kuwa, imelitambua rasmi taifa huru la Palestina.
-
Ansarullah: Operesheni za Yemen zinaashiria kuimarika kambi ya muqawama
Jun 21, 2024 04:09Msemaji wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema operesheni za nchi hiyo dhidi ya utawala haramu wa Israel ni ushahidi wa kupata nguvu na kuwa na umoja mrengo wa muqawama katika eneo la Asia Magharibi katika kuitetea Palestina.
-
Umoja wa Mataifa watoa onyo kali kuhusu kuongezeka majanga katika Ukanda wa Gaza
Jun 20, 2024 22:44Francesca Albanese, Ripota wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Palestina, amesema katika taarifa kwamba hali ya maafa huko Ukanda wa Gaza imezidi kuwa mbaya. Kwa kauli yake, utawala haramu wa Israel unalenga misafara ya misaada ya kibinadamu inayotumwa Gaza na kuzuia ufikaji wa misaada katika ukanda huo.
-
Wasiwasi unaozidi kuongezeka wa Biden kuhusu chokochoko za Netanyahu kusini mwa Lebanon
Jun 20, 2024 04:53Amos Hochstein, mjumbe wa Biden, amelitembelea tena eneo la Asia Magharibi ikiwa ni katika juhudi zake za kutuliza hali ya mambo katika eneo la kaskazini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel).
-
Ushindi mwingine mkubwa kwa HAMAS, jeshi la Israel latangaza rasmi haliwezi kuifuta, Netanyahu aja juu
Jun 20, 2024 03:40Msemaji wa Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel (IDF), Daniel Hagari alisema jana Jumatano kwamba Hamas haiwezi kufutwa na amependekeza kufikiwe makubaliano ya kubadilishana mateka kwani hiyo ndiyo njia pekee ya kuhakikisha mateka wote wa Israel wanaoshikiliwa huko Ghaza wanaachiliwa huru.
-
Israel yaongeza maambukizi ya homa ya ini kwa wakimbizi wa Ghaza
Jun 19, 2024 23:26Duru za hospitali katika Ukanda wa Ghaza zimeonya kuhusu kuenea ugonjwa wa homa ya ini na jinsi utawala wa Kizayuni wa Israel unavyoeneza ugonjwa huo kati ya wakimbizi wa Palestina.