Waislamu Kenya walalamikia marufuku ya Hijabu mashuleni + Sauti
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i51093-waislamu_kenya_walalamikia_marufuku_ya_hijabu_mashuleni_sauti
Waislamu nchini Kenya wamelalamikia uamuzi wa Mahakama ya Kilele ya nchi hiyo wa kubatilisha ruhusa ya wanafunzi wa kike kuvaa vazi la staha la Hijabu katika shule zote za nchi hiyo. Seifullah Murtadha na maelezo zaidi...
(last modified 2026-01-14T08:12:18+00:00 )
Jan 24, 2019 13:16 UTC

Waislamu nchini Kenya wamelalamikia uamuzi wa Mahakama ya Kilele ya nchi hiyo wa kubatilisha ruhusa ya wanafunzi wa kike kuvaa vazi la staha la Hijabu katika shule zote za nchi hiyo. Seifullah Murtadha na maelezo zaidi...