-
Makubaliano ya dola bilioni 1.4 ya kufufua reli ya TAZARA
Nov 21, 2025 04:27China, Zambia na Tanzania zimesaini makubaliano ya kihistoria ya dola bilioni 1.4 siku ya Alhamisi ya kufufua reli ya Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA).
-
WFP: Karibu robo ya wananchi wa Somalia wanakabiliwa na njaa kali
Nov 20, 2025 23:32Mpango wa Chakula Duniani (WFP) jana ulitahadharisha kuwa karibu robo ya jamii ya watu wa Somalia wanakabiliwa na njaa kali huku watoto zaidi ya milioni 1.85 walio na umri chini ya miaka mitano wakiwa katika hatari ya kupata utapiamlo mkali.
-
Nigeria yafunga shule katika jimbo la Kwara kufuatia ongezeko la ukosefu wa usalama
Nov 20, 2025 23:31Mamlaka husika katika Jimbo la Kwara nchini Nigeria zimefunga shule zote katika eneo la Iflodun, Ekiti, Irepodun, Isin na Oke Ero kufuatia vitisho vipya vya usalama katika jimbo hilo.
-
Uchaguzi Mkuu unakaribia Uganda, Polisi wazuia wapinzani kufanya kampeni Arua
Nov 20, 2025 06:46Huku Uchaguzi Mkuu ukizidi kukaribia nchini Uganda, Jeshi la Polisi la nchi hiyo limekizuia chama cha upinzani cha Jukwaa la Umoja wa Kitaifa NUP kuingia katika eneo la kampeni za uchaguzi lililokuwa limepangwa kabla kwenye mji muhimu wa Arua wa kaskazini mwa Uganda jana Jumatano.
-
Wanawake wajawazito Sudan wafanya safari ngumu za kukimbia machafuko ya El-Fasher
Nov 20, 2025 06:44Nadra Mohamed Ahmed alikuwa na ujauzito wa miezi saba wakati alipokimbia machafuko na mauaji katika mji wake wa El-Fasher nchini Sudan. Baada ya kutembea kwa karibu kilomita 40 katika barabara zisizo salama na watoto wake wawili, alipata usafiri salama hadi kwenye makazi yake mapya.
-
Watu 70 hawajulikani waliko baada ya boti kuzama mkoani Kasai, DRC
Nov 20, 2025 02:39Watu wapatao 70 hawajulikani walipo baada ya boti kuzama mtoni katika Mkoa wa Kasai katikati mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Mgogoro wa Sahel: Tishio la Kikanda au Hatari ya Kimataifa?
Nov 20, 2025 02:11Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, ametahadharisha kuhusu ukuaji na upanukaji wa makundi ya kigaidi barani Afrika na kutangaza kuwa: "Hali ya usalama, hasa katika Afrika Magharibi na eneo la Sahel, inazidi kuwa mbaya siku hadi siku."
-
Afrika Kusini imejiandaa kuwa mwenyeji wa mkutano wa G20 uliosusiwa na Marekani
Nov 19, 2025 23:49Afrika Kusini inajiadaa kuwa mwenyeji wa mkutano wa G20, unaowakutanisha viongozi kutoka mataifa tajiri duniani, kujadili masuala mbalimbali yakiwemo ya kiuchumu na kisiasa. Maandalizi ya mkutano huo utakaofanyika sikuu za Jumamosi na Jumapili ijayo yamekamilika.
-
Wapalestina wa Gaza waelezea safari yao ya siri kuelekea Afrika Kusini katika njama iliyotekelezwa na Israel
Nov 19, 2025 23:27Wapalestina walioondoka Gaza hivi karibuni kupitia njia fiche ya uhamishaji inayodaiwa kuunganishwa na ofisi ya wizara ya vita ya Israel wanasema walipelekwa nje ya eneo hilo linalokumbwa na vita bila taarifa, hati, au hata kuelewa walikokuwa wanaelekezwa.
-
Maafisa wawili wa Kenya wauawa katika hujuma ya magaidi wa al-Shabaab karibu na mpaka wa Somalia
Nov 19, 2025 23:27Maafisa wawili wa Kitengo cha Ulinzi wa Mpaka cha Kenya wameuawa Jumatano baada ya gari lao kukanyaga bomu la kutegwa ardhini (IED) lililowekwa na magaidi wakufurishaji wa al-Shabaab kutoka Somalia katika barabara ya Liboi kuelekea Kulan, kaskazini mwa Kenya.