Washukiwa wanne wa ugaidi wajisalimisha nchini Kenya + Sauti
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i51031-washukiwa_wanne_wa_ugaidi_wajisalimisha_nchini_kenya_sauti
Washukiwa wanne kati ya wanane waliokuwa wakisakwa na mamlaka za usalama nchini Kenya wamejisalimisha huku polisi wakizidisha msako kote nchini humo.
(last modified 2026-01-14T08:12:18+00:00 )
Jan 21, 2019 14:46 UTC

Washukiwa wanne kati ya wanane waliokuwa wakisakwa na mamlaka za usalama nchini Kenya wamejisalimisha huku polisi wakizidisha msako kote nchini humo.

Duru za ujasusi zimearifu kuwa, wanne hao wamejisalimisha katika kituo kimoja cha polisi cha Kaunti ya Isiolo ya kaskazini mwa jiji la Nairobi.

Mwandishi wetu Seifullah Murtadha na maelezo zaidi kutoka Mombasa Kenya...

Wanajeshi wa Kenya