Kigali: Mwenyeji wa kikao cha mameya wa miji ya Francophone + Sauti
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i72618-kigali_mwenyeji_wa_kikao_cha_mameya_wa_miji_ya_francophone_sauti
Meya wa miji mikuu ya nchi zinazotumia lugha ya Kifaransa wameyahimiza mataifa wanachama hasa yale yaliyoko kusini mwa jangwa la Sahara barani Afrika kulipa kipaumbele suala la kuwaelimisha wananchi wao kuhusu elimu ya uzazi wa mpango. Kutoka Kigali mwandishi wetu Sylivanus Karemera anaripoti zaidi.
(last modified 2023-11-27T12:14:11+00:00 )
Jul 21, 2021 16:00 UTC

Meya wa miji mikuu ya nchi zinazotumia lugha ya Kifaransa wameyahimiza mataifa wanachama hasa yale yaliyoko kusini mwa jangwa la Sahara barani Afrika kulipa kipaumbele suala la kuwaelimisha wananchi wao kuhusu elimu ya uzazi wa mpango. Kutoka Kigali mwandishi wetu Sylivanus Karemera anaripoti zaidi.