Waislamu Kenya walalamikia marufuku ya Hijabu mashuleni + Sauti
Jan 24, 2019 13:16 UTC
Waislamu nchini Kenya wamelalamikia uamuzi wa Mahakama ya Kilele ya nchi hiyo wa kubatilisha ruhusa ya wanafunzi wa kike kuvaa vazi la staha la Hijabu katika shule zote za nchi hiyo. Seifullah Murtadha na maelezo zaidi...
Tags